Monday, November 7, 2011

Vyama vya kisiasa Tanzania vimepitwa na wakati ? Sehemu- II

Ili 'kuvisasaisha' vyama vya kisiasa Tanzania kuna mambo kama 15 hivi yanayostahili kufanyika. Mambo hayo, yakiwemo hayo machache yaliyogusiwa hapo juu ni pamoja na mabadiliko ya miundo; mifumo kazi; uwakilishi mikoani na matawini; kuwa na wanachama hai; kuwa na vyanzo halali vya mapato; elimu isiyokoma kwa vingozi na wanachama; matumizi ya Teknohama; kutumia sayansi ya logistiki; kuwa na mipango na mikakati ya kisasa; kuwa na mbinu za kunufaika na kutohasirika na mahusiano ya kimataifa na utandawazi; kubuni njia bora za kupata viongozi; mafunzo ya menejimenti, uchumi na maarifa muhimu kwa viongozi; namna mpya za kukabiliana na matatizo na changamoto za wafuasi na wananchi kwa ujumla; na jinsi ya kuwa mwendelezaji, mwekezaji na mshiriki katika kuzitumia fursa za kimaendeleo za kiuchumi na kijamii kuanzia ngazi ya chini ya tawi hadi ya juu kitaifa kwa faida ya nchi nzima na watu wake.

( Makala haya yanauzwa; wasiliana nasi kupitia SMS : +255714265218 wakati wowote na uapata majibu chini ya saa 24.).......

No comments:

Post a Comment