WATU husema kila jambo lina wakati wake. Juma hili limeshuhudia taarifa za tafiti kadhaa ambazo pamoja na mambo mengine zimeonesha kuwa kinachowakera sana Watanzania hivi leo ni rushwa na mengine yanafuatia.Ni kipindi kilichoshuhudia pia ahadi toka kwa kiongozi mkuu wa ndugu zetu wa Usalama wa Raia kwamba wanakuja na mikakati mipya ya kulifanya jeshi hilo liwe safi na linalokubalika, sio tu na Watanzania bali na Afrika nzima kama mfano wa kuigwa.
Kutokana na wao polisi kuonesha angalau nia ya kufanya jambo jema makala haya ninawatunza wao pamoja na yaliyomo ambayo yanaongeza kuwapanua mawazo juu ya kile kinachostahili kufanyika ili azma yao isiwe wimbo utakaosahaulika baada ya muda si mrefu.Kwanza, tukubaliane kwamba, matatizo ya jeshi la polisi sio rushwa tu. Kuna matatizo mengi ambayo kwa umoja wao ndiyo yanayochangia watu kuwa na alama ya ulizo kila saa juu ya utendaji kazi wa jeshi hilo.
Baadhi ya matatizo ya jeshi hilo ni yale ya baadhi yao kukosa wito; tamaa ya kutaka kutajirika haraka haraka kutokana na kujifananisha na wengine; wakubwa wenye ajenda zao nje ya usalama wa raia na mali zao; elimu ndogo ya uraia na uzalendo na uamsho wa chini juu ya wajibu wa polisi katika kukuza na kuimarisha demokrasia changa.Aidha, polisi wana matatizo ya zana na vifaa vichache na duni; kukosa
maendeleo katika matumizi ya teknohama, makazi bora, maslahi ridhishi, nafasi finyu za kujiendeleza ili kukabiliana na mazingira ya nchi na ya dunia yanayobadilika kila leo.Lakini la ajabu kwa upande wangu mimi ni kuwa matatizo haya yote yanaweza kutatuliwa kwa jeshi hilo likisaidiwa na serikali kujipanga upya ili kumaliza ile hali ya mitaa na barabara zetu kuonekama kama vile hazina au hazifuati sheria hata kidogo.
Muulize mtu yeyote anayetoka nchi iliyostaarabika na
atakuambia anachokiogopa sasa hapa nchini zaidi ya rushwa ni kutokuwa na utawala wa kisheria unaofanya kazi.Hili linaashiria kwamba, kuna kazi kubwa sana ya kuleta mabadiliko ya msingi sio tu ndani ya jeshi la polisi, lakini pia katika jamii ya Kitanzania ambayo imeachiwa kwenda upogo na serikali kadhaa zilizotangulia pengine katika ile hali ya wazazi kumdekeza mwana na kumuachia kufanyaatakalo bila kuadabishwa.
Kwa hiyo kama tunataka mapinduzi ya kweli tukubali kuwa
tuanze na kukataa maadili na tabia mbovu tulizozilea hadi wa leo. Hili sio jambo dogo. Linahitaji waliopewa dhamana ya kutuongoza kukutana na wataalamu wa saikolojia na sosholojia ili hatimaye pawe na mkakati wa kupakua toka akilini mwa Watanzania takataka na uchafu mwingine uliomo humo na kisha kusafisha akili na bongo zetu sawasawa halafu kuanza kupandikiza uadilifu, haki, uaminifu, ukweli, utu na ubinadamu ndani yetu.Wakati tunasubiri hayo yatokee; maana kama tunavyowajua wanasiasa duniani hawana haraka na jambo, pengine ipo haja ya kuzungumzia mambo mawili matatu ambayo jeshi la polisi, serikali, kampuni za
simu za mikononi na watu kama 2-Mobile na wale wengine wenye majukwaa ya kupokea na kurushia taarifa wanaweza kuifanya ili jeshi letu la polisi litimize ndoto yake ya kuwa chombo safi na kinachokubalika na jamii.Kabla ya kufanya hivyo, lazima awali ya yote tubainishe ni nini hasa majukumu ya jeshi hilo.
Nitafanya hivyo kwa kuuliza maswali kwamba: Hivi katika karne hii ya sayansi na teknolojia ni kazi ya polisi kukamata magari barabarani ? Hivi usalama wa watembeao kwa miguu
na hasa watoto, wazee na walemavu unamtegemea nani? Hivi ukiwa na madereva ambao hawaheshimu 'zebra-crossing' na taa za barabarani utasema una polisi wa usalama barabarani au wa hatari barabarani?
Hivi unaweza kuwa na askari 10 au 20 ambao eti kazi yao ni kuandika maelezo ya wanaoletwa vituoni ukasema unawatumia jamaa hao vizuri? Hivi kweli tunashindwa kujipanga kwamba, kazi ya ulinzi iwe barabarani, viwandani au nyumbani ni ya watu wanaolipwa mshahara kufanya kazi hiyo?Wakati unafikiria majibu ya maswali hayo mimi ninapendekeza yafuatayo:
Idadi ya polisi wanaobaki vituoni ipunguzwe kwa kiasi kikubwa kwa kutumia kompyuta na nakala-igizwa [templates) kwa kuwa makosa yote yanayoweza kufanyika hapa nchini yanajulikana na yanaweza kuandaliwa nakala-igizwa hizo na kazi ya wanaokaa nyuma ya kompyuta ni kujaza maelezo kidogo kwa kubadili majina, tarehe, namba au idadi za vitu na sehemu mbalimbali, mahali pa tukio na maelezo binafsi machache ili katika dakika 2 au tatu maelezo ya mtu yawe yamedakwa, kuchapwa na kusainiwa. Hili litaongeza idadi ya askari
watakaokuwa majiani na mitaani kunasa uhalifu na kusaidia watoto, wazee na walemavu na watu wengine wenye matatizo binafsi.SMS na Usalama Barabarani.
Hakika aliyegundua ujumbe mfupi anatufungua macho kwenye mengi ambayo hata bado hatujaanza kuyafikiria. Hebu tuangalie hili la usalama barabarani, rushwa na matumizi ya teknohama.Je, makosa yote yanayoweza kufanywa iwe na gari, dereva, konda au abiria na kadhalika barabarani
yanajulikana? Tunaweza kuyapa haya namba maalumu? Na je, kuna polisi, dereva wa daladala au konda asiyekuwa na simu ya mkononi?Ndugu Mwema unaweza kuongea na Vodacom, Zain, Zantel na Tigo na wale wenye majukwaa ya kuhifadhi, kupokea na kutuma ujumbe ili wakueleze kama inawezekana kwa mambo haya kufanyika:
1. Usalama barabarani kutuma ujumbe makao ya Usalama Barabarani kwa kubonyeza kitufe chake kwenye simu na kujaza maelezo muhimu ambayo yote yako kwa namba kuhusu kosa lililofanywa na daladala fulani ?
2. Makao makuu husika kupokea taarifa hiyo na kuhifadhi kumbukumbu na kisha kumtumia papo kwa hapo dereva wa daladala husika kuwa kafanya kosa
fulani, mahala fulani, saa fulani na kwamba alipe faini kiasi fulani ?
3. Makao Makuu ya Usalama kuwa na 'Caution Money' toka kwa wenye daladala itakayotunzwa nao na kukatwa wakati daladala ya mtu hiyo imetozwa faini?
4. Dereva wa daladala kumuarifu tajiri yake alipe faini hiyo kwa kutumia simu yake ya mkononi.
5. Fedha hiyo kuingia kwenye mfumo wa Daladala-Pesa/Barabara-Pesa wa Usalama Barabarani ambao utatumika kuongeza ubora wa maisha ya watumishi wote
wa Jeshi la Polisi pamoja na wanaofanya vizuri sana pia kutunzwa bonasi na bakshishi nyingine?
Na je, bajeti ya serikali nayo hatima ya yote haitatunishwa na
mfuko unaotokana na kuhakikisha kuwasheria za usalama zinafuatwa na kunakuwepo na utawala wa kisheria nchini? Angalizo: Kama wazo hili linakubalika na
kutekelezwa ikumbukwe kwamba, kila mvunja sheria za barabarani anayeripotiwa sio tu atalipa faini bali atalipia ujumbe uliotumwa kumripoti na ujumbe mwingine
utakaofuatia hadi alipe faini ikiwa ni pamoja na ujumbe wa kumkumbusha kwamba hajalipa faini aliyotozwa.
Aidha, raia ndani ya basi au barabarani wataweza
kumripoti dereva yeyote mzembe ili mradi simu zao ziwe zimesajiliwa na majina yao yanajulikana na wanaweza kutoa ushahidi. 'Lotto' ya Usalama barabarani inaweza kuwazawadia pia watu kama hao.Huu ni mfano mmoja tu, lakini ninaamini Tanzania ya leo ina watu wengi tu wenye akili kama mchwa baadhi yao wakiwemo humo humo ndani ya jeshi la polisi basi mjaribu kuona pia njia nyingine zinazofaa zaidi ya mawazo ninayotoa mimi.Ninachokisema mimi ni kuwa upo
uwezekano wa jeshi la polisi kuwa na watu wachache vituoni na wengi wao wakawa mitaani; na huko mitaani kuna uwezekano mkubwa wa kutumia simu za mikononi kunasa na kuripoti makosa ya barabarani bila askari kulazimika kuandika kitu zaidi ya kubonyeza namba na maelezo ndani ya simu yake; na taarifa hizo kupokelewa makao makuu kupitia watoa huduma za simu za mkononi/wenye majukwaa ya kutuma na kupokea ujumbe na juu ya yote simu hizo hizo za mkononi
kutumiwa na wenye daladala kulipa faini za papo kwa hapo.Hili si wazo jipya, ila muktadha wake ni mpya. Sio wazo litakoeleweka au kukubalika kirahisi na wengi
kwani huenda likawa linachangia moja kwa moja kuondoa vitendo vya madereva, abiria na usalama barabarni vinavyochangia kuwepo kwa rushwa kwa kukata
kabisa mzizi wa fitina.
Nimezoea kutoa mawazo bure na sitarajii kunufaika chochote na mawazo haya kama ambavyo sijawahi kunufaika na wazo langu lolote huko nyuma. Hivyo mtu asije kunishuku kwamba, ninatumiwa na wamiliki wa kampuni za simu za mikononi kuwapatia biashara mpya bali nalitoa hili toka dhati ya moyo
wangu ili kuchangia usalama barabarani na kutokomeza kabisa rushwa vitu ambavyo vinamkera yule, wewe na mimi.
Tuesday, May 24, 2011
Simu za mkononi, rushwa na mapato bwereree…
WATU husema kila jambo lina wakati wake. Juma hili limeshuhudia taarifa za tafiti kadhaa ambazo pamoja na mambo mengine zimeonesha kuwa kinachowakera sana Watanzania hivi leo ni rushwa na mengine yanafuatia.Ni kipindi kilichoshuhudia pia ahadi toka kwa kiongozi mkuu wa ndugu zetu wa Usalama wa Raia kwamba wanakuja na mikakati mipya ya kulifanya jeshi hilo liwe safi na linalokubalika, sio tu na Watanzania bali na Afrika nzima kama mfano wa kuigwa.
Kutokana na wao polisi kuonesha angalau nia ya kufanya jambo jema makala haya ninawatunza wao pamoja na yaliyomo ambayo yanaongeza kuwapanua mawazo juu ya kile kinachostahili kufanyika ili azma yao isiwe wimbo utakaosahaulika baada ya muda si mrefu.Kwanza, tukubaliane kwamba, matatizo ya jeshi la polisi sio rushwa tu. Kuna matatizo mengi ambayo kwa umoja wao ndiyo yanayochangia watu kuwa na alama ya ulizo kila saa juu ya utendaji kazi wa jeshi hilo.
Baadhi ya matatizo ya jeshi hilo ni yale ya baadhi yao kukosa wito; tamaa ya kutaka kutajirika haraka haraka kutokana na kujifananisha na wengine; wakubwa wenye ajenda zao nje ya usalama wa raia na mali zao; elimu ndogo ya uraia na uzalendo na uamsho wa chini juu ya wajibu wa polisi katika kukuza na kuimarisha demokrasia changa.Aidha, polisi wana matatizo ya zana na vifaa vichache na duni; kukosa
maendeleo katika matumizi ya teknohama, makazi bora, maslahi ridhishi, nafasi finyu za kujiendeleza ili kukabiliana na mazingira ya nchi na ya dunia yanayobadilika kila leo.Lakini la ajabu kwa upande wangu mimi ni kuwa matatizo haya yote yanaweza kutatuliwa kwa jeshi hilo likisaidiwa na serikali kujipanga upya ili kumaliza ile hali ya mitaa na barabara zetu kuonekama kama vile hazina au hazifuati sheria hata kidogo.
Muulize mtu yeyote anayetoka nchi iliyostaarabika na
atakuambia anachokiogopa sasa hapa nchini zaidi ya rushwa ni kutokuwa na utawala wa kisheria unaofanya kazi.Hili linaashiria kwamba, kuna kazi kubwa sana ya kuleta mabadiliko ya msingi sio tu ndani ya jeshi la polisi, lakini pia katika jamii ya Kitanzania ambayo imeachiwa kwenda upogo na serikali kadhaa zilizotangulia pengine katika ile hali ya wazazi kumdekeza mwana na kumuachia kufanyaatakalo bila kuadabishwa.
Kwa hiyo kama tunataka mapinduzi ya kweli tukubali kuwa
tuanze na kukataa maadili na tabia mbovu tulizozilea hadi wa leo. Hili sio jambo dogo. Linahitaji waliopewa dhamana ya kutuongoza kukutana na wataalamu wa saikolojia na sosholojia ili hatimaye pawe na mkakati wa kupakua toka akilini mwa Watanzania takataka na uchafu mwingine uliomo humo na kisha kusafisha akili na bongo zetu sawasawa halafu kuanza kupandikiza uadilifu, haki, uaminifu, ukweli, utu na ubinadamu ndani yetu.Wakati tunasubiri hayo yatokee; maana kama tunavyowajua wanasiasa duniani hawana haraka na jambo, pengine ipo haja ya kuzungumzia mambo mawili matatu ambayo jeshi la polisi, serikali, kampuni za
simu za mikononi na watu kama 2-Mobile na wale wengine wenye majukwaa ya kupokea na kurushia taarifa wanaweza kuifanya ili jeshi letu la polisi litimize ndoto yake ya kuwa chombo safi na kinachokubalika na jamii.Kabla ya kufanya hivyo, lazima awali ya yote tubainishe ni nini hasa majukumu ya jeshi hilo.
Nitafanya hivyo kwa kuuliza maswali kwamba: Hivi katika karne hii ya sayansi na teknolojia ni kazi ya polisi kukamata magari barabarani ? Hivi usalama wa watembeao kwa miguu
na hasa watoto, wazee na walemavu unamtegemea nani? Hivi ukiwa na madereva ambao hawaheshimu 'zebra-crossing' na taa za barabarani utasema una polisi wa usalama barabarani au wa hatari barabarani?
Hivi unaweza kuwa na askari 10 au 20 ambao eti kazi yao ni kuandika maelezo ya wanaoletwa vituoni ukasema unawatumia jamaa hao vizuri? Hivi kweli tunashindwa kujipanga kwamba, kazi ya ulinzi iwe barabarani, viwandani au nyumbani ni ya watu wanaolipwa mshahara kufanya kazi hiyo?Wakati unafikiria majibu ya maswali hayo mimi ninapendekeza yafuatayo:
Idadi ya polisi wanaobaki vituoni ipunguzwe kwa kiasi kikubwa kwa kutumia kompyuta na nakala-igizwa [templates) kwa kuwa makosa yote yanayoweza kufanyika hapa nchini yanajulikana na yanaweza kuandaliwa nakala-igizwa hizo na kazi ya wanaokaa nyuma ya kompyuta ni kujaza maelezo kidogo kwa kubadili majina, tarehe, namba au idadi za vitu na sehemu mbalimbali, mahali pa tukio na maelezo binafsi machache ili katika dakika 2 au tatu maelezo ya mtu yawe yamedakwa, kuchapwa na kusainiwa. Hili litaongeza idadi ya askari
watakaokuwa majiani na mitaani kunasa uhalifu na kusaidia watoto, wazee na walemavu na watu wengine wenye matatizo binafsi.SMS na Usalama Barabarani.
Hakika aliyegundua ujumbe mfupi anatufungua macho kwenye mengi ambayo hata bado hatujaanza kuyafikiria. Hebu tuangalie hili la usalama barabarani, rushwa na matumizi ya teknohama.Je, makosa yote yanayoweza kufanywa iwe na gari, dereva, konda au abiria na kadhalika barabarani
yanajulikana? Tunaweza kuyapa haya namba maalumu? Na je, kuna polisi, dereva wa daladala au konda asiyekuwa na simu ya mkononi?Ndugu Mwema unaweza kuongea na Vodacom, Zain, Zantel na Tigo na wale wenye majukwaa ya kuhifadhi, kupokea na kutuma ujumbe ili wakueleze kama inawezekana kwa mambo haya kufanyika:
1. Usalama barabarani kutuma ujumbe makao ya Usalama Barabarani kwa kubonyeza kitufe chake kwenye simu na kujaza maelezo muhimu ambayo yote yako kwa namba kuhusu kosa lililofanywa na daladala fulani ?
2. Makao makuu husika kupokea taarifa hiyo na kuhifadhi kumbukumbu na kisha kumtumia papo kwa hapo dereva wa daladala husika kuwa kafanya kosa
fulani, mahala fulani, saa fulani na kwamba alipe faini kiasi fulani ?
3. Makao Makuu ya Usalama kuwa na 'Caution Money' toka kwa wenye daladala itakayotunzwa nao na kukatwa wakati daladala ya mtu hiyo imetozwa faini?
4. Dereva wa daladala kumuarifu tajiri yake alipe faini hiyo kwa kutumia simu yake ya mkononi.
5. Fedha hiyo kuingia kwenye mfumo wa Daladala-Pesa/Barabara-Pesa wa Usalama Barabarani ambao utatumika kuongeza ubora wa maisha ya watumishi wote
wa Jeshi la Polisi pamoja na wanaofanya vizuri sana pia kutunzwa bonasi na bakshishi nyingine?
Na je, bajeti ya serikali nayo hatima ya yote haitatunishwa na
mfuko unaotokana na kuhakikisha kuwasheria za usalama zinafuatwa na kunakuwepo na utawala wa kisheria nchini? Angalizo: Kama wazo hili linakubalika na
kutekelezwa ikumbukwe kwamba, kila mvunja sheria za barabarani anayeripotiwa sio tu atalipa faini bali atalipia ujumbe uliotumwa kumripoti na ujumbe mwingine
utakaofuatia hadi alipe faini ikiwa ni pamoja na ujumbe wa kumkumbusha kwamba hajalipa faini aliyotozwa.
Aidha, raia ndani ya basi au barabarani wataweza
kumripoti dereva yeyote mzembe ili mradi simu zao ziwe zimesajiliwa na majina yao yanajulikana na wanaweza kutoa ushahidi. 'Lotto' ya Usalama barabarani inaweza kuwazawadia pia watu kama hao.Huu ni mfano mmoja tu, lakini ninaamini Tanzania ya leo ina watu wengi tu wenye akili kama mchwa baadhi yao wakiwemo humo humo ndani ya jeshi la polisi basi mjaribu kuona pia njia nyingine zinazofaa zaidi ya mawazo ninayotoa mimi.Ninachokisema mimi ni kuwa upo
uwezekano wa jeshi la polisi kuwa na watu wachache vituoni na wengi wao wakawa mitaani; na huko mitaani kuna uwezekano mkubwa wa kutumia simu za mikononi kunasa na kuripoti makosa ya barabarani bila askari kulazimika kuandika kitu zaidi ya kubonyeza namba na maelezo ndani ya simu yake; na taarifa hizo kupokelewa makao makuu kupitia watoa huduma za simu za mkononi/wenye majukwaa ya kutuma na kupokea ujumbe na juu ya yote simu hizo hizo za mkononi
kutumiwa na wenye daladala kulipa faini za papo kwa hapo.Hili si wazo jipya, ila muktadha wake ni mpya. Sio wazo litakoeleweka au kukubalika kirahisi na wengi
kwani huenda likawa linachangia moja kwa moja kuondoa vitendo vya madereva, abiria na usalama barabarni vinavyochangia kuwepo kwa rushwa kwa kukata
kabisa mzizi wa fitina.
Nimezoea kutoa mawazo bure na sitarajii kunufaika chochote na mawazo haya kama ambavyo sijawahi kunufaika na wazo langu lolote huko nyuma. Hivyo mtu asije kunishuku kwamba, ninatumiwa na wamiliki wa kampuni za simu za mikononi kuwapatia biashara mpya bali nalitoa hili toka dhati ya moyo
wangu ili kuchangia usalama barabarani na kutokomeza kabisa rushwa vitu ambavyo vinamkera yule, wewe na mimi.
Kutokana na wao polisi kuonesha angalau nia ya kufanya jambo jema makala haya ninawatunza wao pamoja na yaliyomo ambayo yanaongeza kuwapanua mawazo juu ya kile kinachostahili kufanyika ili azma yao isiwe wimbo utakaosahaulika baada ya muda si mrefu.Kwanza, tukubaliane kwamba, matatizo ya jeshi la polisi sio rushwa tu. Kuna matatizo mengi ambayo kwa umoja wao ndiyo yanayochangia watu kuwa na alama ya ulizo kila saa juu ya utendaji kazi wa jeshi hilo.
Baadhi ya matatizo ya jeshi hilo ni yale ya baadhi yao kukosa wito; tamaa ya kutaka kutajirika haraka haraka kutokana na kujifananisha na wengine; wakubwa wenye ajenda zao nje ya usalama wa raia na mali zao; elimu ndogo ya uraia na uzalendo na uamsho wa chini juu ya wajibu wa polisi katika kukuza na kuimarisha demokrasia changa.Aidha, polisi wana matatizo ya zana na vifaa vichache na duni; kukosa
maendeleo katika matumizi ya teknohama, makazi bora, maslahi ridhishi, nafasi finyu za kujiendeleza ili kukabiliana na mazingira ya nchi na ya dunia yanayobadilika kila leo.Lakini la ajabu kwa upande wangu mimi ni kuwa matatizo haya yote yanaweza kutatuliwa kwa jeshi hilo likisaidiwa na serikali kujipanga upya ili kumaliza ile hali ya mitaa na barabara zetu kuonekama kama vile hazina au hazifuati sheria hata kidogo.
Muulize mtu yeyote anayetoka nchi iliyostaarabika na
atakuambia anachokiogopa sasa hapa nchini zaidi ya rushwa ni kutokuwa na utawala wa kisheria unaofanya kazi.Hili linaashiria kwamba, kuna kazi kubwa sana ya kuleta mabadiliko ya msingi sio tu ndani ya jeshi la polisi, lakini pia katika jamii ya Kitanzania ambayo imeachiwa kwenda upogo na serikali kadhaa zilizotangulia pengine katika ile hali ya wazazi kumdekeza mwana na kumuachia kufanyaatakalo bila kuadabishwa.
Kwa hiyo kama tunataka mapinduzi ya kweli tukubali kuwa
tuanze na kukataa maadili na tabia mbovu tulizozilea hadi wa leo. Hili sio jambo dogo. Linahitaji waliopewa dhamana ya kutuongoza kukutana na wataalamu wa saikolojia na sosholojia ili hatimaye pawe na mkakati wa kupakua toka akilini mwa Watanzania takataka na uchafu mwingine uliomo humo na kisha kusafisha akili na bongo zetu sawasawa halafu kuanza kupandikiza uadilifu, haki, uaminifu, ukweli, utu na ubinadamu ndani yetu.Wakati tunasubiri hayo yatokee; maana kama tunavyowajua wanasiasa duniani hawana haraka na jambo, pengine ipo haja ya kuzungumzia mambo mawili matatu ambayo jeshi la polisi, serikali, kampuni za
simu za mikononi na watu kama 2-Mobile na wale wengine wenye majukwaa ya kupokea na kurushia taarifa wanaweza kuifanya ili jeshi letu la polisi litimize ndoto yake ya kuwa chombo safi na kinachokubalika na jamii.Kabla ya kufanya hivyo, lazima awali ya yote tubainishe ni nini hasa majukumu ya jeshi hilo.
Nitafanya hivyo kwa kuuliza maswali kwamba: Hivi katika karne hii ya sayansi na teknolojia ni kazi ya polisi kukamata magari barabarani ? Hivi usalama wa watembeao kwa miguu
na hasa watoto, wazee na walemavu unamtegemea nani? Hivi ukiwa na madereva ambao hawaheshimu 'zebra-crossing' na taa za barabarani utasema una polisi wa usalama barabarani au wa hatari barabarani?
Hivi unaweza kuwa na askari 10 au 20 ambao eti kazi yao ni kuandika maelezo ya wanaoletwa vituoni ukasema unawatumia jamaa hao vizuri? Hivi kweli tunashindwa kujipanga kwamba, kazi ya ulinzi iwe barabarani, viwandani au nyumbani ni ya watu wanaolipwa mshahara kufanya kazi hiyo?Wakati unafikiria majibu ya maswali hayo mimi ninapendekeza yafuatayo:
Idadi ya polisi wanaobaki vituoni ipunguzwe kwa kiasi kikubwa kwa kutumia kompyuta na nakala-igizwa [templates) kwa kuwa makosa yote yanayoweza kufanyika hapa nchini yanajulikana na yanaweza kuandaliwa nakala-igizwa hizo na kazi ya wanaokaa nyuma ya kompyuta ni kujaza maelezo kidogo kwa kubadili majina, tarehe, namba au idadi za vitu na sehemu mbalimbali, mahali pa tukio na maelezo binafsi machache ili katika dakika 2 au tatu maelezo ya mtu yawe yamedakwa, kuchapwa na kusainiwa. Hili litaongeza idadi ya askari
watakaokuwa majiani na mitaani kunasa uhalifu na kusaidia watoto, wazee na walemavu na watu wengine wenye matatizo binafsi.SMS na Usalama Barabarani.
Hakika aliyegundua ujumbe mfupi anatufungua macho kwenye mengi ambayo hata bado hatujaanza kuyafikiria. Hebu tuangalie hili la usalama barabarani, rushwa na matumizi ya teknohama.Je, makosa yote yanayoweza kufanywa iwe na gari, dereva, konda au abiria na kadhalika barabarani
yanajulikana? Tunaweza kuyapa haya namba maalumu? Na je, kuna polisi, dereva wa daladala au konda asiyekuwa na simu ya mkononi?Ndugu Mwema unaweza kuongea na Vodacom, Zain, Zantel na Tigo na wale wenye majukwaa ya kuhifadhi, kupokea na kutuma ujumbe ili wakueleze kama inawezekana kwa mambo haya kufanyika:
1. Usalama barabarani kutuma ujumbe makao ya Usalama Barabarani kwa kubonyeza kitufe chake kwenye simu na kujaza maelezo muhimu ambayo yote yako kwa namba kuhusu kosa lililofanywa na daladala fulani ?
2. Makao makuu husika kupokea taarifa hiyo na kuhifadhi kumbukumbu na kisha kumtumia papo kwa hapo dereva wa daladala husika kuwa kafanya kosa
fulani, mahala fulani, saa fulani na kwamba alipe faini kiasi fulani ?
3. Makao Makuu ya Usalama kuwa na 'Caution Money' toka kwa wenye daladala itakayotunzwa nao na kukatwa wakati daladala ya mtu hiyo imetozwa faini?
4. Dereva wa daladala kumuarifu tajiri yake alipe faini hiyo kwa kutumia simu yake ya mkononi.
5. Fedha hiyo kuingia kwenye mfumo wa Daladala-Pesa/Barabara-Pesa wa Usalama Barabarani ambao utatumika kuongeza ubora wa maisha ya watumishi wote
wa Jeshi la Polisi pamoja na wanaofanya vizuri sana pia kutunzwa bonasi na bakshishi nyingine?
Na je, bajeti ya serikali nayo hatima ya yote haitatunishwa na
mfuko unaotokana na kuhakikisha kuwasheria za usalama zinafuatwa na kunakuwepo na utawala wa kisheria nchini? Angalizo: Kama wazo hili linakubalika na
kutekelezwa ikumbukwe kwamba, kila mvunja sheria za barabarani anayeripotiwa sio tu atalipa faini bali atalipia ujumbe uliotumwa kumripoti na ujumbe mwingine
utakaofuatia hadi alipe faini ikiwa ni pamoja na ujumbe wa kumkumbusha kwamba hajalipa faini aliyotozwa.
Aidha, raia ndani ya basi au barabarani wataweza
kumripoti dereva yeyote mzembe ili mradi simu zao ziwe zimesajiliwa na majina yao yanajulikana na wanaweza kutoa ushahidi. 'Lotto' ya Usalama barabarani inaweza kuwazawadia pia watu kama hao.Huu ni mfano mmoja tu, lakini ninaamini Tanzania ya leo ina watu wengi tu wenye akili kama mchwa baadhi yao wakiwemo humo humo ndani ya jeshi la polisi basi mjaribu kuona pia njia nyingine zinazofaa zaidi ya mawazo ninayotoa mimi.Ninachokisema mimi ni kuwa upo
uwezekano wa jeshi la polisi kuwa na watu wachache vituoni na wengi wao wakawa mitaani; na huko mitaani kuna uwezekano mkubwa wa kutumia simu za mikononi kunasa na kuripoti makosa ya barabarani bila askari kulazimika kuandika kitu zaidi ya kubonyeza namba na maelezo ndani ya simu yake; na taarifa hizo kupokelewa makao makuu kupitia watoa huduma za simu za mkononi/wenye majukwaa ya kutuma na kupokea ujumbe na juu ya yote simu hizo hizo za mkononi
kutumiwa na wenye daladala kulipa faini za papo kwa hapo.Hili si wazo jipya, ila muktadha wake ni mpya. Sio wazo litakoeleweka au kukubalika kirahisi na wengi
kwani huenda likawa linachangia moja kwa moja kuondoa vitendo vya madereva, abiria na usalama barabarni vinavyochangia kuwepo kwa rushwa kwa kukata
kabisa mzizi wa fitina.
Nimezoea kutoa mawazo bure na sitarajii kunufaika chochote na mawazo haya kama ambavyo sijawahi kunufaika na wazo langu lolote huko nyuma. Hivyo mtu asije kunishuku kwamba, ninatumiwa na wamiliki wa kampuni za simu za mikononi kuwapatia biashara mpya bali nalitoa hili toka dhati ya moyo
wangu ili kuchangia usalama barabarani na kutokomeza kabisa rushwa vitu ambavyo vinamkera yule, wewe na mimi.
Simu za mkononi, rushwa na mapato bwereree…
WATU husema kila jambo lina wakati wake. Juma hili limeshuhudia taarifa za tafiti kadhaa ambazo pamoja na mambo mengine zimeonesha kuwa kinachowakera sana Watanzania hivi leo ni rushwa na mengine yanafuatia.Ni kipindi kilichoshuhudia pia ahadi toka kwa kiongozi mkuu wa ndugu zetu wa Usalama wa Raia kwamba wanakuja na mikakati mipya ya kulifanya jeshi hilo liwe safi na linalokubalika, sio tu na Watanzania bali na Afrika nzima kama mfano wa kuigwa.
Kutokana na wao polisi kuonesha angalau nia ya kufanya jambo jema makala haya ninawatunza wao pamoja na yaliyomo ambayo yanaongeza kuwapanua mawazo juu ya kile kinachostahili kufanyika ili azma yao isiwe wimbo utakaosahaulika baada ya muda si mrefu.Kwanza, tukubaliane kwamba, matatizo ya jeshi la polisi sio rushwa tu. Kuna matatizo mengi ambayo kwa umoja wao ndiyo yanayochangia watu kuwa na alama ya ulizo kila saa juu ya utendaji kazi wa jeshi hilo.
Baadhi ya matatizo ya jeshi hilo ni yale ya baadhi yao kukosa wito; tamaa ya kutaka kutajirika haraka haraka kutokana na kujifananisha na wengine; wakubwa wenye ajenda zao nje ya usalama wa raia na mali zao; elimu ndogo ya uraia na uzalendo na uamsho wa chini juu ya wajibu wa polisi katika kukuza na kuimarisha demokrasia changa.Aidha, polisi wana matatizo ya zana na vifaa vichache na duni; kukosa
maendeleo katika matumizi ya teknohama, makazi bora, maslahi ridhishi, nafasi finyu za kujiendeleza ili kukabiliana na mazingira ya nchi na ya dunia yanayobadilika kila leo.Lakini la ajabu kwa upande wangu mimi ni kuwa matatizo haya yote yanaweza kutatuliwa kwa jeshi hilo likisaidiwa na serikali kujipanga upya ili kumaliza ile hali ya mitaa na barabara zetu kuonekama kama vile hazina au hazifuati sheria hata kidogo.
Muulize mtu yeyote anayetoka nchi iliyostaarabika na
atakuambia anachokiogopa sasa hapa nchini zaidi ya rushwa ni kutokuwa na utawala wa kisheria unaofanya kazi.Hili linaashiria kwamba, kuna kazi kubwa sana ya kuleta mabadiliko ya msingi sio tu ndani ya jeshi la polisi, lakini pia katika jamii ya Kitanzania ambayo imeachiwa kwenda upogo na serikali kadhaa zilizotangulia pengine katika ile hali ya wazazi kumdekeza mwana na kumuachia kufanyaatakalo bila kuadabishwa.
Kwa hiyo kama tunataka mapinduzi ya kweli tukubali kuwa
tuanze na kukataa maadili na tabia mbovu tulizozilea hadi wa leo. Hili sio jambo dogo. Linahitaji waliopewa dhamana ya kutuongoza kukutana na wataalamu wa saikolojia na sosholojia ili hatimaye pawe na mkakati wa kupakua toka akilini mwa Watanzania takataka na uchafu mwingine uliomo humo na kisha kusafisha akili na bongo zetu sawasawa halafu kuanza kupandikiza uadilifu, haki, uaminifu, ukweli, utu na ubinadamu ndani yetu.Wakati tunasubiri hayo yatokee; maana kama tunavyowajua wanasiasa duniani hawana haraka na jambo, pengine ipo haja ya kuzungumzia mambo mawili matatu ambayo jeshi la polisi, serikali, kampuni za
simu za mikononi na watu kama 2-Mobile na wale wengine wenye majukwaa ya kupokea na kurushia taarifa wanaweza kuifanya ili jeshi letu la polisi litimize ndoto yake ya kuwa chombo safi na kinachokubalika na jamii.Kabla ya kufanya hivyo, lazima awali ya yote tubainishe ni nini hasa majukumu ya jeshi hilo.
Nitafanya hivyo kwa kuuliza maswali kwamba: Hivi katika karne hii ya sayansi na teknolojia ni kazi ya polisi kukamata magari barabarani ? Hivi usalama wa watembeao kwa miguu
na hasa watoto, wazee na walemavu unamtegemea nani? Hivi ukiwa na madereva ambao hawaheshimu 'zebra-crossing' na taa za barabarani utasema una polisi wa usalama barabarani au wa hatari barabarani?
Hivi unaweza kuwa na askari 10 au 20 ambao eti kazi yao ni kuandika maelezo ya wanaoletwa vituoni ukasema unawatumia jamaa hao vizuri? Hivi kweli tunashindwa kujipanga kwamba, kazi ya ulinzi iwe barabarani, viwandani au nyumbani ni ya watu wanaolipwa mshahara kufanya kazi hiyo?Wakati unafikiria majibu ya maswali hayo mimi ninapendekeza yafuatayo:
Idadi ya polisi wanaobaki vituoni ipunguzwe kwa kiasi kikubwa kwa kutumia kompyuta na nakala-igizwa [templates) kwa kuwa makosa yote yanayoweza kufanyika hapa nchini yanajulikana na yanaweza kuandaliwa nakala-igizwa hizo na kazi ya wanaokaa nyuma ya kompyuta ni kujaza maelezo kidogo kwa kubadili majina, tarehe, namba au idadi za vitu na sehemu mbalimbali, mahali pa tukio na maelezo binafsi machache ili katika dakika 2 au tatu maelezo ya mtu yawe yamedakwa, kuchapwa na kusainiwa. Hili litaongeza idadi ya askari
watakaokuwa majiani na mitaani kunasa uhalifu na kusaidia watoto, wazee na walemavu na watu wengine wenye matatizo binafsi.SMS na Usalama Barabarani.
Hakika aliyegundua ujumbe mfupi anatufungua macho kwenye mengi ambayo hata bado hatujaanza kuyafikiria. Hebu tuangalie hili la usalama barabarani, rushwa na matumizi ya teknohama.Je, makosa yote yanayoweza kufanywa iwe na gari, dereva, konda au abiria na kadhalika barabarani
yanajulikana? Tunaweza kuyapa haya namba maalumu? Na je, kuna polisi, dereva wa daladala au konda asiyekuwa na simu ya mkononi?Ndugu Mwema unaweza kuongea na Vodacom, Zain, Zantel na Tigo na wale wenye majukwaa ya kuhifadhi, kupokea na kutuma ujumbe ili wakueleze kama inawezekana kwa mambo haya kufanyika:
1. Usalama barabarani kutuma ujumbe makao ya Usalama Barabarani kwa kubonyeza kitufe chake kwenye simu na kujaza maelezo muhimu ambayo yote yako kwa namba kuhusu kosa lililofanywa na daladala fulani ?
2. Makao makuu husika kupokea taarifa hiyo na kuhifadhi kumbukumbu na kisha kumtumia papo kwa hapo dereva wa daladala husika kuwa kafanya kosa
fulani, mahala fulani, saa fulani na kwamba alipe faini kiasi fulani ?
3. Makao Makuu ya Usalama kuwa na 'Caution Money' toka kwa wenye daladala itakayotunzwa nao na kukatwa wakati daladala ya mtu hiyo imetozwa faini?
4. Dereva wa daladala kumuarifu tajiri yake alipe faini hiyo kwa kutumia simu yake ya mkononi.
5. Fedha hiyo kuingia kwenye mfumo wa Daladala-Pesa/Barabara-Pesa wa Usalama Barabarani ambao utatumika kuongeza ubora wa maisha ya watumishi wote
wa Jeshi la Polisi pamoja na wanaofanya vizuri sana pia kutunzwa bonasi na bakshishi nyingine?
Na je, bajeti ya serikali nayo hatima ya yote haitatunishwa na
mfuko unaotokana na kuhakikisha kuwasheria za usalama zinafuatwa na kunakuwepo na utawala wa kisheria nchini? Angalizo: Kama wazo hili linakubalika na
kutekelezwa ikumbukwe kwamba, kila mvunja sheria za barabarani anayeripotiwa sio tu atalipa faini bali atalipia ujumbe uliotumwa kumripoti na ujumbe mwingine
utakaofuatia hadi alipe faini ikiwa ni pamoja na ujumbe wa kumkumbusha kwamba hajalipa faini aliyotozwa.
Aidha, raia ndani ya basi au barabarani wataweza
kumripoti dereva yeyote mzembe ili mradi simu zao ziwe zimesajiliwa na majina yao yanajulikana na wanaweza kutoa ushahidi. 'Lotto' ya Usalama barabarani inaweza kuwazawadia pia watu kama hao.Huu ni mfano mmoja tu, lakini ninaamini Tanzania ya leo ina watu wengi tu wenye akili kama mchwa baadhi yao wakiwemo humo humo ndani ya jeshi la polisi basi mjaribu kuona pia njia nyingine zinazofaa zaidi ya mawazo ninayotoa mimi.Ninachokisema mimi ni kuwa upo
uwezekano wa jeshi la polisi kuwa na watu wachache vituoni na wengi wao wakawa mitaani; na huko mitaani kuna uwezekano mkubwa wa kutumia simu za mikononi kunasa na kuripoti makosa ya barabarani bila askari kulazimika kuandika kitu zaidi ya kubonyeza namba na maelezo ndani ya simu yake; na taarifa hizo kupokelewa makao makuu kupitia watoa huduma za simu za mkononi/wenye majukwaa ya kutuma na kupokea ujumbe na juu ya yote simu hizo hizo za mkononi
kutumiwa na wenye daladala kulipa faini za papo kwa hapo.Hili si wazo jipya, ila muktadha wake ni mpya. Sio wazo litakoeleweka au kukubalika kirahisi na wengi
kwani huenda likawa linachangia moja kwa moja kuondoa vitendo vya madereva, abiria na usalama barabarni vinavyochangia kuwepo kwa rushwa kwa kukata
kabisa mzizi wa fitina.
Nimezoea kutoa mawazo bure na sitarajii kunufaika chochote na mawazo haya kama ambavyo sijawahi kunufaika na wazo langu lolote huko nyuma. Hivyo mtu asije kunishuku kwamba, ninatumiwa na wamiliki wa kampuni za simu za mikononi kuwapatia biashara mpya bali nalitoa hili toka dhati ya moyo
wangu ili kuchangia usalama barabarani na kutokomeza kabisa rushwa vitu ambavyo vinamkera yule, wewe na mimi.
Kutokana na wao polisi kuonesha angalau nia ya kufanya jambo jema makala haya ninawatunza wao pamoja na yaliyomo ambayo yanaongeza kuwapanua mawazo juu ya kile kinachostahili kufanyika ili azma yao isiwe wimbo utakaosahaulika baada ya muda si mrefu.Kwanza, tukubaliane kwamba, matatizo ya jeshi la polisi sio rushwa tu. Kuna matatizo mengi ambayo kwa umoja wao ndiyo yanayochangia watu kuwa na alama ya ulizo kila saa juu ya utendaji kazi wa jeshi hilo.
Baadhi ya matatizo ya jeshi hilo ni yale ya baadhi yao kukosa wito; tamaa ya kutaka kutajirika haraka haraka kutokana na kujifananisha na wengine; wakubwa wenye ajenda zao nje ya usalama wa raia na mali zao; elimu ndogo ya uraia na uzalendo na uamsho wa chini juu ya wajibu wa polisi katika kukuza na kuimarisha demokrasia changa.Aidha, polisi wana matatizo ya zana na vifaa vichache na duni; kukosa
maendeleo katika matumizi ya teknohama, makazi bora, maslahi ridhishi, nafasi finyu za kujiendeleza ili kukabiliana na mazingira ya nchi na ya dunia yanayobadilika kila leo.Lakini la ajabu kwa upande wangu mimi ni kuwa matatizo haya yote yanaweza kutatuliwa kwa jeshi hilo likisaidiwa na serikali kujipanga upya ili kumaliza ile hali ya mitaa na barabara zetu kuonekama kama vile hazina au hazifuati sheria hata kidogo.
Muulize mtu yeyote anayetoka nchi iliyostaarabika na
atakuambia anachokiogopa sasa hapa nchini zaidi ya rushwa ni kutokuwa na utawala wa kisheria unaofanya kazi.Hili linaashiria kwamba, kuna kazi kubwa sana ya kuleta mabadiliko ya msingi sio tu ndani ya jeshi la polisi, lakini pia katika jamii ya Kitanzania ambayo imeachiwa kwenda upogo na serikali kadhaa zilizotangulia pengine katika ile hali ya wazazi kumdekeza mwana na kumuachia kufanyaatakalo bila kuadabishwa.
Kwa hiyo kama tunataka mapinduzi ya kweli tukubali kuwa
tuanze na kukataa maadili na tabia mbovu tulizozilea hadi wa leo. Hili sio jambo dogo. Linahitaji waliopewa dhamana ya kutuongoza kukutana na wataalamu wa saikolojia na sosholojia ili hatimaye pawe na mkakati wa kupakua toka akilini mwa Watanzania takataka na uchafu mwingine uliomo humo na kisha kusafisha akili na bongo zetu sawasawa halafu kuanza kupandikiza uadilifu, haki, uaminifu, ukweli, utu na ubinadamu ndani yetu.Wakati tunasubiri hayo yatokee; maana kama tunavyowajua wanasiasa duniani hawana haraka na jambo, pengine ipo haja ya kuzungumzia mambo mawili matatu ambayo jeshi la polisi, serikali, kampuni za
simu za mikononi na watu kama 2-Mobile na wale wengine wenye majukwaa ya kupokea na kurushia taarifa wanaweza kuifanya ili jeshi letu la polisi litimize ndoto yake ya kuwa chombo safi na kinachokubalika na jamii.Kabla ya kufanya hivyo, lazima awali ya yote tubainishe ni nini hasa majukumu ya jeshi hilo.
Nitafanya hivyo kwa kuuliza maswali kwamba: Hivi katika karne hii ya sayansi na teknolojia ni kazi ya polisi kukamata magari barabarani ? Hivi usalama wa watembeao kwa miguu
na hasa watoto, wazee na walemavu unamtegemea nani? Hivi ukiwa na madereva ambao hawaheshimu 'zebra-crossing' na taa za barabarani utasema una polisi wa usalama barabarani au wa hatari barabarani?
Hivi unaweza kuwa na askari 10 au 20 ambao eti kazi yao ni kuandika maelezo ya wanaoletwa vituoni ukasema unawatumia jamaa hao vizuri? Hivi kweli tunashindwa kujipanga kwamba, kazi ya ulinzi iwe barabarani, viwandani au nyumbani ni ya watu wanaolipwa mshahara kufanya kazi hiyo?Wakati unafikiria majibu ya maswali hayo mimi ninapendekeza yafuatayo:
Idadi ya polisi wanaobaki vituoni ipunguzwe kwa kiasi kikubwa kwa kutumia kompyuta na nakala-igizwa [templates) kwa kuwa makosa yote yanayoweza kufanyika hapa nchini yanajulikana na yanaweza kuandaliwa nakala-igizwa hizo na kazi ya wanaokaa nyuma ya kompyuta ni kujaza maelezo kidogo kwa kubadili majina, tarehe, namba au idadi za vitu na sehemu mbalimbali, mahali pa tukio na maelezo binafsi machache ili katika dakika 2 au tatu maelezo ya mtu yawe yamedakwa, kuchapwa na kusainiwa. Hili litaongeza idadi ya askari
watakaokuwa majiani na mitaani kunasa uhalifu na kusaidia watoto, wazee na walemavu na watu wengine wenye matatizo binafsi.SMS na Usalama Barabarani.
Hakika aliyegundua ujumbe mfupi anatufungua macho kwenye mengi ambayo hata bado hatujaanza kuyafikiria. Hebu tuangalie hili la usalama barabarani, rushwa na matumizi ya teknohama.Je, makosa yote yanayoweza kufanywa iwe na gari, dereva, konda au abiria na kadhalika barabarani
yanajulikana? Tunaweza kuyapa haya namba maalumu? Na je, kuna polisi, dereva wa daladala au konda asiyekuwa na simu ya mkononi?Ndugu Mwema unaweza kuongea na Vodacom, Zain, Zantel na Tigo na wale wenye majukwaa ya kuhifadhi, kupokea na kutuma ujumbe ili wakueleze kama inawezekana kwa mambo haya kufanyika:
1. Usalama barabarani kutuma ujumbe makao ya Usalama Barabarani kwa kubonyeza kitufe chake kwenye simu na kujaza maelezo muhimu ambayo yote yako kwa namba kuhusu kosa lililofanywa na daladala fulani ?
2. Makao makuu husika kupokea taarifa hiyo na kuhifadhi kumbukumbu na kisha kumtumia papo kwa hapo dereva wa daladala husika kuwa kafanya kosa
fulani, mahala fulani, saa fulani na kwamba alipe faini kiasi fulani ?
3. Makao Makuu ya Usalama kuwa na 'Caution Money' toka kwa wenye daladala itakayotunzwa nao na kukatwa wakati daladala ya mtu hiyo imetozwa faini?
4. Dereva wa daladala kumuarifu tajiri yake alipe faini hiyo kwa kutumia simu yake ya mkononi.
5. Fedha hiyo kuingia kwenye mfumo wa Daladala-Pesa/Barabara-Pesa wa Usalama Barabarani ambao utatumika kuongeza ubora wa maisha ya watumishi wote
wa Jeshi la Polisi pamoja na wanaofanya vizuri sana pia kutunzwa bonasi na bakshishi nyingine?
Na je, bajeti ya serikali nayo hatima ya yote haitatunishwa na
mfuko unaotokana na kuhakikisha kuwasheria za usalama zinafuatwa na kunakuwepo na utawala wa kisheria nchini? Angalizo: Kama wazo hili linakubalika na
kutekelezwa ikumbukwe kwamba, kila mvunja sheria za barabarani anayeripotiwa sio tu atalipa faini bali atalipia ujumbe uliotumwa kumripoti na ujumbe mwingine
utakaofuatia hadi alipe faini ikiwa ni pamoja na ujumbe wa kumkumbusha kwamba hajalipa faini aliyotozwa.
Aidha, raia ndani ya basi au barabarani wataweza
kumripoti dereva yeyote mzembe ili mradi simu zao ziwe zimesajiliwa na majina yao yanajulikana na wanaweza kutoa ushahidi. 'Lotto' ya Usalama barabarani inaweza kuwazawadia pia watu kama hao.Huu ni mfano mmoja tu, lakini ninaamini Tanzania ya leo ina watu wengi tu wenye akili kama mchwa baadhi yao wakiwemo humo humo ndani ya jeshi la polisi basi mjaribu kuona pia njia nyingine zinazofaa zaidi ya mawazo ninayotoa mimi.Ninachokisema mimi ni kuwa upo
uwezekano wa jeshi la polisi kuwa na watu wachache vituoni na wengi wao wakawa mitaani; na huko mitaani kuna uwezekano mkubwa wa kutumia simu za mikononi kunasa na kuripoti makosa ya barabarani bila askari kulazimika kuandika kitu zaidi ya kubonyeza namba na maelezo ndani ya simu yake; na taarifa hizo kupokelewa makao makuu kupitia watoa huduma za simu za mkononi/wenye majukwaa ya kutuma na kupokea ujumbe na juu ya yote simu hizo hizo za mkononi
kutumiwa na wenye daladala kulipa faini za papo kwa hapo.Hili si wazo jipya, ila muktadha wake ni mpya. Sio wazo litakoeleweka au kukubalika kirahisi na wengi
kwani huenda likawa linachangia moja kwa moja kuondoa vitendo vya madereva, abiria na usalama barabarni vinavyochangia kuwepo kwa rushwa kwa kukata
kabisa mzizi wa fitina.
Nimezoea kutoa mawazo bure na sitarajii kunufaika chochote na mawazo haya kama ambavyo sijawahi kunufaika na wazo langu lolote huko nyuma. Hivyo mtu asije kunishuku kwamba, ninatumiwa na wamiliki wa kampuni za simu za mikononi kuwapatia biashara mpya bali nalitoa hili toka dhati ya moyo
wangu ili kuchangia usalama barabarani na kutokomeza kabisa rushwa vitu ambavyo vinamkera yule, wewe na mimi.
Nani anayestahili mshahara mzuri?
Nani anayestahili mshahara mzuri?
KATIKA nchi nyingi za Kiafrika na zilizobaki nyuma kimaendeleo, hadi leo suala la mapato kutokana na mishahara lina walakini ambao unachangia nchi hizo
kubakia masikini miaka nenda rudi.
Walakini huu ni kule kuonekana kutokuwa na haki au uwiano kati ya mshahara mtu anaoupata na mchango wake kwa maendeleo ya nchi na watu wake.
Mfumo huu wa mishahara umerithiwa toka kwa wakoloni ambao walikuwa wameamua kujilipa wao walivyopenda bila kujali kuwa wanajenga au wanaharibu nchi.
Hivi leo ili mradi tu unaingia kwenye duru za utawala katika ngazi kuanzia ile ya wilaya kwenda za juu una uhakika wa kulipwa mshahara na masurufu mengine
manono bila ya kuwepo kwa taratibu za kuangalia kama mchango wako una thamani ya mshahara unaolipwa.
Katika hali kama hii kuna idara, wilaya, mikoa na wizara ambazo watu wanaamini kuwa zinaingiza hasara mara mbili kwani kuna watu wasiochangia maendeleo ya
sehemu husika au pengine wanavuruga mambo huko, lakini bado pia wanalipwa vizuri tu.
Hatusemi viongozi hawastahili kulipwa vizuri. La hasha. Lakini kuna ulazima katika miaka hii ya sasa ambayo watumishi wote wa umma wanaweza wakafutwa kazi
na watu wengine pengine wenye uwezo mkubwa zaidi yao kuchukua nafasi hiyo na kazi yao ikawa bora zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma, kuhakikisha kuwa
tunaoanisha mapato ya mtu na mchango wake kwa maendeleo ya jamii na yale ya nchi kuanzia ngazi ya udiwani hadi uwaziri.
Kwa maneno mengine, kila shilingi anayolipwa mtu lazima ionekane yeye anachangia kurudisha shilingi ngapi katika hazina ya nchi.
Dunia ya leo imebadilika. Nchi haiwezi kuendeshwa kama biashara isiyokuwa na hasara na faida. Ikiendeshwa kwa namna hiyo, yanayotokea Ugiriki hivi leo
yanaweza kuwa ni mambo ya kawaida katika nchi zetu baada ya miaka michache.
Ni lazima tuendeshe nchi zetu kama vile tunaendesha makampuni binafsi ya watu ambayo yanajali na kufuatilia kwa karibu thamani ya mtu na mchango wake kwa
faida na ufanisi wake; vilevile haikubaliki kufanya matumizi ya fujo yanayoweza kuhatarisha hatima ya chombo husika.
Kwa maneno mengine, Tanzania ni kampuni kama kampuni nyingine yoyote. Wananchi wake ni waweka hisa katika serikali yao. Ama serikali hiyo inaweza
kuendeshwa kifaida au kihasara na wao ama wakafaidika na faida hizo au wakala hasara kutokana na uongozi mbovu.
Njia za mawasiliano, elimu na maarifa yaliyopo, maendeleo ya teknolojia mbalimbali na changamoto mbalimbali zinazoukabili ulimwengu zinatulazimisha
kuhakikisha kuwa tunaachana na utamaduni uliopitwa na wakati wa kuamini eti serikali haiwezi kufilisiwa au kuishiwa.
Lakini, kubwa zaidi ni lile la mabadiliko ya kimtazamo na kimsimamo kuhusu ni watu gani ambao kwa kweli ndio wanaostahili kulipwa mishahara mizuri ili kazi yao
izae matunda yatakayochangia watu wengine pia kupata mapato na maisha mazuri.
Kuna mamna mbili za uwezekano hapa. Unaweza ukalipa kundi la watu ambao hawana mchango wowote katika kuwawezesha kihali na kimali wananchi na
hivyo fedha yote ikaishia kwenye matumbo ya watu na miradi isiyochangia kabisa maendeleo ya nchi na watu wake, auunaweza ukawa na mfumo wa uzalishaji na
ugawaji mapato ambao unayapa makundi muhimu katika jamii uwezo wa kifedha ambao unakuwa ni chachu katika maendeleo ya watu wengine.
Kwa maneno mengine, taifa linaingiza mapato kila mwaka, lakini ni nani anayepata mapato haya na anayafanyia kitu gani, nayo yanachangia vipi maendeleo ya
nchi na watu wake? Aidha, ni muhimu kujua ni kwa namna gani nchi inaweza ikawa na mfumo wa fedha hususan katika matumizi ambao hauchangii kujenga kila
siku tabaka la wenye nacho na wasio nacho.
Ni vizuri kuangalia kuwa je, mishahara wanayopata mawaziri, makatibu wao, wakuu wa idara na mamlaka mbalimbali, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na
wengineo kama inaendana na mchango wao kwa maeneo husika. Maana upo uwezekano wa kumlipa mtu mshahara kwa miaka 5 hata 10 na mtu huyu asiwe na
chochote cha kuonyesha katika eneo lake la kazi. Ndio maana kuna wanaopendekeza katika nafasi mbalimbali za ajira; iwe kwa kuchaguliwa au kuteuliwa
panakuwa na mshahara wa kushikilia nafasi hiyo na ziada ya hapo iwe inalipwa baada ya kuona mhusika amefanya mambo yanayonekana katika eneo lake.
Kuna wanaouliza kwanini nchi kama Imarati, Malaysia, China viongozi wanajirudisha nyuma kwanza ili wananchi wapate na pale wananchi wanapokwamuliwa
kiuchumi na kijamii ndipo viongozi nao wanapoanza kujiangalia.
Tumeua karibu mashirika yote ya umma, lakini yaliyobakia mikononi mwa serikali ndiyo yaliyochoka kuliko wengine. Tatizo ni nini. Mbona Uchina bado wanamiliki
mashirika mengi ya umma na inasemakana sasa yanafanya maajabu ikilinganishwa na zamani?
Nchi au mkoa au kampuni sio fedha au mtaji au majengo au mitambo au ardhi bali ni watu. Tatizo letu kubwa hapa inaelekea liko katika kumsoma, kumwelewa na
kumtumia mwanadamu kwa namna ambayo anaridhika, anafurahia na anakuwa radhi kujitoa ili kuchangia maendeleo ya wenzake na nchi yake. Binadamu yeyote
anayeona kwamba yeye anatumika tu kama chombo au mashine na wenzake au serkali yake hawezi kuwa na uaminifu, utiifu, uadilifu na kujituma kama yule
anayejiona yeye ni mbia au mwenye hisa katika taasisi husika.
Mfanyakazi kama mtoto hukua kwa jinsi umleavyo. Mtoto ukimlea bila mapenzi, kwa kumwita mwizi, mwongo na kumwaminisha kwamba kushindwa kwake kuwa
na maisha bora sio kosa la mzazi bali ni la mtoto unategemea nini kwa kizazi chako hicho?
Huko Malaysia, China, India na Imarati pamoja na nchi nyingi tu za Kiarabu na zile za Marekani ya Kusini na Kati ambao kimaendeleo hatukuwa tumepishana sana
kwenye miaka ya 60 wameligundua hili. Ni pale tu walipoanza kumpa mtu wao thamnani na kumuamini ndipo watu wao walipoanza kufanya maajabu.
Ninaamini tukiwa na siasa na sera za kujifunza kutoka kwa wengine ziara kwenye nchi kama hizo zinaweza kutufungua moyo, roho, macho na masikio kwa kiasi
kikubwa.
Wakati mwingine, huwa najiuliza kwamba, hivi wanasayansi, watafiti, walimu, madaktari, manesi, walinzi na wanausalama, wahandisi, wajenzi na watu wengine
kama hao wanaochangia moja kwa moja kukua kwa pato la nchi ndio wangelikuwa wanalipwa vizuri kuliko wanasiasa; nchi yetu ingelikuwa wapi?
Huko Norway leo kwa kuwa mwalimu au daktari analipwa vizuri mno hafikirii kabisa ubunge au uwaziri au ubalozi. Kwao huwa ni shughuli kutafuta watu wa kujaza
nafasi kama hizo, kiasi ambacho wakati mwingine vivutio hupaswa kuwekwa ili watu wazikubali nyadhifa kama hizo.
Ni kawaida ya binadamu sikuzote kutaka apate yeye hata kama wengine wanakosa. Kwa Waafrika husemekana wapo wanaoshughulikia wengine ili wakose
kabisa.
Hayo yote tisa, kumi ni kwamba, haitakaa hata siku moja mtu kuridhika na anachokipata kama mshahara au kipato kingine. Na anayejua kiatu kinamfinya wapi
hawezi kukaa kimya bila kuonyesha na hasa pale anapojua kuwa kuna mianya kama sio mitaro na mahandaki yaliyoruhusiwa kupitisha kile ambacho kilistahili
kwenda kwake kwenda kwa wengine.
Vilevile nchi kujikuta ina watumishi wa umma wasio na ubunifu wala uzuzi katika kuwawezesha watu kuzitumia fursa za kiuchumi zilizopo na pia kugeuza matatizo
kuwa ni fursa za watu na nchi kuingiza pato zaidi. Wa mbili, kwa kweli, havai moja!
Kampuni, kujitangaza na mchango kwa jamii..... Sammy Makilla KWANZA , nisionekane kwamba sina shukrani. Ninazishukuru kampuni zote za Tanzania na za
nje ambazo hivi leo zinapigana vikumbo sio tu katika kujitangaza, bali la zaidi katika kuirudishia jamii ( kama wanavyosema wao) kile jamii inachowapa wao. Hata
hivyo, kuna mambo kadhaa ambayo yamekuwa yakiendelea kama sehemu ya kujitangaza na sehemu ya kuisaidia jamii ambayo kidogo yananitatiza. Mathalani,
hivi kweli kupiga rangi nyumba kama sio banda bovu ni njia nzuri ya kujitangaza ? Sitaki jibu sasa hivi hebu fikiria wewe kwanza. Swali jingine, hivi kuwahimiza watu
katika nchi maskini wao wenyewe kutumia ili ndio washinde zawadi nayo pia ni njia sahihi ya kuitangaza na kuirudishia jamii kile inachopata toka kwa wanajamii
husika? Halafu tujiulize pia maswali haya: Jamii yetu iko wapi ? Tunataka iende na ifike wapi na lini? Kwanini ? Na kuna matatizo au vikwazo gani vinavyochangia
jamii yetu kuwa hapa ilipo kiujumla kama jamii maskini? Lengo la makala haya ya leo ni kuonesha kwamba kupaka rangi nyumba mbovu; kuhamasisha watu
kutumia (consumerism) na kuwahimiza watu wajione tofauti na wanajamii wenzao kwa hili au lile pengine inaweza ikawa sio njia sahihi ya kujitangaza na
kuirudishia jamii kile kinachostahili kurudishwa.
Nitajaribu kuonyesha mambo mbadala ambayo kama yakifanyika kampuni hizo zenye kujisikia zina wito wa kuwajibika kijamii zitakuwa zimefanya mambo bora na
ya maana kweli kweli. Maana kinachofanyika hivi sasa na kampuni mbalimbali nchini ni sawa sawa na kumpa mtu mzima 'pipi' au kitu kingine kitamu, kama vile
bado mtu ni mtoto wakati ugonjwa wake ni wa kiutu uzima." Yapo mambo mengi yanayoweza kufanywa na makampuni hapa nchini ambayo sio tu yatachangia
kubadili maisha ya wananchi bali pia kuongeza maradufu au zaidi faida za makampuni hayo. Nitajaribu kuorodhesha na kuelezea kwa uchache baadhi ya mambo
hayo nikitaraji kuwa huwa ni mwanzo wa mjadala wa ushirikiano kati ya wananchi na makampuni mbalimbali hapa nchini yatakayolenga sisi wote kuwa washindi.
Ni muhimu kama kweli kampuni zinataka zionekane zina nia ya kumsaidia Mtanzania kujiingiza katika kurahisisha kupatikana kwa zana za uzalishaji mali katika
kilimo na viwanda vidogo vidogo kwa mamilioni ya vijana wa nchi hii, ambao sio rahisi kupata mtu wa kuwaajiri. Kitendo cha kuwawezesha watu hawa kujiajiri ni
kitendo kitakachohakikisha makampuni hayo siku za mbele kuwa na wateja wanaongezeka badala ya kupungua. Kitendo hicho kinaimarisha amani na
mshikamano nchini kitu muhimu kwa mafanikio ya makampuni yote nchini. Ninaamini kwamba njia nyingine ya kuwajibika kijamii kiutu-uzima ni kuwasaidia walimu
na wahadhiri kwa hali na mali ili walimu na wahadhiri wawe na hali bora kimaisha na hivyo kuboresha elimu zaidi katika ngazi ya msingi, sekondari na vyuo.
Ninaamini, mathalani, kampuni A inaweza ikawadhamini walimu kadhaa wa mahesabu; kampuni B Kemia; kampuni C Fizikia; kampuni D-Utalii; kampuni
E-Biashara na kadhalika. Wao wenyewe wataamua nini cha kufanya, lakini mwisho wa siku walimu hao wanajikuta wana muda zaidi wa kujitolea kuboresha elimu
kuliko ilivyo hivi sasa. Kampuni zitaweza kujitangaza kwa walimu au wahadhiri hao kuitwa. Kwa mfano, mwalimu wa mahesabu wa Sasatel, Ali Bakari wa shule ya
Benjamin Mkapa amesema… Sambamba na hili ni kuwasaidia madaktari na wauguzi ili wafanze tiba na uganga bora zaidi. Hapo napo kitakachofanyika kwa
mfano ni kampuni moja kudhamini madaktari wa magonjwa ya watoto kwa kupunguza gharama na kuchangia pengine mkopo wa ujenzi wa nyumba au
ununuzi/utunzaji wa gari kwa mhusika au ulipiaji ada wa mtoto wa daktari au muuguzi nao pia wakaitangaza kampuni husika, mwalimu wa kemia wa Pepsi Cola,
Mary Mangesho amesema kwamba ....... Tunapokuja kwenye ngazi ya wananchi wengi ni muhimu kuangalia upatikanaji wa nishati ya nafuu zaidi, hususan
umeme wa mafuta, maji, jua au upepo kwa matumizi ya nyumbani chapuchapu ili kuchangia kupanda kwa ubora wa hali ya maisha ya mwananchi, kumkinga na
maradhi ya kutumia nishati hafifu na za hatari na vilevile kumrahisishia ununuzi na matumizi ya vifaa bora vya nyumbani vinavyohitaji nishati hiyo pia ikiwemo vile vya
kampuni zitakazochangia kupatikana kwa nishati hiyo. Tatizo jingine kubwa katika miji yetu ni lile la upatikanaji maji. Kampuni zikichangia kufanya upatikanaji maji
kirahisi vitakuwa vimemkomboa mwanamke na kazi inayotumia muda wake mwingi, lakini siyo ya uzalishaji mali moja kwa moja. Muda unaookolewa hivi
utawasaidia watu hao kujiajiri katika kazi yenye kipato na tija zaidi na hivyo kuwapa uwezo wa kununua bidhaa zaidi kutoka kwa makampuni mbalimbali hapa
nchini. Kazi hii ya ufikivu wa maji majumbani na mashuleni sio rahisi na hatuwezi kuwaachia watu au makampuni fulani tu au serikali yenyewe kuifanikisha. Pale
inapowezekana wale wenye uwezo na hasa makampuni makubwa nayo yachangie pia kwa wanajamii kupata maji safi na salama. Vilevile upatikanaji wa maji ya
uhakika utachangia sio haba kuwa na miti, bustani na maua yanayopendezesha mitaa na miji yetu. Na hili nalo litachangia kujenga mvuto wa miji yetu kwa watalii
kwa miji yetu kuonekana ni ya kistaarabu zaidi. Vijana wengi wa kitanzania hawana ajira. Na hakuna njia bora zaidi ya kuwasaidia kuliko ile ya kuwawezesha wao
wenyewe kujiajiri. Ni kweli wanamichezo sasa hivi wanapata fursa hiyo, lakini vijana wote sio wana michezo. Kadhalika sio michezo yote inayofadhiliwa kwa kiasi
hicho; kwa hiyo bado kuna umuhimu wa kuyaangalia wanayoweza kufanya vijana ikiwa ni pamoja na kazi za kilimo, viwanda vidogo vidogo, sanaa, uigizaji filamu,
uandishi wa vitabu, uchoraji katuni, uchekeshaji, matumizi ya kompyuta kuzalisha vitu mbalimbali na kuona ni kwa namna gani kampuni zinaweza kujipanga na
kuwasaidia vijana wetu ili wajikomboe kiuchumi na wakati huo huo waweze kutoa mchango wao unaohitajika sana katika maendeleo ya nchi yetu. Katika hili
kampuni zinaweza kujipanga na kuanzisha mfuko wa maendeleo ya ujasiriamali miongoni mwa vijana Tanzania ambao utasimamiwa na watu wanaoaminika na
wenye utaalamu unaostahili na kazi yake kubwa itakuwa ni kuwahamasisha vijana kuja na mawazo juu ya nini kinachoweza kuwakomboa. Kisha taasisi hiyo
iwape elimu na maarifa katika masuala hayo pamoja na kuwafungua macho kwa kuwapeleka nchi za nje kujifunza zaidi ujasiriamali katika eneo husika. Baada ya
hapo itawafadhili kwa mkopo usio na riba utakaochangia uanzishwaji na uendelezaji wa wazo na hatimaye mradi wao. Katika mikoa Kando ya Ziwa kuna tatizo
sugu la kisasi na wizi wa mifugo ambalo juzi limeishia kwa mauaji ya watu 17 wa ukoo mmoja kuuawa kikatili. Huko mradi wa kisaikolojia na kijamii ili kumaliza
ubabe na ukatili miongoni mwa watu wa mikoa ya Kanda ya Ziwa ungelitoa mchango mkubwa katika kumaliza tatizo hilo ambalo serikali na vyombo vyake mpaka
hivi leo vinakiri ni zito kuliko wanavyofikira wao. Kuna hatari ya ujinga kurudi tena Tanzania je hatuwezi kupeleka sinema za kila mwezi kwa magari huko vijijini ili
kuwaongezea elimu, burudani na starehe wananchi ? Bila shaka mradi huu sio tu utafanya kazi hizo hapo juu bali pia utakuwa ni njia kubwa ya matangazo ya
biashara husika kufika vijijini kirahisi.
Kinachohitajika hapa ni kwa kampuni hizo kuja na kuanzisha kampuni ya kupeleka sinema mitaani na vijijini itakayokuwa ikijiendesha yenyewe kibiashara. Jambo
lingine linaloweza kufanywa na kampuni zinazoamini kuwa wananchi ni wabia wao wa kudumu ni kuchangia kuifanya mitaa, vitongoji, vijiji na miji yetu kuwa safi na
salama zaidi. Bila maneno mengi wote tunajua umuhimu wa usafi na usalama katika maisha yetu. Hili likifanyika ni dhahiri kampuni hizo zitakuwa zinajiongezea sio
tu heshima bali kuaminiwa kwao mbele ya macho ya wananchi. Hali kadhalika kampuni hizo zinaweza kusaidia kuwepo kwa usafiri wa kistaarabu na heshima
zaidi kwa umma kwa kuwaleta wataalamu na ikiwezekana wawekezaji waweze kushauri watu na nchi ni mambo gani yanaweza kufanywa ili wenye daladala na
mabasi mengineyo wafanye kazi zao kiungwana na kistaarabu zaidi. Wito mwingine ni ule wa kufadhili michezo mbalimbali zaidi ya mpira wa miguu kupitia shule
za msingi, sekondari na vyuo vikuu. Hakika nchi hii haiwezi kuendelea kimichezo kama shule na vyuo havishirikishwi kikamilifu katika kuandaa wachezaji na
washindani wa kesho. Kubwa zaidi katika hili ni kwamba, kwa kufanya hivyo kutachangia pia umoja, udugu na mshikamano wa wanafunzi na vijana wa Kitanzania
popote walipo. Pamoja na hili ni lile la kusaidia kuanzishwa kwa ujenzi wa viwanja vya michezo kwa kila shule, chuo, kata, kijiji na mji nchini kama kusudio la awali
la kuwa na miundombinu ya kisasa nchi nzima itakayotuwezesha pia kujiandaa kwa kuwa wenyeji wa mashindano makubwa ya kimataifa siku za baadaye.
KATIKA nchi nyingi za Kiafrika na zilizobaki nyuma kimaendeleo, hadi leo suala la mapato kutokana na mishahara lina walakini ambao unachangia nchi hizo
kubakia masikini miaka nenda rudi.
Walakini huu ni kule kuonekana kutokuwa na haki au uwiano kati ya mshahara mtu anaoupata na mchango wake kwa maendeleo ya nchi na watu wake.
Mfumo huu wa mishahara umerithiwa toka kwa wakoloni ambao walikuwa wameamua kujilipa wao walivyopenda bila kujali kuwa wanajenga au wanaharibu nchi.
Hivi leo ili mradi tu unaingia kwenye duru za utawala katika ngazi kuanzia ile ya wilaya kwenda za juu una uhakika wa kulipwa mshahara na masurufu mengine
manono bila ya kuwepo kwa taratibu za kuangalia kama mchango wako una thamani ya mshahara unaolipwa.
Katika hali kama hii kuna idara, wilaya, mikoa na wizara ambazo watu wanaamini kuwa zinaingiza hasara mara mbili kwani kuna watu wasiochangia maendeleo ya
sehemu husika au pengine wanavuruga mambo huko, lakini bado pia wanalipwa vizuri tu.
Hatusemi viongozi hawastahili kulipwa vizuri. La hasha. Lakini kuna ulazima katika miaka hii ya sasa ambayo watumishi wote wa umma wanaweza wakafutwa kazi
na watu wengine pengine wenye uwezo mkubwa zaidi yao kuchukua nafasi hiyo na kazi yao ikawa bora zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma, kuhakikisha kuwa
tunaoanisha mapato ya mtu na mchango wake kwa maendeleo ya jamii na yale ya nchi kuanzia ngazi ya udiwani hadi uwaziri.
Kwa maneno mengine, kila shilingi anayolipwa mtu lazima ionekane yeye anachangia kurudisha shilingi ngapi katika hazina ya nchi.
Dunia ya leo imebadilika. Nchi haiwezi kuendeshwa kama biashara isiyokuwa na hasara na faida. Ikiendeshwa kwa namna hiyo, yanayotokea Ugiriki hivi leo
yanaweza kuwa ni mambo ya kawaida katika nchi zetu baada ya miaka michache.
Ni lazima tuendeshe nchi zetu kama vile tunaendesha makampuni binafsi ya watu ambayo yanajali na kufuatilia kwa karibu thamani ya mtu na mchango wake kwa
faida na ufanisi wake; vilevile haikubaliki kufanya matumizi ya fujo yanayoweza kuhatarisha hatima ya chombo husika.
Kwa maneno mengine, Tanzania ni kampuni kama kampuni nyingine yoyote. Wananchi wake ni waweka hisa katika serikali yao. Ama serikali hiyo inaweza
kuendeshwa kifaida au kihasara na wao ama wakafaidika na faida hizo au wakala hasara kutokana na uongozi mbovu.
Njia za mawasiliano, elimu na maarifa yaliyopo, maendeleo ya teknolojia mbalimbali na changamoto mbalimbali zinazoukabili ulimwengu zinatulazimisha
kuhakikisha kuwa tunaachana na utamaduni uliopitwa na wakati wa kuamini eti serikali haiwezi kufilisiwa au kuishiwa.
Lakini, kubwa zaidi ni lile la mabadiliko ya kimtazamo na kimsimamo kuhusu ni watu gani ambao kwa kweli ndio wanaostahili kulipwa mishahara mizuri ili kazi yao
izae matunda yatakayochangia watu wengine pia kupata mapato na maisha mazuri.
Kuna mamna mbili za uwezekano hapa. Unaweza ukalipa kundi la watu ambao hawana mchango wowote katika kuwawezesha kihali na kimali wananchi na
hivyo fedha yote ikaishia kwenye matumbo ya watu na miradi isiyochangia kabisa maendeleo ya nchi na watu wake, auunaweza ukawa na mfumo wa uzalishaji na
ugawaji mapato ambao unayapa makundi muhimu katika jamii uwezo wa kifedha ambao unakuwa ni chachu katika maendeleo ya watu wengine.
Kwa maneno mengine, taifa linaingiza mapato kila mwaka, lakini ni nani anayepata mapato haya na anayafanyia kitu gani, nayo yanachangia vipi maendeleo ya
nchi na watu wake? Aidha, ni muhimu kujua ni kwa namna gani nchi inaweza ikawa na mfumo wa fedha hususan katika matumizi ambao hauchangii kujenga kila
siku tabaka la wenye nacho na wasio nacho.
Ni vizuri kuangalia kuwa je, mishahara wanayopata mawaziri, makatibu wao, wakuu wa idara na mamlaka mbalimbali, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na
wengineo kama inaendana na mchango wao kwa maeneo husika. Maana upo uwezekano wa kumlipa mtu mshahara kwa miaka 5 hata 10 na mtu huyu asiwe na
chochote cha kuonyesha katika eneo lake la kazi. Ndio maana kuna wanaopendekeza katika nafasi mbalimbali za ajira; iwe kwa kuchaguliwa au kuteuliwa
panakuwa na mshahara wa kushikilia nafasi hiyo na ziada ya hapo iwe inalipwa baada ya kuona mhusika amefanya mambo yanayonekana katika eneo lake.
Kuna wanaouliza kwanini nchi kama Imarati, Malaysia, China viongozi wanajirudisha nyuma kwanza ili wananchi wapate na pale wananchi wanapokwamuliwa
kiuchumi na kijamii ndipo viongozi nao wanapoanza kujiangalia.
Tumeua karibu mashirika yote ya umma, lakini yaliyobakia mikononi mwa serikali ndiyo yaliyochoka kuliko wengine. Tatizo ni nini. Mbona Uchina bado wanamiliki
mashirika mengi ya umma na inasemakana sasa yanafanya maajabu ikilinganishwa na zamani?
Nchi au mkoa au kampuni sio fedha au mtaji au majengo au mitambo au ardhi bali ni watu. Tatizo letu kubwa hapa inaelekea liko katika kumsoma, kumwelewa na
kumtumia mwanadamu kwa namna ambayo anaridhika, anafurahia na anakuwa radhi kujitoa ili kuchangia maendeleo ya wenzake na nchi yake. Binadamu yeyote
anayeona kwamba yeye anatumika tu kama chombo au mashine na wenzake au serkali yake hawezi kuwa na uaminifu, utiifu, uadilifu na kujituma kama yule
anayejiona yeye ni mbia au mwenye hisa katika taasisi husika.
Mfanyakazi kama mtoto hukua kwa jinsi umleavyo. Mtoto ukimlea bila mapenzi, kwa kumwita mwizi, mwongo na kumwaminisha kwamba kushindwa kwake kuwa
na maisha bora sio kosa la mzazi bali ni la mtoto unategemea nini kwa kizazi chako hicho?
Huko Malaysia, China, India na Imarati pamoja na nchi nyingi tu za Kiarabu na zile za Marekani ya Kusini na Kati ambao kimaendeleo hatukuwa tumepishana sana
kwenye miaka ya 60 wameligundua hili. Ni pale tu walipoanza kumpa mtu wao thamnani na kumuamini ndipo watu wao walipoanza kufanya maajabu.
Ninaamini tukiwa na siasa na sera za kujifunza kutoka kwa wengine ziara kwenye nchi kama hizo zinaweza kutufungua moyo, roho, macho na masikio kwa kiasi
kikubwa.
Wakati mwingine, huwa najiuliza kwamba, hivi wanasayansi, watafiti, walimu, madaktari, manesi, walinzi na wanausalama, wahandisi, wajenzi na watu wengine
kama hao wanaochangia moja kwa moja kukua kwa pato la nchi ndio wangelikuwa wanalipwa vizuri kuliko wanasiasa; nchi yetu ingelikuwa wapi?
Huko Norway leo kwa kuwa mwalimu au daktari analipwa vizuri mno hafikirii kabisa ubunge au uwaziri au ubalozi. Kwao huwa ni shughuli kutafuta watu wa kujaza
nafasi kama hizo, kiasi ambacho wakati mwingine vivutio hupaswa kuwekwa ili watu wazikubali nyadhifa kama hizo.
Ni kawaida ya binadamu sikuzote kutaka apate yeye hata kama wengine wanakosa. Kwa Waafrika husemekana wapo wanaoshughulikia wengine ili wakose
kabisa.
Hayo yote tisa, kumi ni kwamba, haitakaa hata siku moja mtu kuridhika na anachokipata kama mshahara au kipato kingine. Na anayejua kiatu kinamfinya wapi
hawezi kukaa kimya bila kuonyesha na hasa pale anapojua kuwa kuna mianya kama sio mitaro na mahandaki yaliyoruhusiwa kupitisha kile ambacho kilistahili
kwenda kwake kwenda kwa wengine.
Vilevile nchi kujikuta ina watumishi wa umma wasio na ubunifu wala uzuzi katika kuwawezesha watu kuzitumia fursa za kiuchumi zilizopo na pia kugeuza matatizo
kuwa ni fursa za watu na nchi kuingiza pato zaidi. Wa mbili, kwa kweli, havai moja!
Kampuni, kujitangaza na mchango kwa jamii..... Sammy Makilla KWANZA , nisionekane kwamba sina shukrani. Ninazishukuru kampuni zote za Tanzania na za
nje ambazo hivi leo zinapigana vikumbo sio tu katika kujitangaza, bali la zaidi katika kuirudishia jamii ( kama wanavyosema wao) kile jamii inachowapa wao. Hata
hivyo, kuna mambo kadhaa ambayo yamekuwa yakiendelea kama sehemu ya kujitangaza na sehemu ya kuisaidia jamii ambayo kidogo yananitatiza. Mathalani,
hivi kweli kupiga rangi nyumba kama sio banda bovu ni njia nzuri ya kujitangaza ? Sitaki jibu sasa hivi hebu fikiria wewe kwanza. Swali jingine, hivi kuwahimiza watu
katika nchi maskini wao wenyewe kutumia ili ndio washinde zawadi nayo pia ni njia sahihi ya kuitangaza na kuirudishia jamii kile inachopata toka kwa wanajamii
husika? Halafu tujiulize pia maswali haya: Jamii yetu iko wapi ? Tunataka iende na ifike wapi na lini? Kwanini ? Na kuna matatizo au vikwazo gani vinavyochangia
jamii yetu kuwa hapa ilipo kiujumla kama jamii maskini? Lengo la makala haya ya leo ni kuonesha kwamba kupaka rangi nyumba mbovu; kuhamasisha watu
kutumia (consumerism) na kuwahimiza watu wajione tofauti na wanajamii wenzao kwa hili au lile pengine inaweza ikawa sio njia sahihi ya kujitangaza na
kuirudishia jamii kile kinachostahili kurudishwa.
Nitajaribu kuonyesha mambo mbadala ambayo kama yakifanyika kampuni hizo zenye kujisikia zina wito wa kuwajibika kijamii zitakuwa zimefanya mambo bora na
ya maana kweli kweli. Maana kinachofanyika hivi sasa na kampuni mbalimbali nchini ni sawa sawa na kumpa mtu mzima 'pipi' au kitu kingine kitamu, kama vile
bado mtu ni mtoto wakati ugonjwa wake ni wa kiutu uzima." Yapo mambo mengi yanayoweza kufanywa na makampuni hapa nchini ambayo sio tu yatachangia
kubadili maisha ya wananchi bali pia kuongeza maradufu au zaidi faida za makampuni hayo. Nitajaribu kuorodhesha na kuelezea kwa uchache baadhi ya mambo
hayo nikitaraji kuwa huwa ni mwanzo wa mjadala wa ushirikiano kati ya wananchi na makampuni mbalimbali hapa nchini yatakayolenga sisi wote kuwa washindi.
Ni muhimu kama kweli kampuni zinataka zionekane zina nia ya kumsaidia Mtanzania kujiingiza katika kurahisisha kupatikana kwa zana za uzalishaji mali katika
kilimo na viwanda vidogo vidogo kwa mamilioni ya vijana wa nchi hii, ambao sio rahisi kupata mtu wa kuwaajiri. Kitendo cha kuwawezesha watu hawa kujiajiri ni
kitendo kitakachohakikisha makampuni hayo siku za mbele kuwa na wateja wanaongezeka badala ya kupungua. Kitendo hicho kinaimarisha amani na
mshikamano nchini kitu muhimu kwa mafanikio ya makampuni yote nchini. Ninaamini kwamba njia nyingine ya kuwajibika kijamii kiutu-uzima ni kuwasaidia walimu
na wahadhiri kwa hali na mali ili walimu na wahadhiri wawe na hali bora kimaisha na hivyo kuboresha elimu zaidi katika ngazi ya msingi, sekondari na vyuo.
Ninaamini, mathalani, kampuni A inaweza ikawadhamini walimu kadhaa wa mahesabu; kampuni B Kemia; kampuni C Fizikia; kampuni D-Utalii; kampuni
E-Biashara na kadhalika. Wao wenyewe wataamua nini cha kufanya, lakini mwisho wa siku walimu hao wanajikuta wana muda zaidi wa kujitolea kuboresha elimu
kuliko ilivyo hivi sasa. Kampuni zitaweza kujitangaza kwa walimu au wahadhiri hao kuitwa. Kwa mfano, mwalimu wa mahesabu wa Sasatel, Ali Bakari wa shule ya
Benjamin Mkapa amesema… Sambamba na hili ni kuwasaidia madaktari na wauguzi ili wafanze tiba na uganga bora zaidi. Hapo napo kitakachofanyika kwa
mfano ni kampuni moja kudhamini madaktari wa magonjwa ya watoto kwa kupunguza gharama na kuchangia pengine mkopo wa ujenzi wa nyumba au
ununuzi/utunzaji wa gari kwa mhusika au ulipiaji ada wa mtoto wa daktari au muuguzi nao pia wakaitangaza kampuni husika, mwalimu wa kemia wa Pepsi Cola,
Mary Mangesho amesema kwamba ....... Tunapokuja kwenye ngazi ya wananchi wengi ni muhimu kuangalia upatikanaji wa nishati ya nafuu zaidi, hususan
umeme wa mafuta, maji, jua au upepo kwa matumizi ya nyumbani chapuchapu ili kuchangia kupanda kwa ubora wa hali ya maisha ya mwananchi, kumkinga na
maradhi ya kutumia nishati hafifu na za hatari na vilevile kumrahisishia ununuzi na matumizi ya vifaa bora vya nyumbani vinavyohitaji nishati hiyo pia ikiwemo vile vya
kampuni zitakazochangia kupatikana kwa nishati hiyo. Tatizo jingine kubwa katika miji yetu ni lile la upatikanaji maji. Kampuni zikichangia kufanya upatikanaji maji
kirahisi vitakuwa vimemkomboa mwanamke na kazi inayotumia muda wake mwingi, lakini siyo ya uzalishaji mali moja kwa moja. Muda unaookolewa hivi
utawasaidia watu hao kujiajiri katika kazi yenye kipato na tija zaidi na hivyo kuwapa uwezo wa kununua bidhaa zaidi kutoka kwa makampuni mbalimbali hapa
nchini. Kazi hii ya ufikivu wa maji majumbani na mashuleni sio rahisi na hatuwezi kuwaachia watu au makampuni fulani tu au serikali yenyewe kuifanikisha. Pale
inapowezekana wale wenye uwezo na hasa makampuni makubwa nayo yachangie pia kwa wanajamii kupata maji safi na salama. Vilevile upatikanaji wa maji ya
uhakika utachangia sio haba kuwa na miti, bustani na maua yanayopendezesha mitaa na miji yetu. Na hili nalo litachangia kujenga mvuto wa miji yetu kwa watalii
kwa miji yetu kuonekana ni ya kistaarabu zaidi. Vijana wengi wa kitanzania hawana ajira. Na hakuna njia bora zaidi ya kuwasaidia kuliko ile ya kuwawezesha wao
wenyewe kujiajiri. Ni kweli wanamichezo sasa hivi wanapata fursa hiyo, lakini vijana wote sio wana michezo. Kadhalika sio michezo yote inayofadhiliwa kwa kiasi
hicho; kwa hiyo bado kuna umuhimu wa kuyaangalia wanayoweza kufanya vijana ikiwa ni pamoja na kazi za kilimo, viwanda vidogo vidogo, sanaa, uigizaji filamu,
uandishi wa vitabu, uchoraji katuni, uchekeshaji, matumizi ya kompyuta kuzalisha vitu mbalimbali na kuona ni kwa namna gani kampuni zinaweza kujipanga na
kuwasaidia vijana wetu ili wajikomboe kiuchumi na wakati huo huo waweze kutoa mchango wao unaohitajika sana katika maendeleo ya nchi yetu. Katika hili
kampuni zinaweza kujipanga na kuanzisha mfuko wa maendeleo ya ujasiriamali miongoni mwa vijana Tanzania ambao utasimamiwa na watu wanaoaminika na
wenye utaalamu unaostahili na kazi yake kubwa itakuwa ni kuwahamasisha vijana kuja na mawazo juu ya nini kinachoweza kuwakomboa. Kisha taasisi hiyo
iwape elimu na maarifa katika masuala hayo pamoja na kuwafungua macho kwa kuwapeleka nchi za nje kujifunza zaidi ujasiriamali katika eneo husika. Baada ya
hapo itawafadhili kwa mkopo usio na riba utakaochangia uanzishwaji na uendelezaji wa wazo na hatimaye mradi wao. Katika mikoa Kando ya Ziwa kuna tatizo
sugu la kisasi na wizi wa mifugo ambalo juzi limeishia kwa mauaji ya watu 17 wa ukoo mmoja kuuawa kikatili. Huko mradi wa kisaikolojia na kijamii ili kumaliza
ubabe na ukatili miongoni mwa watu wa mikoa ya Kanda ya Ziwa ungelitoa mchango mkubwa katika kumaliza tatizo hilo ambalo serikali na vyombo vyake mpaka
hivi leo vinakiri ni zito kuliko wanavyofikira wao. Kuna hatari ya ujinga kurudi tena Tanzania je hatuwezi kupeleka sinema za kila mwezi kwa magari huko vijijini ili
kuwaongezea elimu, burudani na starehe wananchi ? Bila shaka mradi huu sio tu utafanya kazi hizo hapo juu bali pia utakuwa ni njia kubwa ya matangazo ya
biashara husika kufika vijijini kirahisi.
Kinachohitajika hapa ni kwa kampuni hizo kuja na kuanzisha kampuni ya kupeleka sinema mitaani na vijijini itakayokuwa ikijiendesha yenyewe kibiashara. Jambo
lingine linaloweza kufanywa na kampuni zinazoamini kuwa wananchi ni wabia wao wa kudumu ni kuchangia kuifanya mitaa, vitongoji, vijiji na miji yetu kuwa safi na
salama zaidi. Bila maneno mengi wote tunajua umuhimu wa usafi na usalama katika maisha yetu. Hili likifanyika ni dhahiri kampuni hizo zitakuwa zinajiongezea sio
tu heshima bali kuaminiwa kwao mbele ya macho ya wananchi. Hali kadhalika kampuni hizo zinaweza kusaidia kuwepo kwa usafiri wa kistaarabu na heshima
zaidi kwa umma kwa kuwaleta wataalamu na ikiwezekana wawekezaji waweze kushauri watu na nchi ni mambo gani yanaweza kufanywa ili wenye daladala na
mabasi mengineyo wafanye kazi zao kiungwana na kistaarabu zaidi. Wito mwingine ni ule wa kufadhili michezo mbalimbali zaidi ya mpira wa miguu kupitia shule
za msingi, sekondari na vyuo vikuu. Hakika nchi hii haiwezi kuendelea kimichezo kama shule na vyuo havishirikishwi kikamilifu katika kuandaa wachezaji na
washindani wa kesho. Kubwa zaidi katika hili ni kwamba, kwa kufanya hivyo kutachangia pia umoja, udugu na mshikamano wa wanafunzi na vijana wa Kitanzania
popote walipo. Pamoja na hili ni lile la kusaidia kuanzishwa kwa ujenzi wa viwanja vya michezo kwa kila shule, chuo, kata, kijiji na mji nchini kama kusudio la awali
la kuwa na miundombinu ya kisasa nchi nzima itakayotuwezesha pia kujiandaa kwa kuwa wenyeji wa mashindano makubwa ya kimataifa siku za baadaye.
Nani anayestahili mshahara mzuri?
KATIKA nchi nyingi za Kiafrika na zilizobaki nyuma kimaendeleo, hadi leo suala la mapato kutokana na mishahara lina walakini ambao unachangia nchi hizo
kubakia masikini miaka nenda rudi.
Walakini huu ni kule kuonekana kutokuwa na haki au uwiano kati ya mshahara mtu anaoupata na mchango wake kwa maendeleo ya nchi na watu wake.
Mfumo huu wa mishahara umerithiwa toka kwa wakoloni ambao walikuwa wameamua kujilipa wao walivyopenda bila kujali kuwa wanajenga au wanaharibu nchi.
Hivi leo ili mradi tu unaingia kwenye duru za utawala katika ngazi kuanzia ile ya wilaya kwenda za juu una uhakika wa kulipwa mshahara na masurufu mengine
manono bila ya kuwepo kwa taratibu za kuangalia kama mchango wako una thamani ya mshahara unaolipwa.
Katika hali kama hii kuna idara, wilaya, mikoa na wizara ambazo watu wanaamini kuwa zinaingiza hasara mara mbili kwani kuna watu wasiochangia maendeleo ya
sehemu husika au pengine wanavuruga mambo huko, lakini bado pia wanalipwa vizuri tu.
Hatusemi viongozi hawastahili kulipwa vizuri. La hasha. Lakini kuna ulazima katika miaka hii ya sasa ambayo watumishi wote wa umma wanaweza wakafutwa kazi
na watu wengine pengine wenye uwezo mkubwa zaidi yao kuchukua nafasi hiyo na kazi yao ikawa bora zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma, kuhakikisha kuwa
tunaoanisha mapato ya mtu na mchango wake kwa maendeleo ya jamii na yale ya nchi kuanzia ngazi ya udiwani hadi uwaziri.
Kwa maneno mengine, kila shilingi anayolipwa mtu lazima ionekane yeye anachangia kurudisha shilingi ngapi katika hazina ya nchi.
Dunia ya leo imebadilika. Nchi haiwezi kuendeshwa kama biashara isiyokuwa na hasara na faida. Ikiendeshwa kwa namna hiyo, yanayotokea Ugiriki hivi leo
yanaweza kuwa ni mambo ya kawaida katika nchi zetu baada ya miaka michache.
Ni lazima tuendeshe nchi zetu kama vile tunaendesha makampuni binafsi ya watu ambayo yanajali na kufuatilia kwa karibu thamani ya mtu na mchango wake kwa
faida na ufanisi wake; vilevile haikubaliki kufanya matumizi ya fujo yanayoweza kuhatarisha hatima ya chombo husika.
Kwa maneno mengine, Tanzania ni kampuni kama kampuni nyingine yoyote. Wananchi wake ni waweka hisa katika serikali yao. Ama serikali hiyo inaweza
kuendeshwa kifaida au kihasara na wao ama wakafaidika na faida hizo au wakala hasara kutokana na uongozi mbovu.
Njia za mawasiliano, elimu na maarifa yaliyopo, maendeleo ya teknolojia mbalimbali na changamoto mbalimbali zinazoukabili ulimwengu zinatulazimisha
kuhakikisha kuwa tunaachana na utamaduni uliopitwa na wakati wa kuamini eti serikali haiwezi kufilisiwa au kuishiwa.
Lakini, kubwa zaidi ni lile la mabadiliko ya kimtazamo na kimsimamo kuhusu ni watu gani ambao kwa kweli ndio wanaostahili kulipwa mishahara mizuri ili kazi yao
izae matunda yatakayochangia watu wengine pia kupata mapato na maisha mazuri.
Kuna mamna mbili za uwezekano hapa. Unaweza ukalipa kundi la watu ambao hawana mchango wowote katika kuwawezesha kihali na kimali wananchi na
hivyo fedha yote ikaishia kwenye matumbo ya watu na miradi isiyochangia kabisa maendeleo ya nchi na watu wake, auunaweza ukawa na mfumo wa uzalishaji na
ugawaji mapato ambao unayapa makundi muhimu katika jamii uwezo wa kifedha ambao unakuwa ni chachu katika maendeleo ya watu wengine.
Kwa maneno mengine, taifa linaingiza mapato kila mwaka, lakini ni nani anayepata mapato haya na anayafanyia kitu gani, nayo yanachangia vipi maendeleo ya
nchi na watu wake? Aidha, ni muhimu kujua ni kwa namna gani nchi inaweza ikawa na mfumo wa fedha hususan katika matumizi ambao hauchangii kujenga kila
siku tabaka la wenye nacho na wasio nacho.
Ni vizuri kuangalia kuwa je, mishahara wanayopata mawaziri, makatibu wao, wakuu wa idara na mamlaka mbalimbali, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na
wengineo kama inaendana na mchango wao kwa maeneo husika. Maana upo uwezekano wa kumlipa mtu mshahara kwa miaka 5 hata 10 na mtu huyu asiwe na
chochote cha kuonyesha katika eneo lake la kazi. Ndio maana kuna wanaopendekeza katika nafasi mbalimbali za ajira; iwe kwa kuchaguliwa au kuteuliwa
panakuwa na mshahara wa kushikilia nafasi hiyo na ziada ya hapo iwe inalipwa baada ya kuona mhusika amefanya mambo yanayonekana katika eneo lake.
Kuna wanaouliza kwanini nchi kama Imarati, Malaysia, China viongozi wanajirudisha nyuma kwanza ili wananchi wapate na pale wananchi wanapokwamuliwa
kiuchumi na kijamii ndipo viongozi nao wanapoanza kujiangalia.
Tumeua karibu mashirika yote ya umma, lakini yaliyobakia mikononi mwa serikali ndiyo yaliyochoka kuliko wengine. Tatizo ni nini. Mbona Uchina bado wanamiliki
mashirika mengi ya umma na inasemakana sasa yanafanya maajabu ikilinganishwa na zamani?
Nchi au mkoa au kampuni sio fedha au mtaji au majengo au mitambo au ardhi bali ni watu. Tatizo letu kubwa hapa inaelekea liko katika kumsoma, kumwelewa na
kumtumia mwanadamu kwa namna ambayo anaridhika, anafurahia na anakuwa radhi kujitoa ili kuchangia maendeleo ya wenzake na nchi yake. Binadamu yeyote
anayeona kwamba yeye anatumika tu kama chombo au mashine na wenzake au serkali yake hawezi kuwa na uaminifu, utiifu, uadilifu na kujituma kama yule
anayejiona yeye ni mbia au mwenye hisa katika taasisi husika.
Mfanyakazi kama mtoto hukua kwa jinsi umleavyo. Mtoto ukimlea bila mapenzi, kwa kumwita mwizi, mwongo na kumwaminisha kwamba kushindwa kwake kuwa
na maisha bora sio kosa la mzazi bali ni la mtoto unategemea nini kwa kizazi chako hicho?
Huko Malaysia, China, India na Imarati pamoja na nchi nyingi tu za Kiarabu na zile za Marekani ya Kusini na Kati ambao kimaendeleo hatukuwa tumepishana sana
kwenye miaka ya 60 wameligundua hili. Ni pale tu walipoanza kumpa mtu wao thamnani na kumuamini ndipo watu wao walipoanza kufanya maajabu.
Ninaamini tukiwa na siasa na sera za kujifunza kutoka kwa wengine ziara kwenye nchi kama hizo zinaweza kutufungua moyo, roho, macho na masikio kwa kiasi
kikubwa.
Wakati mwingine, huwa najiuliza kwamba, hivi wanasayansi, watafiti, walimu, madaktari, manesi, walinzi na wanausalama, wahandisi, wajenzi na watu wengine
kama hao wanaochangia moja kwa moja kukua kwa pato la nchi ndio wangelikuwa wanalipwa vizuri kuliko wanasiasa; nchi yetu ingelikuwa wapi?
Huko Norway leo kwa kuwa mwalimu au daktari analipwa vizuri mno hafikirii kabisa ubunge au uwaziri au ubalozi. Kwao huwa ni shughuli kutafuta watu wa kujaza
nafasi kama hizo, kiasi ambacho wakati mwingine vivutio hupaswa kuwekwa ili watu wazikubali nyadhifa kama hizo.
Ni kawaida ya binadamu sikuzote kutaka apate yeye hata kama wengine wanakosa. Kwa Waafrika husemekana wapo wanaoshughulikia wengine ili wakose
kabisa.
Hayo yote tisa, kumi ni kwamba, haitakaa hata siku moja mtu kuridhika na anachokipata kama mshahara au kipato kingine. Na anayejua kiatu kinamfinya wapi
hawezi kukaa kimya bila kuonyesha na hasa pale anapojua kuwa kuna mianya kama sio mitaro na mahandaki yaliyoruhusiwa kupitisha kile ambacho kilistahili
kwenda kwake kwenda kwa wengine.
Vilevile nchi kujikuta ina watumishi wa umma wasio na ubunifu wala uzuzi katika kuwawezesha watu kuzitumia fursa za kiuchumi zilizopo na pia kugeuza matatizo
kuwa ni fursa za watu na nchi kuingiza pato zaidi. Wa mbili, kwa kweli, havai moja!
Kampuni, kujitangaza na mchango kwa jamii..... Sammy Makilla KWANZA , nisionekane kwamba sina shukrani. Ninazishukuru kampuni zote za Tanzania na za
nje ambazo hivi leo zinapigana vikumbo sio tu katika kujitangaza, bali la zaidi katika kuirudishia jamii ( kama wanavyosema wao) kile jamii inachowapa wao. Hata
hivyo, kuna mambo kadhaa ambayo yamekuwa yakiendelea kama sehemu ya kujitangaza na sehemu ya kuisaidia jamii ambayo kidogo yananitatiza. Mathalani,
hivi kweli kupiga rangi nyumba kama sio banda bovu ni njia nzuri ya kujitangaza ? Sitaki jibu sasa hivi hebu fikiria wewe kwanza. Swali jingine, hivi kuwahimiza watu
katika nchi maskini wao wenyewe kutumia ili ndio washinde zawadi nayo pia ni njia sahihi ya kuitangaza na kuirudishia jamii kile inachopata toka kwa wanajamii
husika? Halafu tujiulize pia maswali haya: Jamii yetu iko wapi ? Tunataka iende na ifike wapi na lini? Kwanini ? Na kuna matatizo au vikwazo gani vinavyochangia
jamii yetu kuwa hapa ilipo kiujumla kama jamii maskini? Lengo la makala haya ya leo ni kuonesha kwamba kupaka rangi nyumba mbovu; kuhamasisha watu
kutumia (consumerism) na kuwahimiza watu wajione tofauti na wanajamii wenzao kwa hili au lile pengine inaweza ikawa sio njia sahihi ya kujitangaza na
kuirudishia jamii kile kinachostahili kurudishwa.
Nitajaribu kuonyesha mambo mbadala ambayo kama yakifanyika kampuni hizo zenye kujisikia zina wito wa kuwajibika kijamii zitakuwa zimefanya mambo bora na
ya maana kweli kweli. Maana kinachofanyika hivi sasa na kampuni mbalimbali nchini ni sawa sawa na kumpa mtu mzima 'pipi' au kitu kingine kitamu, kama vile
bado mtu ni mtoto wakati ugonjwa wake ni wa kiutu uzima." Yapo mambo mengi yanayoweza kufanywa na makampuni hapa nchini ambayo sio tu yatachangia
kubadili maisha ya wananchi bali pia kuongeza maradufu au zaidi faida za makampuni hayo. Nitajaribu kuorodhesha na kuelezea kwa uchache baadhi ya mambo
hayo nikitaraji kuwa huwa ni mwanzo wa mjadala wa ushirikiano kati ya wananchi na makampuni mbalimbali hapa nchini yatakayolenga sisi wote kuwa washindi.
Ni muhimu kama kweli kampuni zinataka zionekane zina nia ya kumsaidia Mtanzania kujiingiza katika kurahisisha kupatikana kwa zana za uzalishaji mali katika
kilimo na viwanda vidogo vidogo kwa mamilioni ya vijana wa nchi hii, ambao sio rahisi kupata mtu wa kuwaajiri. Kitendo cha kuwawezesha watu hawa kujiajiri ni
kitendo kitakachohakikisha makampuni hayo siku za mbele kuwa na wateja wanaongezeka badala ya kupungua. Kitendo hicho kinaimarisha amani na
mshikamano nchini kitu muhimu kwa mafanikio ya makampuni yote nchini. Ninaamini kwamba njia nyingine ya kuwajibika kijamii kiutu-uzima ni kuwasaidia walimu
na wahadhiri kwa hali na mali ili walimu na wahadhiri wawe na hali bora kimaisha na hivyo kuboresha elimu zaidi katika ngazi ya msingi, sekondari na vyuo.
Ninaamini, mathalani, kampuni A inaweza ikawadhamini walimu kadhaa wa mahesabu; kampuni B Kemia; kampuni C Fizikia; kampuni D-Utalii; kampuni
E-Biashara na kadhalika. Wao wenyewe wataamua nini cha kufanya, lakini mwisho wa siku walimu hao wanajikuta wana muda zaidi wa kujitolea kuboresha elimu
kuliko ilivyo hivi sasa. Kampuni zitaweza kujitangaza kwa walimu au wahadhiri hao kuitwa. Kwa mfano, mwalimu wa mahesabu wa Sasatel, Ali Bakari wa shule ya
Benjamin Mkapa amesema… Sambamba na hili ni kuwasaidia madaktari na wauguzi ili wafanze tiba na uganga bora zaidi. Hapo napo kitakachofanyika kwa
mfano ni kampuni moja kudhamini madaktari wa magonjwa ya watoto kwa kupunguza gharama na kuchangia pengine mkopo wa ujenzi wa nyumba au
ununuzi/utunzaji wa gari kwa mhusika au ulipiaji ada wa mtoto wa daktari au muuguzi nao pia wakaitangaza kampuni husika, mwalimu wa kemia wa Pepsi Cola,
Mary Mangesho amesema kwamba ....... Tunapokuja kwenye ngazi ya wananchi wengi ni muhimu kuangalia upatikanaji wa nishati ya nafuu zaidi, hususan
umeme wa mafuta, maji, jua au upepo kwa matumizi ya nyumbani chapuchapu ili kuchangia kupanda kwa ubora wa hali ya maisha ya mwananchi, kumkinga na
maradhi ya kutumia nishati hafifu na za hatari na vilevile kumrahisishia ununuzi na matumizi ya vifaa bora vya nyumbani vinavyohitaji nishati hiyo pia ikiwemo vile vya
kampuni zitakazochangia kupatikana kwa nishati hiyo. Tatizo jingine kubwa katika miji yetu ni lile la upatikanaji maji. Kampuni zikichangia kufanya upatikanaji maji
kirahisi vitakuwa vimemkomboa mwanamke na kazi inayotumia muda wake mwingi, lakini siyo ya uzalishaji mali moja kwa moja. Muda unaookolewa hivi
utawasaidia watu hao kujiajiri katika kazi yenye kipato na tija zaidi na hivyo kuwapa uwezo wa kununua bidhaa zaidi kutoka kwa makampuni mbalimbali hapa
nchini. Kazi hii ya ufikivu wa maji majumbani na mashuleni sio rahisi na hatuwezi kuwaachia watu au makampuni fulani tu au serikali yenyewe kuifanikisha. Pale
inapowezekana wale wenye uwezo na hasa makampuni makubwa nayo yachangie pia kwa wanajamii kupata maji safi na salama. Vilevile upatikanaji wa maji ya
uhakika utachangia sio haba kuwa na miti, bustani na maua yanayopendezesha mitaa na miji yetu. Na hili nalo litachangia kujenga mvuto wa miji yetu kwa watalii
kwa miji yetu kuonekana ni ya kistaarabu zaidi. Vijana wengi wa kitanzania hawana ajira. Na hakuna njia bora zaidi ya kuwasaidia kuliko ile ya kuwawezesha wao
wenyewe kujiajiri. Ni kweli wanamichezo sasa hivi wanapata fursa hiyo, lakini vijana wote sio wana michezo. Kadhalika sio michezo yote inayofadhiliwa kwa kiasi
hicho; kwa hiyo bado kuna umuhimu wa kuyaangalia wanayoweza kufanya vijana ikiwa ni pamoja na kazi za kilimo, viwanda vidogo vidogo, sanaa, uigizaji filamu,
uandishi wa vitabu, uchoraji katuni, uchekeshaji, matumizi ya kompyuta kuzalisha vitu mbalimbali na kuona ni kwa namna gani kampuni zinaweza kujipanga na
kuwasaidia vijana wetu ili wajikomboe kiuchumi na wakati huo huo waweze kutoa mchango wao unaohitajika sana katika maendeleo ya nchi yetu. Katika hili
kampuni zinaweza kujipanga na kuanzisha mfuko wa maendeleo ya ujasiriamali miongoni mwa vijana Tanzania ambao utasimamiwa na watu wanaoaminika na
wenye utaalamu unaostahili na kazi yake kubwa itakuwa ni kuwahamasisha vijana kuja na mawazo juu ya nini kinachoweza kuwakomboa. Kisha taasisi hiyo
iwape elimu na maarifa katika masuala hayo pamoja na kuwafungua macho kwa kuwapeleka nchi za nje kujifunza zaidi ujasiriamali katika eneo husika. Baada ya
hapo itawafadhili kwa mkopo usio na riba utakaochangia uanzishwaji na uendelezaji wa wazo na hatimaye mradi wao. Katika mikoa Kando ya Ziwa kuna tatizo
sugu la kisasi na wizi wa mifugo ambalo juzi limeishia kwa mauaji ya watu 17 wa ukoo mmoja kuuawa kikatili. Huko mradi wa kisaikolojia na kijamii ili kumaliza
ubabe na ukatili miongoni mwa watu wa mikoa ya Kanda ya Ziwa ungelitoa mchango mkubwa katika kumaliza tatizo hilo ambalo serikali na vyombo vyake mpaka
hivi leo vinakiri ni zito kuliko wanavyofikira wao. Kuna hatari ya ujinga kurudi tena Tanzania je hatuwezi kupeleka sinema za kila mwezi kwa magari huko vijijini ili
kuwaongezea elimu, burudani na starehe wananchi ? Bila shaka mradi huu sio tu utafanya kazi hizo hapo juu bali pia utakuwa ni njia kubwa ya matangazo ya
biashara husika kufika vijijini kirahisi.
Kinachohitajika hapa ni kwa kampuni hizo kuja na kuanzisha kampuni ya kupeleka sinema mitaani na vijijini itakayokuwa ikijiendesha yenyewe kibiashara. Jambo
lingine linaloweza kufanywa na kampuni zinazoamini kuwa wananchi ni wabia wao wa kudumu ni kuchangia kuifanya mitaa, vitongoji, vijiji na miji yetu kuwa safi na
salama zaidi. Bila maneno mengi wote tunajua umuhimu wa usafi na usalama katika maisha yetu. Hili likifanyika ni dhahiri kampuni hizo zitakuwa zinajiongezea sio
tu heshima bali kuaminiwa kwao mbele ya macho ya wananchi. Hali kadhalika kampuni hizo zinaweza kusaidia kuwepo kwa usafiri wa kistaarabu na heshima
zaidi kwa umma kwa kuwaleta wataalamu na ikiwezekana wawekezaji waweze kushauri watu na nchi ni mambo gani yanaweza kufanywa ili wenye daladala na
mabasi mengineyo wafanye kazi zao kiungwana na kistaarabu zaidi. Wito mwingine ni ule wa kufadhili michezo mbalimbali zaidi ya mpira wa miguu kupitia shule
za msingi, sekondari na vyuo vikuu. Hakika nchi hii haiwezi kuendelea kimichezo kama shule na vyuo havishirikishwi kikamilifu katika kuandaa wachezaji na
washindani wa kesho. Kubwa zaidi katika hili ni kwamba, kwa kufanya hivyo kutachangia pia umoja, udugu na mshikamano wa wanafunzi na vijana wa Kitanzania
popote walipo. Pamoja na hili ni lile la kusaidia kuanzishwa kwa ujenzi wa viwanja vya michezo kwa kila shule, chuo, kata, kijiji na mji nchini kama kusudio la awali
la kuwa na miundombinu ya kisasa nchi nzima itakayotuwezesha pia kujiandaa kwa kuwa wenyeji wa mashindano makubwa ya kimataifa siku za baadaye.
kubakia masikini miaka nenda rudi.
Walakini huu ni kule kuonekana kutokuwa na haki au uwiano kati ya mshahara mtu anaoupata na mchango wake kwa maendeleo ya nchi na watu wake.
Mfumo huu wa mishahara umerithiwa toka kwa wakoloni ambao walikuwa wameamua kujilipa wao walivyopenda bila kujali kuwa wanajenga au wanaharibu nchi.
Hivi leo ili mradi tu unaingia kwenye duru za utawala katika ngazi kuanzia ile ya wilaya kwenda za juu una uhakika wa kulipwa mshahara na masurufu mengine
manono bila ya kuwepo kwa taratibu za kuangalia kama mchango wako una thamani ya mshahara unaolipwa.
Katika hali kama hii kuna idara, wilaya, mikoa na wizara ambazo watu wanaamini kuwa zinaingiza hasara mara mbili kwani kuna watu wasiochangia maendeleo ya
sehemu husika au pengine wanavuruga mambo huko, lakini bado pia wanalipwa vizuri tu.
Hatusemi viongozi hawastahili kulipwa vizuri. La hasha. Lakini kuna ulazima katika miaka hii ya sasa ambayo watumishi wote wa umma wanaweza wakafutwa kazi
na watu wengine pengine wenye uwezo mkubwa zaidi yao kuchukua nafasi hiyo na kazi yao ikawa bora zaidi kuliko ilivyokuwa huko nyuma, kuhakikisha kuwa
tunaoanisha mapato ya mtu na mchango wake kwa maendeleo ya jamii na yale ya nchi kuanzia ngazi ya udiwani hadi uwaziri.
Kwa maneno mengine, kila shilingi anayolipwa mtu lazima ionekane yeye anachangia kurudisha shilingi ngapi katika hazina ya nchi.
Dunia ya leo imebadilika. Nchi haiwezi kuendeshwa kama biashara isiyokuwa na hasara na faida. Ikiendeshwa kwa namna hiyo, yanayotokea Ugiriki hivi leo
yanaweza kuwa ni mambo ya kawaida katika nchi zetu baada ya miaka michache.
Ni lazima tuendeshe nchi zetu kama vile tunaendesha makampuni binafsi ya watu ambayo yanajali na kufuatilia kwa karibu thamani ya mtu na mchango wake kwa
faida na ufanisi wake; vilevile haikubaliki kufanya matumizi ya fujo yanayoweza kuhatarisha hatima ya chombo husika.
Kwa maneno mengine, Tanzania ni kampuni kama kampuni nyingine yoyote. Wananchi wake ni waweka hisa katika serikali yao. Ama serikali hiyo inaweza
kuendeshwa kifaida au kihasara na wao ama wakafaidika na faida hizo au wakala hasara kutokana na uongozi mbovu.
Njia za mawasiliano, elimu na maarifa yaliyopo, maendeleo ya teknolojia mbalimbali na changamoto mbalimbali zinazoukabili ulimwengu zinatulazimisha
kuhakikisha kuwa tunaachana na utamaduni uliopitwa na wakati wa kuamini eti serikali haiwezi kufilisiwa au kuishiwa.
Lakini, kubwa zaidi ni lile la mabadiliko ya kimtazamo na kimsimamo kuhusu ni watu gani ambao kwa kweli ndio wanaostahili kulipwa mishahara mizuri ili kazi yao
izae matunda yatakayochangia watu wengine pia kupata mapato na maisha mazuri.
Kuna mamna mbili za uwezekano hapa. Unaweza ukalipa kundi la watu ambao hawana mchango wowote katika kuwawezesha kihali na kimali wananchi na
hivyo fedha yote ikaishia kwenye matumbo ya watu na miradi isiyochangia kabisa maendeleo ya nchi na watu wake, auunaweza ukawa na mfumo wa uzalishaji na
ugawaji mapato ambao unayapa makundi muhimu katika jamii uwezo wa kifedha ambao unakuwa ni chachu katika maendeleo ya watu wengine.
Kwa maneno mengine, taifa linaingiza mapato kila mwaka, lakini ni nani anayepata mapato haya na anayafanyia kitu gani, nayo yanachangia vipi maendeleo ya
nchi na watu wake? Aidha, ni muhimu kujua ni kwa namna gani nchi inaweza ikawa na mfumo wa fedha hususan katika matumizi ambao hauchangii kujenga kila
siku tabaka la wenye nacho na wasio nacho.
Ni vizuri kuangalia kuwa je, mishahara wanayopata mawaziri, makatibu wao, wakuu wa idara na mamlaka mbalimbali, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na
wengineo kama inaendana na mchango wao kwa maeneo husika. Maana upo uwezekano wa kumlipa mtu mshahara kwa miaka 5 hata 10 na mtu huyu asiwe na
chochote cha kuonyesha katika eneo lake la kazi. Ndio maana kuna wanaopendekeza katika nafasi mbalimbali za ajira; iwe kwa kuchaguliwa au kuteuliwa
panakuwa na mshahara wa kushikilia nafasi hiyo na ziada ya hapo iwe inalipwa baada ya kuona mhusika amefanya mambo yanayonekana katika eneo lake.
Kuna wanaouliza kwanini nchi kama Imarati, Malaysia, China viongozi wanajirudisha nyuma kwanza ili wananchi wapate na pale wananchi wanapokwamuliwa
kiuchumi na kijamii ndipo viongozi nao wanapoanza kujiangalia.
Tumeua karibu mashirika yote ya umma, lakini yaliyobakia mikononi mwa serikali ndiyo yaliyochoka kuliko wengine. Tatizo ni nini. Mbona Uchina bado wanamiliki
mashirika mengi ya umma na inasemakana sasa yanafanya maajabu ikilinganishwa na zamani?
Nchi au mkoa au kampuni sio fedha au mtaji au majengo au mitambo au ardhi bali ni watu. Tatizo letu kubwa hapa inaelekea liko katika kumsoma, kumwelewa na
kumtumia mwanadamu kwa namna ambayo anaridhika, anafurahia na anakuwa radhi kujitoa ili kuchangia maendeleo ya wenzake na nchi yake. Binadamu yeyote
anayeona kwamba yeye anatumika tu kama chombo au mashine na wenzake au serkali yake hawezi kuwa na uaminifu, utiifu, uadilifu na kujituma kama yule
anayejiona yeye ni mbia au mwenye hisa katika taasisi husika.
Mfanyakazi kama mtoto hukua kwa jinsi umleavyo. Mtoto ukimlea bila mapenzi, kwa kumwita mwizi, mwongo na kumwaminisha kwamba kushindwa kwake kuwa
na maisha bora sio kosa la mzazi bali ni la mtoto unategemea nini kwa kizazi chako hicho?
Huko Malaysia, China, India na Imarati pamoja na nchi nyingi tu za Kiarabu na zile za Marekani ya Kusini na Kati ambao kimaendeleo hatukuwa tumepishana sana
kwenye miaka ya 60 wameligundua hili. Ni pale tu walipoanza kumpa mtu wao thamnani na kumuamini ndipo watu wao walipoanza kufanya maajabu.
Ninaamini tukiwa na siasa na sera za kujifunza kutoka kwa wengine ziara kwenye nchi kama hizo zinaweza kutufungua moyo, roho, macho na masikio kwa kiasi
kikubwa.
Wakati mwingine, huwa najiuliza kwamba, hivi wanasayansi, watafiti, walimu, madaktari, manesi, walinzi na wanausalama, wahandisi, wajenzi na watu wengine
kama hao wanaochangia moja kwa moja kukua kwa pato la nchi ndio wangelikuwa wanalipwa vizuri kuliko wanasiasa; nchi yetu ingelikuwa wapi?
Huko Norway leo kwa kuwa mwalimu au daktari analipwa vizuri mno hafikirii kabisa ubunge au uwaziri au ubalozi. Kwao huwa ni shughuli kutafuta watu wa kujaza
nafasi kama hizo, kiasi ambacho wakati mwingine vivutio hupaswa kuwekwa ili watu wazikubali nyadhifa kama hizo.
Ni kawaida ya binadamu sikuzote kutaka apate yeye hata kama wengine wanakosa. Kwa Waafrika husemekana wapo wanaoshughulikia wengine ili wakose
kabisa.
Hayo yote tisa, kumi ni kwamba, haitakaa hata siku moja mtu kuridhika na anachokipata kama mshahara au kipato kingine. Na anayejua kiatu kinamfinya wapi
hawezi kukaa kimya bila kuonyesha na hasa pale anapojua kuwa kuna mianya kama sio mitaro na mahandaki yaliyoruhusiwa kupitisha kile ambacho kilistahili
kwenda kwake kwenda kwa wengine.
Vilevile nchi kujikuta ina watumishi wa umma wasio na ubunifu wala uzuzi katika kuwawezesha watu kuzitumia fursa za kiuchumi zilizopo na pia kugeuza matatizo
kuwa ni fursa za watu na nchi kuingiza pato zaidi. Wa mbili, kwa kweli, havai moja!
Kampuni, kujitangaza na mchango kwa jamii..... Sammy Makilla KWANZA , nisionekane kwamba sina shukrani. Ninazishukuru kampuni zote za Tanzania na za
nje ambazo hivi leo zinapigana vikumbo sio tu katika kujitangaza, bali la zaidi katika kuirudishia jamii ( kama wanavyosema wao) kile jamii inachowapa wao. Hata
hivyo, kuna mambo kadhaa ambayo yamekuwa yakiendelea kama sehemu ya kujitangaza na sehemu ya kuisaidia jamii ambayo kidogo yananitatiza. Mathalani,
hivi kweli kupiga rangi nyumba kama sio banda bovu ni njia nzuri ya kujitangaza ? Sitaki jibu sasa hivi hebu fikiria wewe kwanza. Swali jingine, hivi kuwahimiza watu
katika nchi maskini wao wenyewe kutumia ili ndio washinde zawadi nayo pia ni njia sahihi ya kuitangaza na kuirudishia jamii kile inachopata toka kwa wanajamii
husika? Halafu tujiulize pia maswali haya: Jamii yetu iko wapi ? Tunataka iende na ifike wapi na lini? Kwanini ? Na kuna matatizo au vikwazo gani vinavyochangia
jamii yetu kuwa hapa ilipo kiujumla kama jamii maskini? Lengo la makala haya ya leo ni kuonesha kwamba kupaka rangi nyumba mbovu; kuhamasisha watu
kutumia (consumerism) na kuwahimiza watu wajione tofauti na wanajamii wenzao kwa hili au lile pengine inaweza ikawa sio njia sahihi ya kujitangaza na
kuirudishia jamii kile kinachostahili kurudishwa.
Nitajaribu kuonyesha mambo mbadala ambayo kama yakifanyika kampuni hizo zenye kujisikia zina wito wa kuwajibika kijamii zitakuwa zimefanya mambo bora na
ya maana kweli kweli. Maana kinachofanyika hivi sasa na kampuni mbalimbali nchini ni sawa sawa na kumpa mtu mzima 'pipi' au kitu kingine kitamu, kama vile
bado mtu ni mtoto wakati ugonjwa wake ni wa kiutu uzima." Yapo mambo mengi yanayoweza kufanywa na makampuni hapa nchini ambayo sio tu yatachangia
kubadili maisha ya wananchi bali pia kuongeza maradufu au zaidi faida za makampuni hayo. Nitajaribu kuorodhesha na kuelezea kwa uchache baadhi ya mambo
hayo nikitaraji kuwa huwa ni mwanzo wa mjadala wa ushirikiano kati ya wananchi na makampuni mbalimbali hapa nchini yatakayolenga sisi wote kuwa washindi.
Ni muhimu kama kweli kampuni zinataka zionekane zina nia ya kumsaidia Mtanzania kujiingiza katika kurahisisha kupatikana kwa zana za uzalishaji mali katika
kilimo na viwanda vidogo vidogo kwa mamilioni ya vijana wa nchi hii, ambao sio rahisi kupata mtu wa kuwaajiri. Kitendo cha kuwawezesha watu hawa kujiajiri ni
kitendo kitakachohakikisha makampuni hayo siku za mbele kuwa na wateja wanaongezeka badala ya kupungua. Kitendo hicho kinaimarisha amani na
mshikamano nchini kitu muhimu kwa mafanikio ya makampuni yote nchini. Ninaamini kwamba njia nyingine ya kuwajibika kijamii kiutu-uzima ni kuwasaidia walimu
na wahadhiri kwa hali na mali ili walimu na wahadhiri wawe na hali bora kimaisha na hivyo kuboresha elimu zaidi katika ngazi ya msingi, sekondari na vyuo.
Ninaamini, mathalani, kampuni A inaweza ikawadhamini walimu kadhaa wa mahesabu; kampuni B Kemia; kampuni C Fizikia; kampuni D-Utalii; kampuni
E-Biashara na kadhalika. Wao wenyewe wataamua nini cha kufanya, lakini mwisho wa siku walimu hao wanajikuta wana muda zaidi wa kujitolea kuboresha elimu
kuliko ilivyo hivi sasa. Kampuni zitaweza kujitangaza kwa walimu au wahadhiri hao kuitwa. Kwa mfano, mwalimu wa mahesabu wa Sasatel, Ali Bakari wa shule ya
Benjamin Mkapa amesema… Sambamba na hili ni kuwasaidia madaktari na wauguzi ili wafanze tiba na uganga bora zaidi. Hapo napo kitakachofanyika kwa
mfano ni kampuni moja kudhamini madaktari wa magonjwa ya watoto kwa kupunguza gharama na kuchangia pengine mkopo wa ujenzi wa nyumba au
ununuzi/utunzaji wa gari kwa mhusika au ulipiaji ada wa mtoto wa daktari au muuguzi nao pia wakaitangaza kampuni husika, mwalimu wa kemia wa Pepsi Cola,
Mary Mangesho amesema kwamba ....... Tunapokuja kwenye ngazi ya wananchi wengi ni muhimu kuangalia upatikanaji wa nishati ya nafuu zaidi, hususan
umeme wa mafuta, maji, jua au upepo kwa matumizi ya nyumbani chapuchapu ili kuchangia kupanda kwa ubora wa hali ya maisha ya mwananchi, kumkinga na
maradhi ya kutumia nishati hafifu na za hatari na vilevile kumrahisishia ununuzi na matumizi ya vifaa bora vya nyumbani vinavyohitaji nishati hiyo pia ikiwemo vile vya
kampuni zitakazochangia kupatikana kwa nishati hiyo. Tatizo jingine kubwa katika miji yetu ni lile la upatikanaji maji. Kampuni zikichangia kufanya upatikanaji maji
kirahisi vitakuwa vimemkomboa mwanamke na kazi inayotumia muda wake mwingi, lakini siyo ya uzalishaji mali moja kwa moja. Muda unaookolewa hivi
utawasaidia watu hao kujiajiri katika kazi yenye kipato na tija zaidi na hivyo kuwapa uwezo wa kununua bidhaa zaidi kutoka kwa makampuni mbalimbali hapa
nchini. Kazi hii ya ufikivu wa maji majumbani na mashuleni sio rahisi na hatuwezi kuwaachia watu au makampuni fulani tu au serikali yenyewe kuifanikisha. Pale
inapowezekana wale wenye uwezo na hasa makampuni makubwa nayo yachangie pia kwa wanajamii kupata maji safi na salama. Vilevile upatikanaji wa maji ya
uhakika utachangia sio haba kuwa na miti, bustani na maua yanayopendezesha mitaa na miji yetu. Na hili nalo litachangia kujenga mvuto wa miji yetu kwa watalii
kwa miji yetu kuonekana ni ya kistaarabu zaidi. Vijana wengi wa kitanzania hawana ajira. Na hakuna njia bora zaidi ya kuwasaidia kuliko ile ya kuwawezesha wao
wenyewe kujiajiri. Ni kweli wanamichezo sasa hivi wanapata fursa hiyo, lakini vijana wote sio wana michezo. Kadhalika sio michezo yote inayofadhiliwa kwa kiasi
hicho; kwa hiyo bado kuna umuhimu wa kuyaangalia wanayoweza kufanya vijana ikiwa ni pamoja na kazi za kilimo, viwanda vidogo vidogo, sanaa, uigizaji filamu,
uandishi wa vitabu, uchoraji katuni, uchekeshaji, matumizi ya kompyuta kuzalisha vitu mbalimbali na kuona ni kwa namna gani kampuni zinaweza kujipanga na
kuwasaidia vijana wetu ili wajikomboe kiuchumi na wakati huo huo waweze kutoa mchango wao unaohitajika sana katika maendeleo ya nchi yetu. Katika hili
kampuni zinaweza kujipanga na kuanzisha mfuko wa maendeleo ya ujasiriamali miongoni mwa vijana Tanzania ambao utasimamiwa na watu wanaoaminika na
wenye utaalamu unaostahili na kazi yake kubwa itakuwa ni kuwahamasisha vijana kuja na mawazo juu ya nini kinachoweza kuwakomboa. Kisha taasisi hiyo
iwape elimu na maarifa katika masuala hayo pamoja na kuwafungua macho kwa kuwapeleka nchi za nje kujifunza zaidi ujasiriamali katika eneo husika. Baada ya
hapo itawafadhili kwa mkopo usio na riba utakaochangia uanzishwaji na uendelezaji wa wazo na hatimaye mradi wao. Katika mikoa Kando ya Ziwa kuna tatizo
sugu la kisasi na wizi wa mifugo ambalo juzi limeishia kwa mauaji ya watu 17 wa ukoo mmoja kuuawa kikatili. Huko mradi wa kisaikolojia na kijamii ili kumaliza
ubabe na ukatili miongoni mwa watu wa mikoa ya Kanda ya Ziwa ungelitoa mchango mkubwa katika kumaliza tatizo hilo ambalo serikali na vyombo vyake mpaka
hivi leo vinakiri ni zito kuliko wanavyofikira wao. Kuna hatari ya ujinga kurudi tena Tanzania je hatuwezi kupeleka sinema za kila mwezi kwa magari huko vijijini ili
kuwaongezea elimu, burudani na starehe wananchi ? Bila shaka mradi huu sio tu utafanya kazi hizo hapo juu bali pia utakuwa ni njia kubwa ya matangazo ya
biashara husika kufika vijijini kirahisi.
Kinachohitajika hapa ni kwa kampuni hizo kuja na kuanzisha kampuni ya kupeleka sinema mitaani na vijijini itakayokuwa ikijiendesha yenyewe kibiashara. Jambo
lingine linaloweza kufanywa na kampuni zinazoamini kuwa wananchi ni wabia wao wa kudumu ni kuchangia kuifanya mitaa, vitongoji, vijiji na miji yetu kuwa safi na
salama zaidi. Bila maneno mengi wote tunajua umuhimu wa usafi na usalama katika maisha yetu. Hili likifanyika ni dhahiri kampuni hizo zitakuwa zinajiongezea sio
tu heshima bali kuaminiwa kwao mbele ya macho ya wananchi. Hali kadhalika kampuni hizo zinaweza kusaidia kuwepo kwa usafiri wa kistaarabu na heshima
zaidi kwa umma kwa kuwaleta wataalamu na ikiwezekana wawekezaji waweze kushauri watu na nchi ni mambo gani yanaweza kufanywa ili wenye daladala na
mabasi mengineyo wafanye kazi zao kiungwana na kistaarabu zaidi. Wito mwingine ni ule wa kufadhili michezo mbalimbali zaidi ya mpira wa miguu kupitia shule
za msingi, sekondari na vyuo vikuu. Hakika nchi hii haiwezi kuendelea kimichezo kama shule na vyuo havishirikishwi kikamilifu katika kuandaa wachezaji na
washindani wa kesho. Kubwa zaidi katika hili ni kwamba, kwa kufanya hivyo kutachangia pia umoja, udugu na mshikamano wa wanafunzi na vijana wa Kitanzania
popote walipo. Pamoja na hili ni lile la kusaidia kuanzishwa kwa ujenzi wa viwanja vya michezo kwa kila shule, chuo, kata, kijiji na mji nchini kama kusudio la awali
la kuwa na miundombinu ya kisasa nchi nzima itakayotuwezesha pia kujiandaa kwa kuwa wenyeji wa mashindano makubwa ya kimataifa siku za baadaye.
Ardhi, viwanja na mipango mji
WATANZANIA waliowahi kufika nchi za nje bila shaka wanajua fika kwamba, mojawapo ya eneo linaloheshimiwa sana na wenzetu ni viwanja vya michezo, bustani za kupumzikia, misitu midogo ndani na pembezoni mwa miji (inayotumika pia kwa mazoezi na michezo ili kulinda afya za wanamichezo ), maua, miti na utunzaji
wake.
Sio rahisi kwa wanasiasa na wenye fedha kurubuni idara ya ardhi na kupewa maeneo ya umma na serikali ya nchi husika ikaendelea kuwa madarakani. Hali kadhalika, heshima ya serikali na viongozi wake hutokana na hali ya ubora na usafi wa miji katika nchi wanazoziongoza.
Katika miji mbalimbali hapa Tanzania, sio tu kunazuka 'slamu' au makazi yasiyopimwa na yasiyoko katika mipango mji, lakini mamlaka zinazohusika zikishirikiana na wanasiasa, watumishi, viongozi wa kuchaguliwa na wa kuteuliwa na matajiri sasa wana uwezo wa kugeuza hata maeneo au sehemu zilizopimwa na kupangwa kuwa pia slamu.
Kilichotokea katika wilaya ya Kinondoni nina hakika ni kitu kitakachokuja kugundulika sio muda mrefu kutoka sasa kuwa ni uoza au ugonjwa ulionea katika miji yote Tanzania.
Ninaamini uchunguzi ukifanywa na chombo huru katika miji yote hapa Tanzania, isipokuwa kwa ile miji michanga itagundulika kuwa hayo ya Kinondoni ndiyo hayohayo katika miji mingine Tanzania.
Mpaka makala haya yanapoandikwa tayari kashfa ya ardhi Kinondoni imekwishasambaa katika wilaya nyingine mbili za mkoa wa Dar es salaam, yaani, Temeke na Ilala pia.
Watu watakuwa wanajiuliza hivi inatokeaje bustani, viwanja wazi, misitu midogo na viwanja vya michezo na maeneo ya huduma muhimu kwa jamii vinauzwa halafu baada ya miaka kadhaa ndio jambo hilo linagundulika? Kuna uhusiano gani kati ya uchaguzi mkuu, Wizara ya ardhi, manispaa na mipango miji hapa nchini?
Je, serikali inastahili kushindwa kusimamia masuala ya ardhi katika miaka hii ya sayansi na teknolojia ya ramani kuwa kitu kinachofanyika kwa kutumia kompyuta? Au ni kwa sababu ya serikali, manispaa na wanasiasa kujipendekeza kwa wapiga kura na wapiga debe wao ndio maana sheria ya ardhi inakuwa ni kama mchezo wa kuchekesha?
Nini hasa chanzo cha 'uhalifu' katika masuala ya ardhi na kama sheria zilizopo zinatosha kuwatia adabu na mambo kama hayo yasiwe yanajirudia tena kila mwaka? Hayo ndiyo maswali ya msingi yanayostahili kuulizwa na kujibiwa.
Maswali haya yakiulizwa na kujibiwa bila ushabiki au watu wengine kuona wanaumbuliwa yatasaidia sana kuepuka sehemu zetu za mji zilizopangika awali kugeuzwa salamu na kukuza maeneo ya salamu katika miji yetu mbalimbali. Kubwa zaidi ni kuwa nchi ni mipango. Huu uswahili tunaoulea ili tupate kura hauwezi kutufikisha mbali. Tabia hii ikiendelea katika miaka michache ijayo tutajikuta tunapoteza hata vile tulivyofanikiwa kuvipata hivi leo.
Isitoshe kwa kuwa nchi hii inatamani sana Utalii na Huduma za Ukarimu kuiingizia nchi yetu pato la haja ni lazima tunywe dawa chungu ya kukata uchafuzi mipango wa miji yetu kwa namna ambayo inakuwa ni fundisho kwa wananchi wengine popote pale Tanzania.
Kwa wasiojua, miji misafi, iliyopangika, yenye bustani za kupendeza, viwanja vya michezo kwa wakubwa na watoto, misitu midogo ndani na pembezoni ya miji na vijito na viziwa vya uongo na kweli, ni KIVUTIO kikubwa kwa watalii kuliko hata baadhi ya maeneo mengine tunayoamini kuwa ni kivutio kwa watalii.
Pamoja na maswali hayo inafaa pia kuuliza maswali yafuatayo:
• Hivi Wizara husika, yaani, Wizara ya ardhi, haijabebeshwa mzigo mkubwa na dhamana nzito kuliko uwezo wake? Maana kuna wanaoona
saa zingine kuwa wizara hiyo yenyewe ni kama sheria kama sio katiba ya nchi ? Ni dhahiri kama hakuna haki na utawala wa kisheria katika masuala ya ardhi
katika jamii yoyote basi haki na utawala wa kisheria hauwezi kuwepo mahala pengine. Wizara na idara zake lazima ziwe mfano wa haki na utawala wa kisheria
katika nchi. Je, kuna haja ya wizara hiyo kutofautisha kati ya kazi kiini kwa wizara na zile zinazofaa kufanywa na mamlaka zitakazokuwa chini ya wizara hiyo?
Tunaweza kujifunza nini kwa mfano kutoka Afrika Kusini, Namibia na Botswana?
• Nani anastahili kudhibiti maeneo yaliyopangwa kwa matumizi mbalimbali katika miji yetu na kuhakikisha kuwa hayatumiki vinginevyo, piga ua?
Hali kadhalika, kuhakikisha jamii inapata bustani, viwanja vya kupumzika, michezo na vya huduma mbalimbali bila mikwara, kuchelewesha wala usumbufu wa aina
yoyote?
• Je, siasa za vijiwe na utaratibu wa kuwa wamachinga au wahangaikaji wengine wasiokuwa na kazi maalum wanaweza kujenga kijukwaa cha
saruji na kufanya eneo hilo kuwa lao unaingilianaje na sheria za nchi kuhusu ardhi ? Je, kuna chama chochote cha siasa kinachostahili kuwa juu ya sheria na
vifungu vya katiba vinavyohusu masuala ya ardhi na matumizi yake?
• Katika mada hiyo hiyo je, viwanja vya michezo vilivyochukuliwa na chama fulani cha kisiasa na kinashindwa kuvitunza na vingine vimegeuzwa
masoko na magulio,kwanini visirudishwe kwa wananchi ili wawekeze humo na kuwa na hisa sawasawa na kuwa na hisa katika kampuni za uzalishaji au huduma
au kibiashara?
• Je, ni kwa kiasi gani ukubwa na maguvu ya wanasiasa na utajiri wa matajiri wa Kitanzania unachangia kuharibu badala ya kuboresha
mipango miji yetu? Kwa upande mwingine ni kiasi gani udhaifu wa watumishi wetu katika wizara na idara husika na njaa na tamaa zao zinachangia pia katika hilo?
Nini kifanyike?
• Ni kwa kiasi gani pia kushindwa kwa serikali zetu mbalimbali kuwa na mipango inayorahisisha upatikanaji wa nyumba kwa wakazi wao mijini
na vijijini kunachangia tatizo hili?
• Hivi serikali inastahili kweli kuwa katika majengo ya kizamani katika kata moja tu ya Magogoni/Kivukoni, yanayokula nafasi kubwa na
kuchangia usumbufu mkubwa kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakati serikali hiyo inastahili kuwepo Dodoma na majengo yake yaliyosambaa na
yanayoendana na karne ya sayansi na teknolojia ?
• Je, ni nini kitakachotokea Soko Kuu la Pamoja la Afrika Mashariki linapoanza kazi wakati kuna ‘nyufa; nyingi katika masuala ya ardhi na
matumizi yake hapa nchini? Tuisaidiaje serikali kuziba nyufa hizo?
Nini kifanyike
Ikiwa kweli tunataka miji ya kistaarabu, ambayo wanasiasa, ikulu, wizara au wenye fedha hawawi juu ya sheria ya ardhi mambo yafuatayo yafanyike:
• Paendeshwa ukaguzi maeneo yote ya ardhi utakaofanywa na chombo maalum kinachostahili kuwepo sikuzote ili kudhibiti masuala ya
mipango miji na matumizi sahihi bora ya ardhi nchini;
• Pale uvunjaji sheria utakapothibitishwa uamuzi wa kurudisha viwanja na maeneo yote yaliyogawiwa kinyume cha sheria, lazima ufanyike bila
mizengwe wala kuchelewa, hii ikiwa ni pamoja na viwanja au maeneo husika kurejeshwa kwa matumizi mahsusi na wavunja sheria kulipa gharama zote na
maafisa ardhi husika kutoruhusiwa tena kufanya kazi katika wizara au idara zake, Hii ina maana pia kwamba, wote waliofanya ujanja watalazimika kubeba
gharama za ubomoaji na ubadilishaji viwanja kuwa maeneo yanayostahili kuwa kama ilivyopangwa awali.
• Kuhakikisha kwamba, ramani zote za miji zinakuwa katika kompyuta na wavuti maalum ya taifa inayohifadhi ramani na mipango miji yote.
• Katika miaka hii ni muhimu kwa serikali asubuhi na mapema kuanza kununua maeneo na nyumba zenye utata kwanza na baadaye maeneo
yanayopaswa kuwepo maeneo na huduma za kijamii na kadhalika,ili kupatikane bustani, viwanja vya michezo na vya kupumzikia katika kila kata mbili kama sio
moja.
Ili tuendelee kulinda amani na umoja wetu na imani ya wananchi kwa serikali yao, ni lazima masuala ya uuzaji na ununuzi ardhi yawe wazi na yanayofahamika na
ngazi zote kuanzia mwenyekiti wa mtaa hadi Baraza la Mawaziri na Ikulu wakati wote. Kama patakuwa na mtandao wa kompyuta stahilifu hii sio kazi kubwa.Utawala
wa sheria katika suala la ardhi na matumizi yake ni jambo la kheri kwa wote, walioko madarakani na wapinzani wao kadhalika.
wake.
Sio rahisi kwa wanasiasa na wenye fedha kurubuni idara ya ardhi na kupewa maeneo ya umma na serikali ya nchi husika ikaendelea kuwa madarakani. Hali kadhalika, heshima ya serikali na viongozi wake hutokana na hali ya ubora na usafi wa miji katika nchi wanazoziongoza.
Katika miji mbalimbali hapa Tanzania, sio tu kunazuka 'slamu' au makazi yasiyopimwa na yasiyoko katika mipango mji, lakini mamlaka zinazohusika zikishirikiana na wanasiasa, watumishi, viongozi wa kuchaguliwa na wa kuteuliwa na matajiri sasa wana uwezo wa kugeuza hata maeneo au sehemu zilizopimwa na kupangwa kuwa pia slamu.
Kilichotokea katika wilaya ya Kinondoni nina hakika ni kitu kitakachokuja kugundulika sio muda mrefu kutoka sasa kuwa ni uoza au ugonjwa ulionea katika miji yote Tanzania.
Ninaamini uchunguzi ukifanywa na chombo huru katika miji yote hapa Tanzania, isipokuwa kwa ile miji michanga itagundulika kuwa hayo ya Kinondoni ndiyo hayohayo katika miji mingine Tanzania.
Mpaka makala haya yanapoandikwa tayari kashfa ya ardhi Kinondoni imekwishasambaa katika wilaya nyingine mbili za mkoa wa Dar es salaam, yaani, Temeke na Ilala pia.
Watu watakuwa wanajiuliza hivi inatokeaje bustani, viwanja wazi, misitu midogo na viwanja vya michezo na maeneo ya huduma muhimu kwa jamii vinauzwa halafu baada ya miaka kadhaa ndio jambo hilo linagundulika? Kuna uhusiano gani kati ya uchaguzi mkuu, Wizara ya ardhi, manispaa na mipango miji hapa nchini?
Je, serikali inastahili kushindwa kusimamia masuala ya ardhi katika miaka hii ya sayansi na teknolojia ya ramani kuwa kitu kinachofanyika kwa kutumia kompyuta? Au ni kwa sababu ya serikali, manispaa na wanasiasa kujipendekeza kwa wapiga kura na wapiga debe wao ndio maana sheria ya ardhi inakuwa ni kama mchezo wa kuchekesha?
Nini hasa chanzo cha 'uhalifu' katika masuala ya ardhi na kama sheria zilizopo zinatosha kuwatia adabu na mambo kama hayo yasiwe yanajirudia tena kila mwaka? Hayo ndiyo maswali ya msingi yanayostahili kuulizwa na kujibiwa.
Maswali haya yakiulizwa na kujibiwa bila ushabiki au watu wengine kuona wanaumbuliwa yatasaidia sana kuepuka sehemu zetu za mji zilizopangika awali kugeuzwa salamu na kukuza maeneo ya salamu katika miji yetu mbalimbali. Kubwa zaidi ni kuwa nchi ni mipango. Huu uswahili tunaoulea ili tupate kura hauwezi kutufikisha mbali. Tabia hii ikiendelea katika miaka michache ijayo tutajikuta tunapoteza hata vile tulivyofanikiwa kuvipata hivi leo.
Isitoshe kwa kuwa nchi hii inatamani sana Utalii na Huduma za Ukarimu kuiingizia nchi yetu pato la haja ni lazima tunywe dawa chungu ya kukata uchafuzi mipango wa miji yetu kwa namna ambayo inakuwa ni fundisho kwa wananchi wengine popote pale Tanzania.
Kwa wasiojua, miji misafi, iliyopangika, yenye bustani za kupendeza, viwanja vya michezo kwa wakubwa na watoto, misitu midogo ndani na pembezoni ya miji na vijito na viziwa vya uongo na kweli, ni KIVUTIO kikubwa kwa watalii kuliko hata baadhi ya maeneo mengine tunayoamini kuwa ni kivutio kwa watalii.
Pamoja na maswali hayo inafaa pia kuuliza maswali yafuatayo:
• Hivi Wizara husika, yaani, Wizara ya ardhi, haijabebeshwa mzigo mkubwa na dhamana nzito kuliko uwezo wake? Maana kuna wanaoona
saa zingine kuwa wizara hiyo yenyewe ni kama sheria kama sio katiba ya nchi ? Ni dhahiri kama hakuna haki na utawala wa kisheria katika masuala ya ardhi
katika jamii yoyote basi haki na utawala wa kisheria hauwezi kuwepo mahala pengine. Wizara na idara zake lazima ziwe mfano wa haki na utawala wa kisheria
katika nchi. Je, kuna haja ya wizara hiyo kutofautisha kati ya kazi kiini kwa wizara na zile zinazofaa kufanywa na mamlaka zitakazokuwa chini ya wizara hiyo?
Tunaweza kujifunza nini kwa mfano kutoka Afrika Kusini, Namibia na Botswana?
• Nani anastahili kudhibiti maeneo yaliyopangwa kwa matumizi mbalimbali katika miji yetu na kuhakikisha kuwa hayatumiki vinginevyo, piga ua?
Hali kadhalika, kuhakikisha jamii inapata bustani, viwanja vya kupumzika, michezo na vya huduma mbalimbali bila mikwara, kuchelewesha wala usumbufu wa aina
yoyote?
• Je, siasa za vijiwe na utaratibu wa kuwa wamachinga au wahangaikaji wengine wasiokuwa na kazi maalum wanaweza kujenga kijukwaa cha
saruji na kufanya eneo hilo kuwa lao unaingilianaje na sheria za nchi kuhusu ardhi ? Je, kuna chama chochote cha siasa kinachostahili kuwa juu ya sheria na
vifungu vya katiba vinavyohusu masuala ya ardhi na matumizi yake?
• Katika mada hiyo hiyo je, viwanja vya michezo vilivyochukuliwa na chama fulani cha kisiasa na kinashindwa kuvitunza na vingine vimegeuzwa
masoko na magulio,kwanini visirudishwe kwa wananchi ili wawekeze humo na kuwa na hisa sawasawa na kuwa na hisa katika kampuni za uzalishaji au huduma
au kibiashara?
• Je, ni kwa kiasi gani ukubwa na maguvu ya wanasiasa na utajiri wa matajiri wa Kitanzania unachangia kuharibu badala ya kuboresha
mipango miji yetu? Kwa upande mwingine ni kiasi gani udhaifu wa watumishi wetu katika wizara na idara husika na njaa na tamaa zao zinachangia pia katika hilo?
Nini kifanyike?
• Ni kwa kiasi gani pia kushindwa kwa serikali zetu mbalimbali kuwa na mipango inayorahisisha upatikanaji wa nyumba kwa wakazi wao mijini
na vijijini kunachangia tatizo hili?
• Hivi serikali inastahili kweli kuwa katika majengo ya kizamani katika kata moja tu ya Magogoni/Kivukoni, yanayokula nafasi kubwa na
kuchangia usumbufu mkubwa kwa wakazi wa jiji la Dar es Salaam wakati serikali hiyo inastahili kuwepo Dodoma na majengo yake yaliyosambaa na
yanayoendana na karne ya sayansi na teknolojia ?
• Je, ni nini kitakachotokea Soko Kuu la Pamoja la Afrika Mashariki linapoanza kazi wakati kuna ‘nyufa; nyingi katika masuala ya ardhi na
matumizi yake hapa nchini? Tuisaidiaje serikali kuziba nyufa hizo?
Nini kifanyike
Ikiwa kweli tunataka miji ya kistaarabu, ambayo wanasiasa, ikulu, wizara au wenye fedha hawawi juu ya sheria ya ardhi mambo yafuatayo yafanyike:
• Paendeshwa ukaguzi maeneo yote ya ardhi utakaofanywa na chombo maalum kinachostahili kuwepo sikuzote ili kudhibiti masuala ya
mipango miji na matumizi sahihi bora ya ardhi nchini;
• Pale uvunjaji sheria utakapothibitishwa uamuzi wa kurudisha viwanja na maeneo yote yaliyogawiwa kinyume cha sheria, lazima ufanyike bila
mizengwe wala kuchelewa, hii ikiwa ni pamoja na viwanja au maeneo husika kurejeshwa kwa matumizi mahsusi na wavunja sheria kulipa gharama zote na
maafisa ardhi husika kutoruhusiwa tena kufanya kazi katika wizara au idara zake, Hii ina maana pia kwamba, wote waliofanya ujanja watalazimika kubeba
gharama za ubomoaji na ubadilishaji viwanja kuwa maeneo yanayostahili kuwa kama ilivyopangwa awali.
• Kuhakikisha kwamba, ramani zote za miji zinakuwa katika kompyuta na wavuti maalum ya taifa inayohifadhi ramani na mipango miji yote.
• Katika miaka hii ni muhimu kwa serikali asubuhi na mapema kuanza kununua maeneo na nyumba zenye utata kwanza na baadaye maeneo
yanayopaswa kuwepo maeneo na huduma za kijamii na kadhalika,ili kupatikane bustani, viwanja vya michezo na vya kupumzikia katika kila kata mbili kama sio
moja.
Ili tuendelee kulinda amani na umoja wetu na imani ya wananchi kwa serikali yao, ni lazima masuala ya uuzaji na ununuzi ardhi yawe wazi na yanayofahamika na
ngazi zote kuanzia mwenyekiti wa mtaa hadi Baraza la Mawaziri na Ikulu wakati wote. Kama patakuwa na mtandao wa kompyuta stahilifu hii sio kazi kubwa.Utawala
wa sheria katika suala la ardhi na matumizi yake ni jambo la kheri kwa wote, walioko madarakani na wapinzani wao kadhalika.
Ili kufufua michezo na ushindani.....
Ili kufufua michezo na ushindani.....
INASEMEKANA zaidi ya nusu ya Watanzania ni vijana wenye umri chini ya miaka 15. Huu ni umri wa kusoma na kucheza. Hali ilivyo si hivyo. Wengi wanaopenda riadha, ngumi, mbio za baiskeli, kuogelea na kadhalika hawapati fursa hiyo. Asilimia kubwa ya watoto na vijana wetu wanakuwa bila kushiriki katika michezo yoyote ya maana na inayoweza kuwaendeleza kimaisha, kiakili, kimwili na kiroho.
Tatizo ni nini ? Labda tuulize Wizara husika. Na tuwaulize kwa staili ya aina yake. Hivi wizara husika na waziri wake wamewaendea Watanzania mijini na vijijini na kuwahamasisha kuwepo kwa viwanja vya michezo kwa ajili ya watoto wao mitaani mwao wakakataa? Au je, wizara ina mradi wowote unaohusiana na kuwanusuru watoto wetu kiafya na kimwili kwa kuwapatia viwanja jirani na waishipo,
ili washiriki katika mchezo wanaoupenda? Je, Wizara husika ina habari na misitu inayojengwa karibu na mji na kisha kutumika kama uwanja huru wa mazoezi kwa wananchi
wote kuanzia watoto hadi wazee. (Mfano mzuri upo Baden, Wurtenburg, Ujerumani). Je, wizara husika imekwishawahi kutuma watu wake kuonana na mastaa wa
michezo mbalimbali kama vile kina Serena Williams, Del Porto, Nadal, Tevez, Ronaldino, Tiger Woods na kadhalika na kuwakaribisha kuja kuona ni nini wanachoweza kuwafanyia vijana wa Kitanzania ?
Je, wizara inashirikiana vipi na balozi za nje, makampuni na mashirika yasiyo ya kiserikali ili kujenga na kuendeleza miundo mbinu ya michezo na vipaji vya kimichezo vya vijana wa Kitanzania?
Je, kuna wakati wowote wizara husika imekaa na wakuu wa mikoa fulani kama vile Kilimanjaro ambako kilichokuwa kiwe kiwanja cha mpira/michezo sasa kimegeuzwa soko ili wajitahidi kujenga viwanja bora za kimataifa kila mkoa na pale pindi tunapopewa changamoto angalau ya kuwa wenyeji wa Kombe la Mabara tuweze kukubali kazi hiyo bila woga ?
Je, wizara husika imekwisha shirikiana na Wizara ya ndani na Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ili kuona namnna ambayo maaskari vijana wanaweza kushiriki katika michezo na hatimaye kuliletea taifa sifa na heshima ? Je, kuna mpango na mkakati wa miaka mitano katika kuimarisha mitaa, shule za msingi na sekondari kimichezo?
Na je, elimu walimu wa michezo/makocha (kama wapo) wanayoipata inaenda na wakati. Yaani, kwa maneno mengine mwalimu wa michezo aliyefundishwa hapa Tanzania
anaweza kumuendeleza kijana hadi afanikiwe kuingia kwenye medani ya kimataifa ? Kwanini, mathalani, tunashindwa kuwa na mashindao ya rika la umri wa miaka 12,14, 16, 18, 20 katika soka, basketball, netball na kadhalika? Je, kuna mikakati yoyote ya kuanzishwa na kuendelezwa michezo mbalimbali mitaani na vijijini kama njia ya burudani, lakini pia kuendeleza vipaji vya kimichezo vya vijana sehemu hizo ? Katika ngazi ya vijiji je, kuna mashindano gani ya maana ambayo yatakuwa yakiwahamasisha vijana kuendelea kufanya vizuri ili washiriki katika michezo ngazi ya kata na tarafa na wilaya?
Je, kuna wilaya yoyote yenye kufanya mashindano yoyote ya maana ambayo yanaweza kumfanya mchezaji anayenyanyukia wa Kitanzania kuendelezwa na kufikia kushiriki hadi ngazi ya kimataifa? Kwa kuwa michezo sasa ni mali inafaa pia kuuliza kwamba je, serikali huwa inatoa msaada wa aina yoyote kwa watu wanaojikita katika kuwekeza kwenye
kuendeleza vipaji vya kimichezo vya vijana wa Kitanzania.
Huwa inawasaidia wawekezaji hao katika mambo gani? Na je, serikali, mangimeza wake na wanasiasa, hususani wabunge wanaweza kutoa mchango gani katika kuhakikisha kuwa watu binafsi, makundi ya kijamii na taasisi nyingine zinajitolea ili pawepo na taasisi za mafunzo na utaalamu wa kimichezo? Kuna mkakati gani wa kupata toka nje au kutengeneza papa hapa nyumbani, vifaa vya michezo ambavyo vitakuwa vya bei
nafuu na hivyo wazazi wengi kumudu kuwanunulia watoto wao?
Je, ipo mikakati yoyote ya kuimarisha lishe, tiba, mazoezi na ushauri katika vyakula ili vijana wanaoshiriki michezo waweze kujenga siha na nidhamu itakayosaidia kuwafanya wawe wanamichezo bora ?
Je, kuna mipango yoyote ya kuwa na taasisi inayotoa misaada au mikopo ya kifedha na hivyo kuwawezesha wanamichezo kujiendeleza na kujiimarisha katika michezo wanayoshiriki? Je, mikoa ya kusini inahamasishwaje kuwa na mashindano ya kimataifa inayoshirikisha nchi hii na nchi kama vile Msumbiji, Malawi na Zambia ?
Na mikoa ya magharibi kama vile Tabora, Rukwa, Kigoma na Kagera inahamasishwaje iwe na mashindano ya kimataifa kati yake na nchi jirani za Kongo, Rwanda na Burundi? Kama ilivyo kwa mikoa ya kando ya bahari kuwa na michezo ya kimataifa inayoshirikisha nchi za Madagascar, Ushelisheli, Mauritius na Komoro? Au mikoa ya Kaskazini Mashariki kuwa na michezo kati yake na nchi za Kenya, Sudan, Somalia na Djibouti ? Kuna wanaouliza pia hivi ni jukumu la nani kuhakikisha kuwa kila mkoa unakuwa na stadiumu ya kimataifa ?
Na je, wananchi wa kila mkoa wakihamasishwa na Wachina wakaombwa kuonesha walichokifanya Dar es salaam na watu
wakahakikishiwa kuwa wamiliki wa viwanja hivyo watakuwa ni wao na hisa watapewa na viwanja havitaporwa na chama cha kisiasa hatutakuwa na 'stadiumu' kama hizo? Je, ni jukumu la nani kutafuta na kuajiri makocha wa kufundisha makocha wa michezo mbalimbali wa Kitanzania? Ni nani pia anayeweza
kushughulikia upatikanaji wa mitumba ya vifaa vya michezo kama tulivyochangamkia kuruhusu upatikanaji wa mitumba ya nguo na ile ya magari?
Na hivyo nchi hii na wahandisi wote tuliosomeshana hakuna anayeweza kweli kuwezeshwa kutengeneza baadhi ya vifaa vya michezo nchini na vikapatikana kwa bei rahisi sawa
na bure ? Je, wizara mbona ina kigugumizi katika kuwa na kaulimbiu inayosema: ''MICHEZO HVI LEO NI AJIRA, MZAZI KAMSOMESHE MWANAO MICHEZO PIA ?" na kisha kuwaelimisha wazazi kutong'ang'ania kuwashindilia watoto wao wasio na uwezo masomo wasiyoyaweza na badala yake kuibua vipaji vyao vingine ili wachanue kiulaini? Maswali haya ingawa yanaulizwa kiaiana aina ni dhahiri kwamba, yakijibiwa inavyostahili yatasaidia kutufungua macho Watanzania, hususani katika suala la kufufua michezo na ushindani Tanzania. Michezo si utani wala sio usanii. Ukiwa mtu wa utani utani na msanii sio rahisi kuwahamasisha vijana
wachangamkie michezo kama njia ya kujikwamua na umasikini. Hili lataka mtu kuonyesha kwa vitendo na sio kwa maneno kwamba kweli unataka kuwaendeleza
wenye vipaji vya michezo.
Maana hakuna mtu anayevunjika moyo haraka kama mwana michezo na njia moja ya kumvunja moyo haraka ni ahadi za uongo au maneno matupu yasiyoishia kutafisirika kivitendo. Kwa miaka mingi tumekuwa tukiwasanifu vijana kwamba ni viongozi wa kesho na nchi itajengwa nao, lakini tumekuwa na mikono mifupi katika kuwa nyenzo na zana za kuonesha kweli tuna nia ya kweli kuhakikisha kuwa wanakuwa kile tunachowaimbia kuwa! Naje,
wizara inajua ni michezo mingapi ambayo leo hushindwania katika Olimpiki na ipi ambayo Tanzania ikikamia inaweza kufanikiwa sio tu kushiriki bali kushinda? Na nini kifanyike ili hilo liwezekane? Katika miaka hii ya kupanuka kwa sekta binafsi na kunyauka kwa sekta ya umma ni jukumu la wizara husika kulichukulia pia suala la michezo kwamba ni ajira na linahitaji mipango na mikakati. Tunapozungumzia ajira kwa hiyo tunapaswa pia kuwa na idadi tosha ya watu tunaosema hawa watajiajiri wenyewe kwa kuwa washiriki katika mchezo huu na ule. Sampuli ya wanamichezo wanaoweza kujiajiri sio hawa wanaoishia darasa la saba na wanaojua
tu Kiswahili.
Ni lazima watoto na vijana hawa wawekewe ngazi toka shule ya msingi hadi vyuoni au vilevile toka mtaani hadi vyuoni. Baadhi ya vyuo vyetu vinatakiwa kubadilika na kuanza kuwafuata watu waliko ili kuendesha masomo kama haya ya michezo, lugha na uzamili katika maeneo maalumu ya kitarafu. Kwa kuwa tumeweza kuwa na shule ya sekondari kwa kila kata ninaamini sio kazi pia kuwa na shule ya michezo, lugha, sanaa na muziki katika kila kata. Kwa kufanya hivi
basi itakuwa ni rahisi kwa wale wanaofulia katika masomo ya kawaida kujinoma katika maeneo ya michezo au sanaa wanayoipenda na wanayoamini kuwa inaweza kuwapa ajira mwisho wa yote. Maana swali hapa ni je tunasoma au watu wanasoma kwa ajili ya nini? Ukikubali kwamba tunasoma ili tupate mkate wetu wa kila siku basi utagundua mara moja kwamba tunawatendea isivyo haki wasio na vipaji vya kuwa wanafunzi wazuri wa masomo ya kimapokeo, kwa kutowapa
fursa ya kusomea kile wanachokitaka na kukipenda. Aidha, ni muhimu kwa Watanzania kujiganga na ubinafsi ambao sasa unatangulizwa karibu katika kila jambo kwa kuwasidia wale wote wenye vipaji vya michezo bila kujali kama wanakuhusu au hawakuhusu!
INASEMEKANA zaidi ya nusu ya Watanzania ni vijana wenye umri chini ya miaka 15. Huu ni umri wa kusoma na kucheza. Hali ilivyo si hivyo. Wengi wanaopenda riadha, ngumi, mbio za baiskeli, kuogelea na kadhalika hawapati fursa hiyo. Asilimia kubwa ya watoto na vijana wetu wanakuwa bila kushiriki katika michezo yoyote ya maana na inayoweza kuwaendeleza kimaisha, kiakili, kimwili na kiroho.
Tatizo ni nini ? Labda tuulize Wizara husika. Na tuwaulize kwa staili ya aina yake. Hivi wizara husika na waziri wake wamewaendea Watanzania mijini na vijijini na kuwahamasisha kuwepo kwa viwanja vya michezo kwa ajili ya watoto wao mitaani mwao wakakataa? Au je, wizara ina mradi wowote unaohusiana na kuwanusuru watoto wetu kiafya na kimwili kwa kuwapatia viwanja jirani na waishipo,
ili washiriki katika mchezo wanaoupenda? Je, Wizara husika ina habari na misitu inayojengwa karibu na mji na kisha kutumika kama uwanja huru wa mazoezi kwa wananchi
wote kuanzia watoto hadi wazee. (Mfano mzuri upo Baden, Wurtenburg, Ujerumani). Je, wizara husika imekwishawahi kutuma watu wake kuonana na mastaa wa
michezo mbalimbali kama vile kina Serena Williams, Del Porto, Nadal, Tevez, Ronaldino, Tiger Woods na kadhalika na kuwakaribisha kuja kuona ni nini wanachoweza kuwafanyia vijana wa Kitanzania ?
Je, wizara inashirikiana vipi na balozi za nje, makampuni na mashirika yasiyo ya kiserikali ili kujenga na kuendeleza miundo mbinu ya michezo na vipaji vya kimichezo vya vijana wa Kitanzania?
Je, kuna wakati wowote wizara husika imekaa na wakuu wa mikoa fulani kama vile Kilimanjaro ambako kilichokuwa kiwe kiwanja cha mpira/michezo sasa kimegeuzwa soko ili wajitahidi kujenga viwanja bora za kimataifa kila mkoa na pale pindi tunapopewa changamoto angalau ya kuwa wenyeji wa Kombe la Mabara tuweze kukubali kazi hiyo bila woga ?
Je, wizara husika imekwisha shirikiana na Wizara ya ndani na Wizara ya Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ili kuona namnna ambayo maaskari vijana wanaweza kushiriki katika michezo na hatimaye kuliletea taifa sifa na heshima ? Je, kuna mpango na mkakati wa miaka mitano katika kuimarisha mitaa, shule za msingi na sekondari kimichezo?
Na je, elimu walimu wa michezo/makocha (kama wapo) wanayoipata inaenda na wakati. Yaani, kwa maneno mengine mwalimu wa michezo aliyefundishwa hapa Tanzania
anaweza kumuendeleza kijana hadi afanikiwe kuingia kwenye medani ya kimataifa ? Kwanini, mathalani, tunashindwa kuwa na mashindao ya rika la umri wa miaka 12,14, 16, 18, 20 katika soka, basketball, netball na kadhalika? Je, kuna mikakati yoyote ya kuanzishwa na kuendelezwa michezo mbalimbali mitaani na vijijini kama njia ya burudani, lakini pia kuendeleza vipaji vya kimichezo vya vijana sehemu hizo ? Katika ngazi ya vijiji je, kuna mashindano gani ya maana ambayo yatakuwa yakiwahamasisha vijana kuendelea kufanya vizuri ili washiriki katika michezo ngazi ya kata na tarafa na wilaya?
Je, kuna wilaya yoyote yenye kufanya mashindano yoyote ya maana ambayo yanaweza kumfanya mchezaji anayenyanyukia wa Kitanzania kuendelezwa na kufikia kushiriki hadi ngazi ya kimataifa? Kwa kuwa michezo sasa ni mali inafaa pia kuuliza kwamba je, serikali huwa inatoa msaada wa aina yoyote kwa watu wanaojikita katika kuwekeza kwenye
kuendeleza vipaji vya kimichezo vya vijana wa Kitanzania.
Huwa inawasaidia wawekezaji hao katika mambo gani? Na je, serikali, mangimeza wake na wanasiasa, hususani wabunge wanaweza kutoa mchango gani katika kuhakikisha kuwa watu binafsi, makundi ya kijamii na taasisi nyingine zinajitolea ili pawepo na taasisi za mafunzo na utaalamu wa kimichezo? Kuna mkakati gani wa kupata toka nje au kutengeneza papa hapa nyumbani, vifaa vya michezo ambavyo vitakuwa vya bei
nafuu na hivyo wazazi wengi kumudu kuwanunulia watoto wao?
Je, ipo mikakati yoyote ya kuimarisha lishe, tiba, mazoezi na ushauri katika vyakula ili vijana wanaoshiriki michezo waweze kujenga siha na nidhamu itakayosaidia kuwafanya wawe wanamichezo bora ?
Je, kuna mipango yoyote ya kuwa na taasisi inayotoa misaada au mikopo ya kifedha na hivyo kuwawezesha wanamichezo kujiendeleza na kujiimarisha katika michezo wanayoshiriki? Je, mikoa ya kusini inahamasishwaje kuwa na mashindano ya kimataifa inayoshirikisha nchi hii na nchi kama vile Msumbiji, Malawi na Zambia ?
Na mikoa ya magharibi kama vile Tabora, Rukwa, Kigoma na Kagera inahamasishwaje iwe na mashindano ya kimataifa kati yake na nchi jirani za Kongo, Rwanda na Burundi? Kama ilivyo kwa mikoa ya kando ya bahari kuwa na michezo ya kimataifa inayoshirikisha nchi za Madagascar, Ushelisheli, Mauritius na Komoro? Au mikoa ya Kaskazini Mashariki kuwa na michezo kati yake na nchi za Kenya, Sudan, Somalia na Djibouti ? Kuna wanaouliza pia hivi ni jukumu la nani kuhakikisha kuwa kila mkoa unakuwa na stadiumu ya kimataifa ?
Na je, wananchi wa kila mkoa wakihamasishwa na Wachina wakaombwa kuonesha walichokifanya Dar es salaam na watu
wakahakikishiwa kuwa wamiliki wa viwanja hivyo watakuwa ni wao na hisa watapewa na viwanja havitaporwa na chama cha kisiasa hatutakuwa na 'stadiumu' kama hizo? Je, ni jukumu la nani kutafuta na kuajiri makocha wa kufundisha makocha wa michezo mbalimbali wa Kitanzania? Ni nani pia anayeweza
kushughulikia upatikanaji wa mitumba ya vifaa vya michezo kama tulivyochangamkia kuruhusu upatikanaji wa mitumba ya nguo na ile ya magari?
Na hivyo nchi hii na wahandisi wote tuliosomeshana hakuna anayeweza kweli kuwezeshwa kutengeneza baadhi ya vifaa vya michezo nchini na vikapatikana kwa bei rahisi sawa
na bure ? Je, wizara mbona ina kigugumizi katika kuwa na kaulimbiu inayosema: ''MICHEZO HVI LEO NI AJIRA, MZAZI KAMSOMESHE MWANAO MICHEZO PIA ?" na kisha kuwaelimisha wazazi kutong'ang'ania kuwashindilia watoto wao wasio na uwezo masomo wasiyoyaweza na badala yake kuibua vipaji vyao vingine ili wachanue kiulaini? Maswali haya ingawa yanaulizwa kiaiana aina ni dhahiri kwamba, yakijibiwa inavyostahili yatasaidia kutufungua macho Watanzania, hususani katika suala la kufufua michezo na ushindani Tanzania. Michezo si utani wala sio usanii. Ukiwa mtu wa utani utani na msanii sio rahisi kuwahamasisha vijana
wachangamkie michezo kama njia ya kujikwamua na umasikini. Hili lataka mtu kuonyesha kwa vitendo na sio kwa maneno kwamba kweli unataka kuwaendeleza
wenye vipaji vya michezo.
Maana hakuna mtu anayevunjika moyo haraka kama mwana michezo na njia moja ya kumvunja moyo haraka ni ahadi za uongo au maneno matupu yasiyoishia kutafisirika kivitendo. Kwa miaka mingi tumekuwa tukiwasanifu vijana kwamba ni viongozi wa kesho na nchi itajengwa nao, lakini tumekuwa na mikono mifupi katika kuwa nyenzo na zana za kuonesha kweli tuna nia ya kweli kuhakikisha kuwa wanakuwa kile tunachowaimbia kuwa! Naje,
wizara inajua ni michezo mingapi ambayo leo hushindwania katika Olimpiki na ipi ambayo Tanzania ikikamia inaweza kufanikiwa sio tu kushiriki bali kushinda? Na nini kifanyike ili hilo liwezekane? Katika miaka hii ya kupanuka kwa sekta binafsi na kunyauka kwa sekta ya umma ni jukumu la wizara husika kulichukulia pia suala la michezo kwamba ni ajira na linahitaji mipango na mikakati. Tunapozungumzia ajira kwa hiyo tunapaswa pia kuwa na idadi tosha ya watu tunaosema hawa watajiajiri wenyewe kwa kuwa washiriki katika mchezo huu na ule. Sampuli ya wanamichezo wanaoweza kujiajiri sio hawa wanaoishia darasa la saba na wanaojua
tu Kiswahili.
Ni lazima watoto na vijana hawa wawekewe ngazi toka shule ya msingi hadi vyuoni au vilevile toka mtaani hadi vyuoni. Baadhi ya vyuo vyetu vinatakiwa kubadilika na kuanza kuwafuata watu waliko ili kuendesha masomo kama haya ya michezo, lugha na uzamili katika maeneo maalumu ya kitarafu. Kwa kuwa tumeweza kuwa na shule ya sekondari kwa kila kata ninaamini sio kazi pia kuwa na shule ya michezo, lugha, sanaa na muziki katika kila kata. Kwa kufanya hivi
basi itakuwa ni rahisi kwa wale wanaofulia katika masomo ya kawaida kujinoma katika maeneo ya michezo au sanaa wanayoipenda na wanayoamini kuwa inaweza kuwapa ajira mwisho wa yote. Maana swali hapa ni je tunasoma au watu wanasoma kwa ajili ya nini? Ukikubali kwamba tunasoma ili tupate mkate wetu wa kila siku basi utagundua mara moja kwamba tunawatendea isivyo haki wasio na vipaji vya kuwa wanafunzi wazuri wa masomo ya kimapokeo, kwa kutowapa
fursa ya kusomea kile wanachokitaka na kukipenda. Aidha, ni muhimu kwa Watanzania kujiganga na ubinafsi ambao sasa unatangulizwa karibu katika kila jambo kwa kuwasidia wale wote wenye vipaji vya michezo bila kujali kama wanakuhusu au hawakuhusu!
Yanahitajika mabunge mawili ya Kitaifa
KUMEKUWA na mtindo wa chama tawala kuunda nafasi katika bunge kila mara kwa ajili ya makundi. kama vile ya wanawake wa chama, wasomi wanawake wa chama, vijana wa chama, wazee wa chama, wazazi wa chama na kadhalika. Je, haya yanayofanyika sio kulifanya bunge kwa kuwa na wabunge wasiochaguliwa na je, mbunge anayepatikana kwa namna hii anakubalika kama mwakilishi halali wa wananchi? Je, hapa hatupandi mbegu za ubaguzi kati ya vijana, wazee,
wazazi, wanawake na makundi mengine katika jamii ? Kwanini mwakilishi wa vijana asichaguliwe na vijana wote wa Tanzania kwa ujumla wao? Hali kadhalika,
Wazee, wanawake, wazazi na wengineo?
Kuna tofauti gani kati ya wabunge wanaowawakilisha wananchi na wanaowakilisha sehemu fulani ya Watanzania wakijifanya ni wawakilishi wa watu wote katika
kundi husika? Ni kwa namna gani hili linaorojesha demokrasia nchini?
Je, bunge linalokuwa na wawakilishi waliodhaminiwa na chama fulani na hawakuchaguliwa na wananchi bali wachache tu miongoni mwa makundi fulani ya kijamii
ni chachu au dekio kwa demokrasia na siasa za uwakilishi ?
Hivi tunawezaje kuboresha siasa za uwakilishi na demokrasia nchini ? Na uwakilishi huu ambao sio wa wananchi bali makundi katika jamii hauleti dhana mpya ya
uwakilishi wa makundi katika jamii ambao unahitaji bunge lake la kipekee ?
Asili ya chama tawala kuanzisha makundi maalum ndani ya chama ambayo hatimaye hutafutiwa wawakilishi wake ni jitihada sio tu za kuyapa makundi hayo nafasi
ya kulinda maslahi yao, bali pia kuongezea chama tawala isivyo halali nafasi ya kuwa na wawakilishi au wabunge ambao hawakuchaguliwa na wananchi ili
kuimarisha nafasi na nguvu yake katika bunge kama chombo cha utungaji sheria. Hili haliwezi kuwa ni kuimarisha demokrasia, bali ni kinyume chake.
Kadri miaka inavyopita ndivyo makundi yenye maslahi tofauti na yale yaliyokuwepo yanazidi kuongezekaMathalani, maslahi ya wakazi wa mkoa fulani tofauti na wakazi wa mikoa mingine sasa ni kitu kilicho dhahiri. Wakuu wa mikoa na wilaya waliopo hawawakilishi kiukweli maslahi ya wakazi wake bali yale chama husika. Hivyo, mikoa inahitaji uwakilishi mwingine mzito kuliko uliopo.
Hivi leo tuna mikoa 30 nchini lakini mikoa yote hii kutokana na mfumo uliopo inachukuliwa kwamba ni sawa kwa kila kitu na kwamba mkoa mmoja hauna maslahi tofauti na mkoa mwingine au wilaya moja haina tofauti na wilaya nyingine au tarafa moja haina tofauti na tarafa nyingine au kata moja haina tofauti na kata nyingine..
Hili sio kweli.
Hivi sasa kuna utitiri wa vyama ambavyo katika hali ya sasa havitarajii kuwa na uwakilishi wowote wa maana katika bunge lililopo. Lakini vyama hivyo ni sehemu
muhimu ya kuchota fikra kuhusu mipango na maamuzi mbalimbali ya kitaifa na ya ngazi za chini.
Zamani wote tuliitwa watumishi wa umma. Lakini hivi leo tofauti kati yetu ni kubwa. Daktari halingani na mtumishi wa ofisi ya waziri mkuu na maslahi yake ni tofauti
kabisa na mbunge achilia mbali waziri.
Hili linaashiria sasa makundi ya watumishi au wafanyakazi au wale wanaojiajiri ni mengi na sio moja. Maslahi ya maprofesa, wahadhiri, walimu, madaktari,
wahandisi, mafundi, waandishi, manesi, wanakilimo, wanateknohama,wanaufugaji, makarani, wafagiaji,wahudumu, matarishi, ofisa ubalozi, ofisa elimu,
wanamamlaka, mahakimu, wabebaji mizigo na kadhalika, hayafanani.
Wazee wenye hekima na busara wanaozidi kuongezeka toka safu za uongozi na utumishi serikalini hawana lolote muhimu la kuchangia kwa namna inayofaa katika maendeleo ya nchi zaidi ya kuitwa kuwa wageni rasmi kule na huku. Je, kina Mzee Mwinyi, Mkapa, Salmin, Warioba, Msuya, Mtey, Malecela kukiwa na bunge la pili na uwakilishi wao tutanufaika au tutapata hasara ?
Ndivyo ilivyo kwa wakulima, wafugaji, wafanyabiashara, wamachinga, wanamabenki, wanautalii, wauzamafuta, wachimba madini, wanaosogezwa pembeni na
wachimba madini, wawekezaji, wenyedaladala, wenyemabasi, wenyemeli, wenyendege, wanaoekezewa kwao, sekta binafsi, shule binafsi, vyuo bbinafsi na
makundi kama hayo.
Wakati makundi ya sasa yanayochomekwa na vyama vya kisiasa bungeni kama vile vijana, wanawake, wazee, wazazi, wanavyuo watachaguliwa kwa kupitia makundi ya kitaifa na siyo ya kichama kupitia wilaya na mikoa.
Kwanini mabunge mawili
Kuna umuhimu wa kutenganisha wabunge kati ya wabunge wanaochaguliwa na wananchi kwa ujumla katika jimbo na wabunge wanaochaguliwa na kundi fulani
katika jamii ili kulinda, kutetea na kuimarisha maslahi yao kitaifa.
Umuhimu wa kwanza ni kwamba, ukiwaondoa wabunge wa kuchomekwa bungeni utaliacha bunge asilia kama chombo mahsusi kwa ajili ya kuwasilisha maslahi ya wana jimbo kwa upande mmoja na yale ya kitaifa kwa upande mwingine bila kujali mtu anatoka kundi au jimbo gani. Hawa wanahitajika ili kuimarsiaha umoja wa kitaifa kwa kuepuka siasa za mwamba ngoma, ngozi kuvutia kwake.
Lakini kuwa na bunge la wawakilishi wa makundi katika jamii ambalo litaondoa mchezo wa hatari wa kuwa nao ndani ya bunge, linastahili kuundwa na wanaochaguliwa moja kwa moja na wananchi ni njia muhimu ya kuiondoa hatari ya kuvunja umoja na mshikamanowa kitaifa kwa kuwapa nguvu na mamlaka watu wasiostahili kuwa nayo kupitia ndani ya bunge asilia ambalo linastahili kuwa ni la wajumbe waliochaguliwa na wana majimbo yao.
Bunge la asili litabaki kama nilivyosema bunge la wajumbe wanaochaguliwa na wananchi. Wabunge wake watatoka kwenye majimbo. Maamuzi yao hayataathiriwa na watu wasiochaguliwa na wananchi -maana hii ni haki wanayosthaili kuwa nayo ila kwa pale bunge la pili litakapoanzishwa.
Demokrasia kwa njia yoyote ile itakayotafsiriwa hatima yake ni kwamba, kila mwananchi akiwemo yule asiye na uwakilishi wa moja kwa moja kuwa na haki na usawa mbele ya sheria, kiuwajibikaji serikali na maisha ya kijamii. Demokrasia haina maana kwamba, wanaoshinda kura basi wale, wanywe na wawe na hali na mali bora zaidi ya wengine.
Inapofikia maslahi binafsi kuangaliwa ili kulinda umoja wa kitaifa ni muhimu kuwe na bunge la pili litakalowakilisha moja kwa moja maslahi ya makundi yao.
Bunge kama hilo huundwa kwa kila kundi katika jamii. Kwa mfano, miongoni mwa wafanyakazi au watumishi yatapatikana makundi kadhaa yanayowakilisha tarafu mbalimbali, kwa mfano, wawakilishi wa madaktari, walimu , wahadhiri, wahasibu, makarani, wanamahoteli, maofisa kilimo, manesi, waandishi wa habari, wahandisi
nakadhalika.
Wakulima wanaweza wakawa na makundi yanayotokana na mazao wanayolima; wafugaji kutokana na mifugo wanayofuga; wavuvi kutokana na samaki au maliasili maji wanayovuna; wafanyabiashara kutokana na bidhaa wanayouza; wanaviwanda kutokana na bidhaa wanayozalisha; wana migogi kutokana na madini wanayochimba au ku chakata na kadhalika. Ndivyo itakavyokuwa kwa makundi mengine.
Mabunge haya mawili yatafuata utaratibu ambao hakuna jambo litakubalika endapo kuna kura nyingi za kupinga katika bunge lingine.
Kwa mfano, bunge asilia linaweza kupitisha nyongeza kwa wabunge au kwa watumishi wa umma lakini bunge la makundi katika jamii likakataa. Basi jambo hilo litabidi lirejeshwe tena kunakohusika ili lifumwe upya kwa ajili ya kuwakilisha baadaye tena katika mabunge yote mawili kwa majadiliano na muafaka utakaokuwa na manufaa kwa washikadau wanaohusika.
Kuna kauli na maamuzi mengine yanayofanyika hivi sasa na Rais au Ikulu, lakini kwa kweli maamuzi na kauli hizo zingestahili kutolewa katika mabunge haya mawili na mabaraza ya mawaziri. Badala ya rais kuwa analaumiwa kwa mambo yasiyomhusu sasa atakua na wakati zaidi wa kufanya yanayomhusu yeye kama kiongozi wa nchi na sio ya watendaji na watungaji sheria. Kwa maneno mengine, utenganishwaji majukumu ya rais, mahakama na bunge sasa kitakuwa ni kitu
chepesi zaidi kuliko ilivyokuwa kabla.
Mihimili hii ya kitaifa na hususan mabunge hayo mawili yakifanya kazi zake sawasawa masuala kama mikataba mibovu; dhuluma dhidi ya makundi fulani katika
jamii; ubabe wa baadhi yetu na mambo kama hayo yanaweza kudhibitiwa vizuri zaidi.
Kuwepo kwa bunge la juu na bunge la chini sio tu kutawapa Watanzania uwakilishi mpana zaidi bali pia kutachangia upangaji, ufikiaji maamuzi, utekelezaji, udhibiti
na usimamizi bora zaidi wa maendeleo ya nchi yetu na watu wake.
wazazi, wanawake na makundi mengine katika jamii ? Kwanini mwakilishi wa vijana asichaguliwe na vijana wote wa Tanzania kwa ujumla wao? Hali kadhalika,
Wazee, wanawake, wazazi na wengineo?
Kuna tofauti gani kati ya wabunge wanaowawakilisha wananchi na wanaowakilisha sehemu fulani ya Watanzania wakijifanya ni wawakilishi wa watu wote katika
kundi husika? Ni kwa namna gani hili linaorojesha demokrasia nchini?
Je, bunge linalokuwa na wawakilishi waliodhaminiwa na chama fulani na hawakuchaguliwa na wananchi bali wachache tu miongoni mwa makundi fulani ya kijamii
ni chachu au dekio kwa demokrasia na siasa za uwakilishi ?
Hivi tunawezaje kuboresha siasa za uwakilishi na demokrasia nchini ? Na uwakilishi huu ambao sio wa wananchi bali makundi katika jamii hauleti dhana mpya ya
uwakilishi wa makundi katika jamii ambao unahitaji bunge lake la kipekee ?
Asili ya chama tawala kuanzisha makundi maalum ndani ya chama ambayo hatimaye hutafutiwa wawakilishi wake ni jitihada sio tu za kuyapa makundi hayo nafasi
ya kulinda maslahi yao, bali pia kuongezea chama tawala isivyo halali nafasi ya kuwa na wawakilishi au wabunge ambao hawakuchaguliwa na wananchi ili
kuimarisha nafasi na nguvu yake katika bunge kama chombo cha utungaji sheria. Hili haliwezi kuwa ni kuimarisha demokrasia, bali ni kinyume chake.
Kadri miaka inavyopita ndivyo makundi yenye maslahi tofauti na yale yaliyokuwepo yanazidi kuongezekaMathalani, maslahi ya wakazi wa mkoa fulani tofauti na wakazi wa mikoa mingine sasa ni kitu kilicho dhahiri. Wakuu wa mikoa na wilaya waliopo hawawakilishi kiukweli maslahi ya wakazi wake bali yale chama husika. Hivyo, mikoa inahitaji uwakilishi mwingine mzito kuliko uliopo.
Hivi leo tuna mikoa 30 nchini lakini mikoa yote hii kutokana na mfumo uliopo inachukuliwa kwamba ni sawa kwa kila kitu na kwamba mkoa mmoja hauna maslahi tofauti na mkoa mwingine au wilaya moja haina tofauti na wilaya nyingine au tarafa moja haina tofauti na tarafa nyingine au kata moja haina tofauti na kata nyingine..
Hili sio kweli.
Hivi sasa kuna utitiri wa vyama ambavyo katika hali ya sasa havitarajii kuwa na uwakilishi wowote wa maana katika bunge lililopo. Lakini vyama hivyo ni sehemu
muhimu ya kuchota fikra kuhusu mipango na maamuzi mbalimbali ya kitaifa na ya ngazi za chini.
Zamani wote tuliitwa watumishi wa umma. Lakini hivi leo tofauti kati yetu ni kubwa. Daktari halingani na mtumishi wa ofisi ya waziri mkuu na maslahi yake ni tofauti
kabisa na mbunge achilia mbali waziri.
Hili linaashiria sasa makundi ya watumishi au wafanyakazi au wale wanaojiajiri ni mengi na sio moja. Maslahi ya maprofesa, wahadhiri, walimu, madaktari,
wahandisi, mafundi, waandishi, manesi, wanakilimo, wanateknohama,wanaufugaji, makarani, wafagiaji,wahudumu, matarishi, ofisa ubalozi, ofisa elimu,
wanamamlaka, mahakimu, wabebaji mizigo na kadhalika, hayafanani.
Wazee wenye hekima na busara wanaozidi kuongezeka toka safu za uongozi na utumishi serikalini hawana lolote muhimu la kuchangia kwa namna inayofaa katika maendeleo ya nchi zaidi ya kuitwa kuwa wageni rasmi kule na huku. Je, kina Mzee Mwinyi, Mkapa, Salmin, Warioba, Msuya, Mtey, Malecela kukiwa na bunge la pili na uwakilishi wao tutanufaika au tutapata hasara ?
Ndivyo ilivyo kwa wakulima, wafugaji, wafanyabiashara, wamachinga, wanamabenki, wanautalii, wauzamafuta, wachimba madini, wanaosogezwa pembeni na
wachimba madini, wawekezaji, wenyedaladala, wenyemabasi, wenyemeli, wenyendege, wanaoekezewa kwao, sekta binafsi, shule binafsi, vyuo bbinafsi na
makundi kama hayo.
Wakati makundi ya sasa yanayochomekwa na vyama vya kisiasa bungeni kama vile vijana, wanawake, wazee, wazazi, wanavyuo watachaguliwa kwa kupitia makundi ya kitaifa na siyo ya kichama kupitia wilaya na mikoa.
Kwanini mabunge mawili
Kuna umuhimu wa kutenganisha wabunge kati ya wabunge wanaochaguliwa na wananchi kwa ujumla katika jimbo na wabunge wanaochaguliwa na kundi fulani
katika jamii ili kulinda, kutetea na kuimarisha maslahi yao kitaifa.
Umuhimu wa kwanza ni kwamba, ukiwaondoa wabunge wa kuchomekwa bungeni utaliacha bunge asilia kama chombo mahsusi kwa ajili ya kuwasilisha maslahi ya wana jimbo kwa upande mmoja na yale ya kitaifa kwa upande mwingine bila kujali mtu anatoka kundi au jimbo gani. Hawa wanahitajika ili kuimarsiaha umoja wa kitaifa kwa kuepuka siasa za mwamba ngoma, ngozi kuvutia kwake.
Lakini kuwa na bunge la wawakilishi wa makundi katika jamii ambalo litaondoa mchezo wa hatari wa kuwa nao ndani ya bunge, linastahili kuundwa na wanaochaguliwa moja kwa moja na wananchi ni njia muhimu ya kuiondoa hatari ya kuvunja umoja na mshikamanowa kitaifa kwa kuwapa nguvu na mamlaka watu wasiostahili kuwa nayo kupitia ndani ya bunge asilia ambalo linastahili kuwa ni la wajumbe waliochaguliwa na wana majimbo yao.
Bunge la asili litabaki kama nilivyosema bunge la wajumbe wanaochaguliwa na wananchi. Wabunge wake watatoka kwenye majimbo. Maamuzi yao hayataathiriwa na watu wasiochaguliwa na wananchi -maana hii ni haki wanayosthaili kuwa nayo ila kwa pale bunge la pili litakapoanzishwa.
Demokrasia kwa njia yoyote ile itakayotafsiriwa hatima yake ni kwamba, kila mwananchi akiwemo yule asiye na uwakilishi wa moja kwa moja kuwa na haki na usawa mbele ya sheria, kiuwajibikaji serikali na maisha ya kijamii. Demokrasia haina maana kwamba, wanaoshinda kura basi wale, wanywe na wawe na hali na mali bora zaidi ya wengine.
Inapofikia maslahi binafsi kuangaliwa ili kulinda umoja wa kitaifa ni muhimu kuwe na bunge la pili litakalowakilisha moja kwa moja maslahi ya makundi yao.
Bunge kama hilo huundwa kwa kila kundi katika jamii. Kwa mfano, miongoni mwa wafanyakazi au watumishi yatapatikana makundi kadhaa yanayowakilisha tarafu mbalimbali, kwa mfano, wawakilishi wa madaktari, walimu , wahadhiri, wahasibu, makarani, wanamahoteli, maofisa kilimo, manesi, waandishi wa habari, wahandisi
nakadhalika.
Wakulima wanaweza wakawa na makundi yanayotokana na mazao wanayolima; wafugaji kutokana na mifugo wanayofuga; wavuvi kutokana na samaki au maliasili maji wanayovuna; wafanyabiashara kutokana na bidhaa wanayouza; wanaviwanda kutokana na bidhaa wanayozalisha; wana migogi kutokana na madini wanayochimba au ku chakata na kadhalika. Ndivyo itakavyokuwa kwa makundi mengine.
Mabunge haya mawili yatafuata utaratibu ambao hakuna jambo litakubalika endapo kuna kura nyingi za kupinga katika bunge lingine.
Kwa mfano, bunge asilia linaweza kupitisha nyongeza kwa wabunge au kwa watumishi wa umma lakini bunge la makundi katika jamii likakataa. Basi jambo hilo litabidi lirejeshwe tena kunakohusika ili lifumwe upya kwa ajili ya kuwakilisha baadaye tena katika mabunge yote mawili kwa majadiliano na muafaka utakaokuwa na manufaa kwa washikadau wanaohusika.
Kuna kauli na maamuzi mengine yanayofanyika hivi sasa na Rais au Ikulu, lakini kwa kweli maamuzi na kauli hizo zingestahili kutolewa katika mabunge haya mawili na mabaraza ya mawaziri. Badala ya rais kuwa analaumiwa kwa mambo yasiyomhusu sasa atakua na wakati zaidi wa kufanya yanayomhusu yeye kama kiongozi wa nchi na sio ya watendaji na watungaji sheria. Kwa maneno mengine, utenganishwaji majukumu ya rais, mahakama na bunge sasa kitakuwa ni kitu
chepesi zaidi kuliko ilivyokuwa kabla.
Mihimili hii ya kitaifa na hususan mabunge hayo mawili yakifanya kazi zake sawasawa masuala kama mikataba mibovu; dhuluma dhidi ya makundi fulani katika
jamii; ubabe wa baadhi yetu na mambo kama hayo yanaweza kudhibitiwa vizuri zaidi.
Kuwepo kwa bunge la juu na bunge la chini sio tu kutawapa Watanzania uwakilishi mpana zaidi bali pia kutachangia upangaji, ufikiaji maamuzi, utekelezaji, udhibiti
na usimamizi bora zaidi wa maendeleo ya nchi yetu na watu wake.
Umaskini hauruhusu demokrasia ya kweli
ASILIMIA takriban 85 ya Watanzania wako vijijini. Maeneo yenye umaskini mkubwa na ambako wachache wanaishi kwa zaidi ya dola mbili kwa siku. Ni maeneo ambayo watu wakilala, wakiamka hawafakirii jingine ila jinsi ya kupata nusura ya chakula na maji kwa siku inayofuatia
Wapiga kura wengi walioko vijijini ni watu wanaoishi kwenye manyata au viota na sio nyumba zinazoweza kuitwa nyumba. Huku ndiko ambako wakati mwingi hospitali hazina dawa na ingawa kuna shule lakini shule zenyewe hazina walimu wala vifaa vya kufundishia. Ni maeneo ambayo kwa kila hali yako kinyume na maeneo ya mijini. Kiasi kwamba sasa tunazungumzia juu ya apatiheidi kati ya maeneo mjini na vijijini.
Wako wanaosema kwamba chama kinachotawala hakiwezi kuwaodnoa watu kwenye umaskini kwa sababu huu ni mtaji wake, yaani, jinsi watu wanavyokuwa maskini ndivyo ambavyo inavyokuwa rahisi kwa chama tawala kushinda.
Ukweli ni kwamba, hatua yoyote inayosaidia kuwaondoa watu kwenye umasikini na ujinga ni hatua itakayowapa wale wanaowezesha hilo kufanyika majeshi tosha
ya kupambana na wapinzani wakati wote ule. Kama kuna watu wachache wanaofikiri kuwa ili kushinda ni lazima kuwaacha wananchi kwenye lindi la umasikini mkubwa basi hao ni watu wachache na wamepotoka ile mbaya kisiasa.
Ubora wa maisha ya Mtanzania na hususan katika hali yake ya kiuchumi na kielimu ni mambo peke yanayoweza kumuwezesha kujikita ipasavyo katika harakati za
demokrasia. Umaskini na ujinga wa wananchi vijijini kwa maneno mengine ni chanzo cha wananchi kushindwa kuzielewa na kukubali siasa za kidemokrasia.
Kutokana na umaskini wao wananchi huko vijijini hawawezi kutafsiri misaada inayokwenda kwao kama hongo. Hata kama misaada hiyo ndiyo kwanza inayowafikia
wakati huu wa kampeni za uchaguzi.
Utamaduni wa Kiafrika nao umejengwa katika misingi ya kuwaheshimu na kuwazawadia wanaokukumbuka kwa kuwapa kitu fulani bila kujali muda husika. Ipo kazi kubwa ya kuchanganya mila zetu na matakwa mapya ya utawala wa kidemokrasia katika nchi zetu. Binafsi, ninaamini kutegemeana na kiwango ambacho tunauheshimu utamaduni wetu, ndivyo pia tutakavyofanikiwa katika masuala ya kidemkorasia na masuala mengine ya kimaendeleo.
Umaskini wetu unachangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu wetu mijini na vijijini kuishia kutumia nguvu na musuli zaidi kuliko bongo zao. Kutokana na hili inakuwa sio rahisi wao kuchakachua masuala yanayozungumzwa na wanaotafuta kura na vyama husika. Hakika bila ya kuwaondolea wananchi wetu mzigo wa kufanya zaidi kazi za sulubu tusitegemee wao kugeuka fumba na kufumbua na kuwa ni watu wanaoelewa masuala ya ksiasa kwa namna ambayo kufanya hivyo
kunaongeza mchango wao katika ujenzi wa demokrasia nchini. Uvujaji na uvimbaji musuli saa zote hauashirii hata kidogo kukua kwa demokrasia. Kwani watu kama hao hupenda zaidi kumaliza mambo yao kwa kutumia musuli na maguvu yao.
Katika nchi yoyote ile ambayo viongozi wake wanaonekana dhahiri kuwa wanaamini wao wanastahili kuishi maisha bora kuliko wale wanaowatawala haiwezi kujenga demokrasia ya kweli kwani inakuwa imeshaotesha mizizi ya watawala kama mabwana na raia kama watwana.
Serikali nyingi za Kiafrika zimejenga mifumo ambayo inafanya kupatikana kwa elimu vijijini kupitia shule zilizopo, magazeti, redio na televisheni kuwa mgumu kutokana na umaskini wa watu vijijini. Na katika nchi zote hizi ni nadra sana kukuta kuna mipango ya kufikisha habari au mawasilino vijijini iwe kwa njia ya magazeti yanayonunulika, redio zisizotumia fedha nyingi kuendeshwa na televisheni zisizohitaji umeme wa shirika la umeme la taifa kufanya kazi. Kutokona na kukosa jitihada na bidii za wazi kuwapatia watu wa vijijini kile ambacho tayari watu wa mjini wanakipata basi wananchi vijijini wanaendelea kuwa wajinga na wasioamka kisiasa na kijamii kwa hasara ya demokrasia na maendeleo kiujumla.
Bila kuiwezesha mifumo ile ile inayowafikishia watu habari na mawasiliano kirahisi na wakati mwingine bila gharama kwa msikilizaji itakuwa ni vigumu kuendeleza maarifa, ufahamu na utaalamu wa wananchi vijijini katika masuala mbalimbali. Katika dunia hii ambayo mtu anaweza akajifunza yote anayohitaji ili mradi ana mtandao na sehemu tulivu kijifunza inakuwa ni jambo la kuhoji mara kwa mara, kwanini, tunaendelea kukubali idadi ya wajinga kuongezeka nchi mwetu mwaka hadi mwaka.
Katika nchi ambayo ni watu wachache wanaopata mahitaji ya msingi muda wa wananchi walio wengi hauwezi kutumiwa kujenga demokrasia bali utatumika katika kutafuta mahitaji hayo ya msingi. Huu ndio ukweli na hatuwezi kusema vinginevyo. Kwa sababu hii chaguzi katika nchi husika zinakuwa ni jambo la maazoea na sio la kuleta mabadiliko ya msingi katika jamii husika.
Isitoshe pale ambapo baadhi ya taasisi na watu wanatumika kuwatishia wananchi kuwa jambo zuri na lenye faida katika maisha yao siku za baadaye ni jambo baya na eti bila watawala waliopo kuendelea kutawala kutakuwa na umwagaji damu katika nchi ni vigumu; kwa namna gani watu wanaweza kujifunza na kujenga imani katika mifumo na miundo ya kimageuzi inayohitajika kuwepo ili nchi ijenga na kuimarisha demokrasia miongoni mwa sehemu zake, taasisi na wananchi wake.
Ili kujenga demokrasia ya kweli lazima nchi yoyote iwe na mikakati ya kuondoa umaskini kwanza : Tofauti na usanii mwingine uliofanyika, njia kuu za kuondoa au
kuurejesha nyuma umaskini ni pamoja na
• Kuhakikisha kila familia katika nchi husika ina nyumba. Ukipatia kila familia nyumba tayari unakuwa umeuondoa umaskini kwa asilimia hamsini
katika nchi. Kwa jitihada za wananyumba wenyewe na changamoto ndani ya makazi husika tayari nyumba itakuwa inawasaidia kuingiza kipato kwa kiasi fulani.
Kwa kuwa baba na mama watakuwa hawawazi tena suala la usalama wa familia yao , kupanga na ahadi za kujenga basi watakuwa na muda mkubwa zaidi
kujiingiza katika uzalishaji mali.
• Mahitaji ya msingi msingi yanajulikana. Hii sera sio mpya. Benki ya dunia ilishaibuni na kinachostahili ni kuirejea na kujifunza toka kwa
wengine kuhakikisha kuwa pamoja na nyumba, maji, chakula, hewa safi , malazi na huduma muhimu za kijamii zinapatikana na wote katika nchi husika;
• Upo umuhimu kuhakikisha kuwa viwango vya mrahaba toka kwa wachimba migodi mbalimbali kinakuwa cha haja na sio kudanganywa na
vimiradi vidogo vya maji, shule na barabara badala ya kuhakikisha kuwa tunaipa ardhi na watu wetu thamani sawa na mitambo ya wawekezaji katika uchimbaji
madini kwa kukubali hongo za kijinga kushibisha nafsi zao binafsi;
• Serikali isipuuze ushauri wa wananchi na wataalamu kuhusu suala la kupunguza ukubwa wa serikali na gharama zake mbalimbali kwa
kuangalia sera zake za ununuzi na matumizi ya magari ya kifahari;
• Tumekuwa tukiiendesha nchi kama matawi ya chama au klabu za mpira, hivyo wakati umefika wa kuendesha maeneo ya nchi kama kampuni
na sio klabu au shamba la bibi;
• Miaka hamsini baada ya uhuru tujiulize kwanini pamoja na kuzalisha mamia ya wahandisi wa ujenzi bado tunashindwa kujenga barabara na
reli zetu wenyewe. Na badala ya kuyapa kandarasi makampuni ya nje hivi hatuwezi kuajiri wahandisi na mafundi waliobobea kiteknolojia na kimenejimenti toka nchi
kama Cuba , Uchina , Romania , Russia , Hungary , Bulgaria na kadhalika na kazi hizi za ujenzi wa barabara na reli tukazifanya wenyewe? Hili linaweza
kupunguza umaskini wetu kwa zaidi ya asilimia 15;
• Wakati wa ziara ya mgombea urais kupitia tiketi ya CCM huko Geita tumeona adha ya maji wanayopata wakazi wa eneo hilo. Hii ni pamoja na
ukweli kuwa ziwa Victoria na Tanganyika hayapo mbali sana na eneo husika. Kwanini tunashindwa kutumia kwa mapana na marefu maji ya maziwa na mito tuliyo
nayo? Ninavyojua mimi ni kwamba, Mmisri hataki tuchote maji kwa juu, lakini tukichimba mitaro chini kwa chini kama kule Palestine na maji yakatiririka. Wapalestina
na shida zao zote hivi kweli tunakubali watushinde pia kiakili? Basi angalau tujufunze kutoka kwao!
Umaskini wetu unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa kama tutajaribu kurahisisha watu kufanya biashara na nchi za nje na vile vile kufanya kazi nchi za nje.
Wapiga kura wengi walioko vijijini ni watu wanaoishi kwenye manyata au viota na sio nyumba zinazoweza kuitwa nyumba. Huku ndiko ambako wakati mwingi hospitali hazina dawa na ingawa kuna shule lakini shule zenyewe hazina walimu wala vifaa vya kufundishia. Ni maeneo ambayo kwa kila hali yako kinyume na maeneo ya mijini. Kiasi kwamba sasa tunazungumzia juu ya apatiheidi kati ya maeneo mjini na vijijini.
Wako wanaosema kwamba chama kinachotawala hakiwezi kuwaodnoa watu kwenye umaskini kwa sababu huu ni mtaji wake, yaani, jinsi watu wanavyokuwa maskini ndivyo ambavyo inavyokuwa rahisi kwa chama tawala kushinda.
Ukweli ni kwamba, hatua yoyote inayosaidia kuwaondoa watu kwenye umasikini na ujinga ni hatua itakayowapa wale wanaowezesha hilo kufanyika majeshi tosha
ya kupambana na wapinzani wakati wote ule. Kama kuna watu wachache wanaofikiri kuwa ili kushinda ni lazima kuwaacha wananchi kwenye lindi la umasikini mkubwa basi hao ni watu wachache na wamepotoka ile mbaya kisiasa.
Ubora wa maisha ya Mtanzania na hususan katika hali yake ya kiuchumi na kielimu ni mambo peke yanayoweza kumuwezesha kujikita ipasavyo katika harakati za
demokrasia. Umaskini na ujinga wa wananchi vijijini kwa maneno mengine ni chanzo cha wananchi kushindwa kuzielewa na kukubali siasa za kidemokrasia.
Kutokana na umaskini wao wananchi huko vijijini hawawezi kutafsiri misaada inayokwenda kwao kama hongo. Hata kama misaada hiyo ndiyo kwanza inayowafikia
wakati huu wa kampeni za uchaguzi.
Utamaduni wa Kiafrika nao umejengwa katika misingi ya kuwaheshimu na kuwazawadia wanaokukumbuka kwa kuwapa kitu fulani bila kujali muda husika. Ipo kazi kubwa ya kuchanganya mila zetu na matakwa mapya ya utawala wa kidemokrasia katika nchi zetu. Binafsi, ninaamini kutegemeana na kiwango ambacho tunauheshimu utamaduni wetu, ndivyo pia tutakavyofanikiwa katika masuala ya kidemkorasia na masuala mengine ya kimaendeleo.
Umaskini wetu unachangia kwa kiasi kikubwa kuwafanya watu wetu mijini na vijijini kuishia kutumia nguvu na musuli zaidi kuliko bongo zao. Kutokana na hili inakuwa sio rahisi wao kuchakachua masuala yanayozungumzwa na wanaotafuta kura na vyama husika. Hakika bila ya kuwaondolea wananchi wetu mzigo wa kufanya zaidi kazi za sulubu tusitegemee wao kugeuka fumba na kufumbua na kuwa ni watu wanaoelewa masuala ya ksiasa kwa namna ambayo kufanya hivyo
kunaongeza mchango wao katika ujenzi wa demokrasia nchini. Uvujaji na uvimbaji musuli saa zote hauashirii hata kidogo kukua kwa demokrasia. Kwani watu kama hao hupenda zaidi kumaliza mambo yao kwa kutumia musuli na maguvu yao.
Katika nchi yoyote ile ambayo viongozi wake wanaonekana dhahiri kuwa wanaamini wao wanastahili kuishi maisha bora kuliko wale wanaowatawala haiwezi kujenga demokrasia ya kweli kwani inakuwa imeshaotesha mizizi ya watawala kama mabwana na raia kama watwana.
Serikali nyingi za Kiafrika zimejenga mifumo ambayo inafanya kupatikana kwa elimu vijijini kupitia shule zilizopo, magazeti, redio na televisheni kuwa mgumu kutokana na umaskini wa watu vijijini. Na katika nchi zote hizi ni nadra sana kukuta kuna mipango ya kufikisha habari au mawasilino vijijini iwe kwa njia ya magazeti yanayonunulika, redio zisizotumia fedha nyingi kuendeshwa na televisheni zisizohitaji umeme wa shirika la umeme la taifa kufanya kazi. Kutokona na kukosa jitihada na bidii za wazi kuwapatia watu wa vijijini kile ambacho tayari watu wa mjini wanakipata basi wananchi vijijini wanaendelea kuwa wajinga na wasioamka kisiasa na kijamii kwa hasara ya demokrasia na maendeleo kiujumla.
Bila kuiwezesha mifumo ile ile inayowafikishia watu habari na mawasiliano kirahisi na wakati mwingine bila gharama kwa msikilizaji itakuwa ni vigumu kuendeleza maarifa, ufahamu na utaalamu wa wananchi vijijini katika masuala mbalimbali. Katika dunia hii ambayo mtu anaweza akajifunza yote anayohitaji ili mradi ana mtandao na sehemu tulivu kijifunza inakuwa ni jambo la kuhoji mara kwa mara, kwanini, tunaendelea kukubali idadi ya wajinga kuongezeka nchi mwetu mwaka hadi mwaka.
Katika nchi ambayo ni watu wachache wanaopata mahitaji ya msingi muda wa wananchi walio wengi hauwezi kutumiwa kujenga demokrasia bali utatumika katika kutafuta mahitaji hayo ya msingi. Huu ndio ukweli na hatuwezi kusema vinginevyo. Kwa sababu hii chaguzi katika nchi husika zinakuwa ni jambo la maazoea na sio la kuleta mabadiliko ya msingi katika jamii husika.
Isitoshe pale ambapo baadhi ya taasisi na watu wanatumika kuwatishia wananchi kuwa jambo zuri na lenye faida katika maisha yao siku za baadaye ni jambo baya na eti bila watawala waliopo kuendelea kutawala kutakuwa na umwagaji damu katika nchi ni vigumu; kwa namna gani watu wanaweza kujifunza na kujenga imani katika mifumo na miundo ya kimageuzi inayohitajika kuwepo ili nchi ijenga na kuimarisha demokrasia miongoni mwa sehemu zake, taasisi na wananchi wake.
Ili kujenga demokrasia ya kweli lazima nchi yoyote iwe na mikakati ya kuondoa umaskini kwanza : Tofauti na usanii mwingine uliofanyika, njia kuu za kuondoa au
kuurejesha nyuma umaskini ni pamoja na
• Kuhakikisha kila familia katika nchi husika ina nyumba. Ukipatia kila familia nyumba tayari unakuwa umeuondoa umaskini kwa asilimia hamsini
katika nchi. Kwa jitihada za wananyumba wenyewe na changamoto ndani ya makazi husika tayari nyumba itakuwa inawasaidia kuingiza kipato kwa kiasi fulani.
Kwa kuwa baba na mama watakuwa hawawazi tena suala la usalama wa familia yao , kupanga na ahadi za kujenga basi watakuwa na muda mkubwa zaidi
kujiingiza katika uzalishaji mali.
• Mahitaji ya msingi msingi yanajulikana. Hii sera sio mpya. Benki ya dunia ilishaibuni na kinachostahili ni kuirejea na kujifunza toka kwa
wengine kuhakikisha kuwa pamoja na nyumba, maji, chakula, hewa safi , malazi na huduma muhimu za kijamii zinapatikana na wote katika nchi husika;
• Upo umuhimu kuhakikisha kuwa viwango vya mrahaba toka kwa wachimba migodi mbalimbali kinakuwa cha haja na sio kudanganywa na
vimiradi vidogo vya maji, shule na barabara badala ya kuhakikisha kuwa tunaipa ardhi na watu wetu thamani sawa na mitambo ya wawekezaji katika uchimbaji
madini kwa kukubali hongo za kijinga kushibisha nafsi zao binafsi;
• Serikali isipuuze ushauri wa wananchi na wataalamu kuhusu suala la kupunguza ukubwa wa serikali na gharama zake mbalimbali kwa
kuangalia sera zake za ununuzi na matumizi ya magari ya kifahari;
• Tumekuwa tukiiendesha nchi kama matawi ya chama au klabu za mpira, hivyo wakati umefika wa kuendesha maeneo ya nchi kama kampuni
na sio klabu au shamba la bibi;
• Miaka hamsini baada ya uhuru tujiulize kwanini pamoja na kuzalisha mamia ya wahandisi wa ujenzi bado tunashindwa kujenga barabara na
reli zetu wenyewe. Na badala ya kuyapa kandarasi makampuni ya nje hivi hatuwezi kuajiri wahandisi na mafundi waliobobea kiteknolojia na kimenejimenti toka nchi
kama Cuba , Uchina , Romania , Russia , Hungary , Bulgaria na kadhalika na kazi hizi za ujenzi wa barabara na reli tukazifanya wenyewe? Hili linaweza
kupunguza umaskini wetu kwa zaidi ya asilimia 15;
• Wakati wa ziara ya mgombea urais kupitia tiketi ya CCM huko Geita tumeona adha ya maji wanayopata wakazi wa eneo hilo. Hii ni pamoja na
ukweli kuwa ziwa Victoria na Tanganyika hayapo mbali sana na eneo husika. Kwanini tunashindwa kutumia kwa mapana na marefu maji ya maziwa na mito tuliyo
nayo? Ninavyojua mimi ni kwamba, Mmisri hataki tuchote maji kwa juu, lakini tukichimba mitaro chini kwa chini kama kule Palestine na maji yakatiririka. Wapalestina
na shida zao zote hivi kweli tunakubali watushinde pia kiakili? Basi angalau tujufunze kutoka kwao!
Umaskini wetu unaweza kupungua kwa kiasi kikubwa kama tutajaribu kurahisisha watu kufanya biashara na nchi za nje na vile vile kufanya kazi nchi za nje.
Monday, May 23, 2011
Tume ya Uchaguzi Afrika Mashariki Muhimu
NCHI zilizo katika muungano wa Ulaya (EC)zimeifanya kazi ya kujenga umoja kati ya nchi hizo kuwa kitu rahisi kwa
kukubali kuachia baadhi ya madaraka ya kitaifa kwa Umoja huo wa Ulaya.Hii ina maana kwamba nchi hizo kwa pamoja zilikaa na kuangalia mambo mbalimbali na
kisha kukubaliana kuwa kuna mambo haya na yale ambayo yatafanikiwa zaidi endapo yatasimamiwa na Umoja wa Ulaya na sio na nchi moja moja kama
ilivyokuwa huko nyuma.
Hivyo serikali zikaamua kuanzisha taasisi ambazo zilipewa sehemu hiyo ya mamlaka ili zifanye kazi zilizokuwa zikifanywa na nchi moja
moja kwa ufanifu na ufanisi zaidi.Hivi leo huko Ulaya baadhi ya maamuzi na mipango muhimu yanayohusu masuala ya uchumi, siasa, jamii, teknolojia, michezo na
utamduni hayafanywi tena na serikali za kitaifa bali na vyombo mahsusi katika Umoja huo.Hili limechangia kuondoa ukiritimba na ulevi wa madaraka kwa baadhi ya
viongozi Ulaya ambao ulichangia huko nyuma si haba kufanya maamuzi ambayo badala ya kusaidia nchi na bara hili yalikuwa yakiwarudisha watu wake nyuma au
kuwaingiza kwenye migogoro isiyokwisha.
Hili ndilo linalotakiwa litokee pia hapa Afrika Mashariki. Ili kuung'oa mzizi wa fitina unaochangia ulevi wa madaraka na
tabia za kidikteta kwa baadhi ya viongozi na vyama kufikia kiwango cha kudhulumu haki na uhuru wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka lazima pawe na
vyombo vilivyo juu ya vyombo vya kitaifa na pale chombo cha kitaifa kinaposhindwa kuchukua hatua husika kinachukuliwa hatua zinazoamuliwa kijumuiya.Sio siri
Tume ya Uchaguzi ni chombo kimoja tu katika vyombo vingi vinavyohitajika ili malengo yetu ya umoja yaweze kufanikiwa. Mambo mengine ni pamoja na soko moja
la Afrika Mashariki; Shirika moja la Reli la Afrika Mashariki; Shirika moja la Mabasi la Afrika Mashariki; Shirika Moja la Meli la Afrika Mashariki; Paspoti moja ya Afrika
Mashariki; Baraza moja la Mitihani; Shirika moja la Ndege la Afrika Mashariki pamoja na vyuo vikuu, shule, mahospitali, vyama vya kisiasa na kadhalika ambayo
kutokuwepo kwake kumechangia sio haba matatizo yanayozikabili nchi zetu katika maeneo hayo yote kwa makali na maumivu makubwa zaidi kuliko ambavyo
ingelikuwa kama vyombo hivyo vingelikuwa ni vya pamoja.Mfumo wa kisiasa tuliourithi umejenga tabia na mazoea ya viongozi wetu kutaka kuwa na mamlaka
makubwa na yanayoelekea mara kwa mara kupora haki na uhuru wa wananchi kwa njia moja au nyingine.
Na ni kazi kubwa kweli kuwanyang'anya viongozi hao
madaraka na mamlaka fulani kwa sababu baadhi ya wale wanaowazunguka tayari wanafaidika na mfumo huo uliopo. Mfumo unaowapa viongozi nguvu za kupita
kiasi ambazo fumba na kufumbua zinaweza kutumika kulidhuru taifa na watu wake badala ya kulisaidia.Hata hivyo, nadharia za uongozi na menejimenti katika
dunia ya leo zinasema kwamba ikiwa unataka kujenga kitu kikubwa zaidi ni muhimu kwa vile vidogo kuachia ngazi ili maslahi na matakwa ya walio wengi au kwa
kile kilicho kikubwa zaidi kuangaliwa mara moja ili faida au manufaa makubwa zaidi yaweze kupatikana kwa taasisi, nchi na watu wake.WanaAfrika Mashariki ni
muhimu tukubali kwamba ili tufanikiwa katika azma yetu ya umoja wote, viongozi na wananchi tunalazimika kuachia mengi tuliyoyazoea ili ndoto hiyo iwe kweli
mapema kuliko tunavyofikiria.
Tusipofanya hivyo, basi tutazunguka papa hapa na mwishowe tutaisihia katika kutafutana uchawi na yale yaliyoikumba Afrika
Mashariki ya kwanza, Mola apishie mbali, kuikumba pia Afrika Mashariki mpya!Mathalani, ikiwa katika nchi kiongozi na wafanyakazi wa Tume ya uchaguzi
wanachaguliwa na kiongozi aliyeko madarakani haiwezekani kamwe kwa kiongozi wa tume kukaida amri au matakwa ya yule aliyemweka hapo wakati mwingine
kwa upendeleo au kumuokoa mtu aaliyekuwa akizama kimaisha.
Bado katika nchi zetu nyingi kazi na nafasi za kazi hazipewi watu kutokana na ubingwa, uwezo au
utaalamu wao bali kwa sababu za kisiasa na nyinginezo ambazo hatuna muda wa kuzizungumzia hapa. Hili ni lazima libadilike. Na kubadilika kwake ni muhimu
kutenga siasa na nyanja zingine za kimaisha kwa maana kwamba wale wanaochaguliwa kama wabunge, mawaziri na viongozi wa nchi wasijiingize tena katika
masuala ya biashara binafsi na vitu kama hivyo bali watumie muda wao kuondoa umasikini katika nchi zao na nchi zao ziwe tayari kuwapa maisha mazuri
wanapostaafu na sio kumtegemea Mo Ibrahim tu!Hili lifanyike ili kuondoa vishwawishi vya viongozi wasio watu wa dhambi kwa kawaida kutojiingiza katika ufisadi,
wizi wa mali ya umma na vitu kama hivyo.Kisha rasilimali za taifa zitumike katika kulea kizazi cha WanaAfrika Mashariki wanaozawadiwa kwa utaalamu na vipaji
vyao na ambao hawako tayari kuacha fani zao ili waende kwenye siasa.
Hivi sasa hilo linatokea maana wataalamu na watumishiwa umma hawawezi kuwa na
maisha mazuri mpaka wamejiingiza katika siasa.Kutokana na hili upo umuhimu wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Afrika Mashariki ambayo itakuwa juu ya
Tume zote huru za Kitaifa na itakayokuwa na uwezo wa kukemea viongozi walioko madarakani ikiwa watajaribu kuwapora wapiga kura uhuru na haki zao za
kikatiba.Zipo faida mbalimbali zitakazopatikana kwa kuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi hapa Afrika Mashariki. Kwanza, ni jambo muhimu katika kuhakikisha
amani, umoja na mshikamano wetu kama Wanaafrika Mashariki unakuwa juu ya matakwa na ajenda binafsi za viongozi wetu na vyama vyao vya kisiasa.
Hii ina maana, viongozi wa nchi zetu sasa watakuwa wanaogopa kufanya jambo lolote litakalowafichua kuwa ni wakiukaji haki za kibinadamu za nyinginezo katika katiba
za nchi zao na mamlaka za Afrika Mashariki.Ni dhahiri pia kuwa kazi ya kukuza na kuimarisha demokrasia Afrika Mashariki itategemea kwa kiasi kikubwa jinsi gani
ambavyo tunajipanga ili kuwe na vyombo huru nje ya serikali zetu vinavyochangia kuwa na visheni na misheni ya kuipeleka sehemu hii ya dunia kwenye viwango
vya juu vya kimaendeleo na kistaarabu.
TUme huru ni chombo mojawapo kitakachosaidia sana kujenga demokrasia ya kweli hapa Afrika Mashariki.Tume ni
chombo cha kupigania haki za raia. Hii ina maana kuwepo kwake kutasaida sana katika kutenganisha maslahi ya serikali na uongozi na yale ya raia. Tume hiyo
itakuwa ni changamoto kwa serikali zote kuwa na tume huru na inayokubalika na vyama na raia wote.Kazi nyingine kubwa ya T
ume huru ya uchaguzi itakuwa ni kupanga ratiba za uchaguzi kwa nchi zote wanachama na wakati huo huo kusimamia na kudhibiti kazi hiyo iendane na viwango vyote vinavyokubalika
kimataifa.Tume itawajibika pia kuhamasisha na kuoanisha elimu ya uraia kwa nchi zote za Afrika Mashariki na hivyo kuondoa utapeli unaofanyika hivi sasa ambapo nyingi ya fedha zinazotolewa kwa ajili ya kazi hiyo huwa zinaishia mfukoni mwa watu na sio katika kuendesha shughuli hiyo ya kuwaelimisha wananchi juu ya haki zao za kidemokrasia na hasa zile za uhuru, manufaa na haki ya kuchagua mtu au chama wakitakacho.
Tume hii pia itakuwa na kazi ya kuzishauri tume na nchi husika juu ya mambo mbalimbali yatakayochangia kuwa na demokrasia pana na ya kina zaidi katika nchi zetu zote za Afrika Mashariki. Ikiwezekana tume itakuwa na Chuo cha Taaluma za Siasa, Uchaguzi na Mabadiliko ya Kijamii kwa ajili ya wanafunzi toka nchi zote za Afrika Mashariki. Kwa namna hii wafanyakazi wote wa tume zote Afrika Mashariki watapikwa nakuiva ipasavyo ili wawe bora zaidi katika kazi zao na kujenga demokrasia Afrika Mashariki.Sambamba na hili Tume
itakuwa na kazi ya Kuratibu ujio na uwepo wa waangalizi wa kimataifa katika chaguzi na warsha au semina mbalimbali za masuala ya elimu ya uraia na uchaguzi huru na wa haki.Tume itatakiwa pia kuendesha tafiti ambazo zitatusaidia kuona mbali na mbele na kisha kuchukua harua za hadhari kushughulikia masuala yanayoweza kuleta kukosa ukweli, uaminifu na haki katika chaguzi na hivyo kuziingiza nchi katika matatizo ambayo yangeliweza kuepushwa kwa kuzingatia yale tunayojifunza katika tafiti hizo.
kukubali kuachia baadhi ya madaraka ya kitaifa kwa Umoja huo wa Ulaya.Hii ina maana kwamba nchi hizo kwa pamoja zilikaa na kuangalia mambo mbalimbali na
kisha kukubaliana kuwa kuna mambo haya na yale ambayo yatafanikiwa zaidi endapo yatasimamiwa na Umoja wa Ulaya na sio na nchi moja moja kama
ilivyokuwa huko nyuma.
Hivyo serikali zikaamua kuanzisha taasisi ambazo zilipewa sehemu hiyo ya mamlaka ili zifanye kazi zilizokuwa zikifanywa na nchi moja
moja kwa ufanifu na ufanisi zaidi.Hivi leo huko Ulaya baadhi ya maamuzi na mipango muhimu yanayohusu masuala ya uchumi, siasa, jamii, teknolojia, michezo na
utamduni hayafanywi tena na serikali za kitaifa bali na vyombo mahsusi katika Umoja huo.Hili limechangia kuondoa ukiritimba na ulevi wa madaraka kwa baadhi ya
viongozi Ulaya ambao ulichangia huko nyuma si haba kufanya maamuzi ambayo badala ya kusaidia nchi na bara hili yalikuwa yakiwarudisha watu wake nyuma au
kuwaingiza kwenye migogoro isiyokwisha.
Hili ndilo linalotakiwa litokee pia hapa Afrika Mashariki. Ili kuung'oa mzizi wa fitina unaochangia ulevi wa madaraka na
tabia za kidikteta kwa baadhi ya viongozi na vyama kufikia kiwango cha kudhulumu haki na uhuru wa wananchi kuchagua viongozi wanaowataka lazima pawe na
vyombo vilivyo juu ya vyombo vya kitaifa na pale chombo cha kitaifa kinaposhindwa kuchukua hatua husika kinachukuliwa hatua zinazoamuliwa kijumuiya.Sio siri
Tume ya Uchaguzi ni chombo kimoja tu katika vyombo vingi vinavyohitajika ili malengo yetu ya umoja yaweze kufanikiwa. Mambo mengine ni pamoja na soko moja
la Afrika Mashariki; Shirika moja la Reli la Afrika Mashariki; Shirika moja la Mabasi la Afrika Mashariki; Shirika Moja la Meli la Afrika Mashariki; Paspoti moja ya Afrika
Mashariki; Baraza moja la Mitihani; Shirika moja la Ndege la Afrika Mashariki pamoja na vyuo vikuu, shule, mahospitali, vyama vya kisiasa na kadhalika ambayo
kutokuwepo kwake kumechangia sio haba matatizo yanayozikabili nchi zetu katika maeneo hayo yote kwa makali na maumivu makubwa zaidi kuliko ambavyo
ingelikuwa kama vyombo hivyo vingelikuwa ni vya pamoja.Mfumo wa kisiasa tuliourithi umejenga tabia na mazoea ya viongozi wetu kutaka kuwa na mamlaka
makubwa na yanayoelekea mara kwa mara kupora haki na uhuru wa wananchi kwa njia moja au nyingine.
Na ni kazi kubwa kweli kuwanyang'anya viongozi hao
madaraka na mamlaka fulani kwa sababu baadhi ya wale wanaowazunguka tayari wanafaidika na mfumo huo uliopo. Mfumo unaowapa viongozi nguvu za kupita
kiasi ambazo fumba na kufumbua zinaweza kutumika kulidhuru taifa na watu wake badala ya kulisaidia.Hata hivyo, nadharia za uongozi na menejimenti katika
dunia ya leo zinasema kwamba ikiwa unataka kujenga kitu kikubwa zaidi ni muhimu kwa vile vidogo kuachia ngazi ili maslahi na matakwa ya walio wengi au kwa
kile kilicho kikubwa zaidi kuangaliwa mara moja ili faida au manufaa makubwa zaidi yaweze kupatikana kwa taasisi, nchi na watu wake.WanaAfrika Mashariki ni
muhimu tukubali kwamba ili tufanikiwa katika azma yetu ya umoja wote, viongozi na wananchi tunalazimika kuachia mengi tuliyoyazoea ili ndoto hiyo iwe kweli
mapema kuliko tunavyofikiria.
Tusipofanya hivyo, basi tutazunguka papa hapa na mwishowe tutaisihia katika kutafutana uchawi na yale yaliyoikumba Afrika
Mashariki ya kwanza, Mola apishie mbali, kuikumba pia Afrika Mashariki mpya!Mathalani, ikiwa katika nchi kiongozi na wafanyakazi wa Tume ya uchaguzi
wanachaguliwa na kiongozi aliyeko madarakani haiwezekani kamwe kwa kiongozi wa tume kukaida amri au matakwa ya yule aliyemweka hapo wakati mwingine
kwa upendeleo au kumuokoa mtu aaliyekuwa akizama kimaisha.
Bado katika nchi zetu nyingi kazi na nafasi za kazi hazipewi watu kutokana na ubingwa, uwezo au
utaalamu wao bali kwa sababu za kisiasa na nyinginezo ambazo hatuna muda wa kuzizungumzia hapa. Hili ni lazima libadilike. Na kubadilika kwake ni muhimu
kutenga siasa na nyanja zingine za kimaisha kwa maana kwamba wale wanaochaguliwa kama wabunge, mawaziri na viongozi wa nchi wasijiingize tena katika
masuala ya biashara binafsi na vitu kama hivyo bali watumie muda wao kuondoa umasikini katika nchi zao na nchi zao ziwe tayari kuwapa maisha mazuri
wanapostaafu na sio kumtegemea Mo Ibrahim tu!Hili lifanyike ili kuondoa vishwawishi vya viongozi wasio watu wa dhambi kwa kawaida kutojiingiza katika ufisadi,
wizi wa mali ya umma na vitu kama hivyo.Kisha rasilimali za taifa zitumike katika kulea kizazi cha WanaAfrika Mashariki wanaozawadiwa kwa utaalamu na vipaji
vyao na ambao hawako tayari kuacha fani zao ili waende kwenye siasa.
Hivi sasa hilo linatokea maana wataalamu na watumishiwa umma hawawezi kuwa na
maisha mazuri mpaka wamejiingiza katika siasa.Kutokana na hili upo umuhimu wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi ya Afrika Mashariki ambayo itakuwa juu ya
Tume zote huru za Kitaifa na itakayokuwa na uwezo wa kukemea viongozi walioko madarakani ikiwa watajaribu kuwapora wapiga kura uhuru na haki zao za
kikatiba.Zipo faida mbalimbali zitakazopatikana kwa kuwepo kwa Tume Huru ya Uchaguzi hapa Afrika Mashariki. Kwanza, ni jambo muhimu katika kuhakikisha
amani, umoja na mshikamano wetu kama Wanaafrika Mashariki unakuwa juu ya matakwa na ajenda binafsi za viongozi wetu na vyama vyao vya kisiasa.
Hii ina maana, viongozi wa nchi zetu sasa watakuwa wanaogopa kufanya jambo lolote litakalowafichua kuwa ni wakiukaji haki za kibinadamu za nyinginezo katika katiba
za nchi zao na mamlaka za Afrika Mashariki.Ni dhahiri pia kuwa kazi ya kukuza na kuimarisha demokrasia Afrika Mashariki itategemea kwa kiasi kikubwa jinsi gani
ambavyo tunajipanga ili kuwe na vyombo huru nje ya serikali zetu vinavyochangia kuwa na visheni na misheni ya kuipeleka sehemu hii ya dunia kwenye viwango
vya juu vya kimaendeleo na kistaarabu.
TUme huru ni chombo mojawapo kitakachosaidia sana kujenga demokrasia ya kweli hapa Afrika Mashariki.Tume ni
chombo cha kupigania haki za raia. Hii ina maana kuwepo kwake kutasaida sana katika kutenganisha maslahi ya serikali na uongozi na yale ya raia. Tume hiyo
itakuwa ni changamoto kwa serikali zote kuwa na tume huru na inayokubalika na vyama na raia wote.Kazi nyingine kubwa ya T
ume huru ya uchaguzi itakuwa ni kupanga ratiba za uchaguzi kwa nchi zote wanachama na wakati huo huo kusimamia na kudhibiti kazi hiyo iendane na viwango vyote vinavyokubalika
kimataifa.Tume itawajibika pia kuhamasisha na kuoanisha elimu ya uraia kwa nchi zote za Afrika Mashariki na hivyo kuondoa utapeli unaofanyika hivi sasa ambapo nyingi ya fedha zinazotolewa kwa ajili ya kazi hiyo huwa zinaishia mfukoni mwa watu na sio katika kuendesha shughuli hiyo ya kuwaelimisha wananchi juu ya haki zao za kidemokrasia na hasa zile za uhuru, manufaa na haki ya kuchagua mtu au chama wakitakacho.
Tume hii pia itakuwa na kazi ya kuzishauri tume na nchi husika juu ya mambo mbalimbali yatakayochangia kuwa na demokrasia pana na ya kina zaidi katika nchi zetu zote za Afrika Mashariki. Ikiwezekana tume itakuwa na Chuo cha Taaluma za Siasa, Uchaguzi na Mabadiliko ya Kijamii kwa ajili ya wanafunzi toka nchi zote za Afrika Mashariki. Kwa namna hii wafanyakazi wote wa tume zote Afrika Mashariki watapikwa nakuiva ipasavyo ili wawe bora zaidi katika kazi zao na kujenga demokrasia Afrika Mashariki.Sambamba na hili Tume
itakuwa na kazi ya Kuratibu ujio na uwepo wa waangalizi wa kimataifa katika chaguzi na warsha au semina mbalimbali za masuala ya elimu ya uraia na uchaguzi huru na wa haki.Tume itatakiwa pia kuendesha tafiti ambazo zitatusaidia kuona mbali na mbele na kisha kuchukua harua za hadhari kushughulikia masuala yanayoweza kuleta kukosa ukweli, uaminifu na haki katika chaguzi na hivyo kuziingiza nchi katika matatizo ambayo yangeliweza kuepushwa kwa kuzingatia yale tunayojifunza katika tafiti hizo.
Subscribe to:
Posts (Atom)